ISO M.CodD
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 7,845
- 16,942
Hawana upuuzi.Tanga-Mombasa road iko clear hamna traffic kabisa,I'm cruising at 120kph. Hakuna tochi wala nini kwenye 50kph u anajipimia tu. Upande wa Kenya ndio hawana hata vibao vya speed.
Comesa insurance, uwe na original car logbook(kadi) tu. Unajaza documents za TRA na KRA unavukq na gari yako.Hawana upuuzi.
Unahitaji nini kuvuka border na gari kuiendesha Kenya?
