Offshore Seamen
JF-Expert Member
- Mar 9, 2018
- 5,489
- 14,091
Unaendesha gari kubwa au ndogo. Kama upo Dar nenda jengo la Maktaba Square Posta uliza ofisi za In Transit Drivers Association (ITDA) upeleke maombi yako saizi wamekula shavu la kutoa gari bandarini na kupeleka bandari kavu (ICD).Habarini wakuu ...mm ni kijana ni dreva mzuri ...mdogo wenu naangaaika na connection za kazi za undreva naombeni msaada wenu ...maana kuomba pesa siwezi ila kazi naomba sana ....nisaidieni mdogo wenu
0687354161
Mwambieni asichukue yenye air suspension.Disco 2 lenye Td5 ya dizeli umeme upo na halitaki shida, bora achukue la petrol afarijike na ngurumo ya simba kutoka mlio wa engineGari ya kizamani hio inapigika mkono..haiwezi kuwa aghali sana kulitibu. Shida ni haya yanayonusa mafuta😂😂😂 umeme kila kona hadi kwenye wipers!
Nilishindwa kumlaa ana pulling sana kwenye mlima ndio balaaa [emoji16]GX110 huyo anamuwinda V8 ila hawezi mla
hahahah anakula milima kama tambarare 😀😀😀 humo ndio anajichana, ukisinzia tu yeye yuleeNilishindwa kumlaa ana pulling sana kwenye mlima ndio balaaa [emoji16]
badili oil hio achana na story za kilometre 9000, hata ulaya hamna oil za design hio.Safari yangu itaanza next week kuelekea Bomang'ombe (Kilimanjaro)
Gari, Premio Cc 1790
Kutoka Kanda ya ziwa
Full tank ni Lita 60 lakini najua mpaka gari ijae zitakuwa kati ya lita 45 mpaka 40 sababu gari haitakuwa empty kabisa
Bajeti ya one route kwa mafuta ni kuanzia 150k- 180k na nna uhakika yatanifikisha.
Naandalizi ni service ya tairi, brake, taa, ( engine oil nishabadili miezi 3 iliyopita na ni ya km 9000 bado ziko 2+k)
Ntabeba spare tyre, jeki, triangle, maji caton 2 makubwa, Dumu la ltr 5 empty emergency,) ntakuwa peke Yangu.
Safari itaanza saa 10 na nusu Alfajiri, ili saa 1 kasoro inikute Shinyanga, na saa 4 kamili niwe singida.
Kuanzia singida ni mkeka usio na magaro kabisa no full kujiachia risk ni ndogo.
Ewe Mwenyezi Mungu Nisaidie.
Road trip mnyama v8.View attachment 2440510
Hili ni swala la common sense tu...kabla hujaambiwa ni kosa au siyo kosa.Eti ni kosa kuendesha gari ukiwa umefungulia loud music?
Nibadili oil ambayo haijavuka hata 2k KM?badili oil hio achana na story za kilometre 9000, hata ulaya hamna oil za design hio.
Nibadili oil ambayo haijavuka hata 2k KM?
Hapana kaka..Sema nilimwaga hydrolic toka Mwezi wa 12 Mwaka jana, na nishatembea kama Km 3000, hivi hii oil huwa ni ya kumwaga kila baada ya hizi KM chache kama engine oil? Maana kidogo hyo kitu n sensitive ukimess up unaua gearbox...Bad enough ki card cha Oil wale mafundi hawakukiwekaNilihisi zimebakia 2K kwenye hio buku 9
Safari yangu itaanza next week kuelekea Bomang'ombe (Kilimanjaro)
Gari, Premio Cc 1790
Kutoka Kanda ya ziwa
Full tank ni Lita 60 lakini najua mpaka gari ijae zitakuwa kati ya lita 45 mpaka 40 sababu gari haitakuwa empty kabisa
Bajeti ya one route kwa mafuta ni kuanzia 150k- 180k na nna uhakika yatanifikisha.
Naandalizi ni service ya tairi, brake, taa, ( engine oil nishabadili miezi 3 iliyopita na ni ya km 9000 bado ziko 2+k)
Ntabeba spare tyre, jeki, triangle, maji caton 2 makubwa, Dumu la ltr 5 empty emergency,) ntakuwa peke Yangu.
Safari itaanza saa 10 na nusu Alfajiri, ili saa 1 kasoro inikute Shinyanga, na saa 4 kamili niwe singida.
Kuanzia singida ni mkeka usio na magaro kabisa no full kujiachia risk ni ndogo.
Ewe Mwenyezi Mungu Nisaidie.
Mziki mzuri wa kuusikiliza ni ule unaotoka chini ya bonnet sio speakers 🔊!!Hili ni swala la common sense tu...kabla hujaambiwa ni kosa au siyo kosa.
Kwanza unakuwa kwenye risk kubwa ya kusikia warning yoyote ya hatari kutoka kwenye gari lako, hausikii kelele yoyote ya chombo ama hitilafu ya gari,
Unaweza ukawa unapewa ishara au kupigiwa honi na mtu husikiii..
Bado kuna hatari ya wewe kufocus na mziki na ukasababisha ajali.
Kuna wakati kuna gari za dharula linapiga kelele lipite wewe umekaa katikati husikii sababu ta mziki
View ya kibabeMoja ya maeneo napenda sana kupiga picha...
Mara ya kwanza kupita hii mahali ni enzi hizo za kina Kwacha, Kiswele na hadi sasa mandhari yake haijawahi badilika...
Hili ndio eneo linalotenganisha nyanda za juu kusini na uwanda wa chini wa pwani, eneo linalotenganisha baridi ya kusini na joto la pwani...
Kitonga moja
View attachment 2442005
Mie nmeendesha sana Landcruiser mwaka mzima bila brake hata kidogo, na ilikuwa ninasimama popote ninapotaka.[emoji28][emoji28][emoji28] Aisee.. Nilishatembea na gari haina brake kutokea Dodoma hadi Mwanza.. baada ya kumaliza safari nikajitafakari sana, ila nilimshukuru Mungu.
Kwa manual kuendesha bila brake unakuwa comfortable maana engine braking inatosha. Ila kuna miamba wanaendesha automatic car yenye breki mzozo au bila brekiMie nmeendesha sana Landcruiser mwaka mzima bila brake hata kidogo, na ilikuwa ninasimama popote ninapotaka.
Risks kubwa mno!,just imagine unashuka Inyala Pass bila breakKwa manual kuendesha bila brake unakuwa comfortable maana engine braking inatosha. Ila kuna miamba wanaendesha automatic car yenye breki mzozo au bila breki
Kwa Manual ukiwa unafanya engine brake kwa kutumia gear namba 1 & 2 unashuka vizuri. Sijui kwa watu wa auto ujuzi wao inakuwaje?Risks kubwa mno!,just imagine unashuka Inyala Pass bila break
Ok inawezekana lkn tusiwe watu wa kuyafanya ya hatari kwa kuwa tuna hatarisha maisha kwa kukusudiaKwa Manual ukiwa unafanya engine brake kwa kutumia gear namba 1 & 2 unashuka vizuri. Sijui kwa watu wa auto ujuzi wao inakuwaje?
Kwa gari kubwa ni hatari zaidi, hiyo engine braking sisi tulifanya kwa dharura na Land Cruiser 76 series huko nyanda za juu kusini baada ya kutoka porini na gari ilikuwa na tatizo mfumo wote wa Brake na safe speed inatakiwa uwe chini ya 40kphOk inawezekana lkn tusiwe watu wa kuyafanya ya hatari kwa kuwa tuna hatarisha maisha kwa kukusudia
Itokee unafanya hivyo kwa emergency tu na isiwe nishazoea ni hatari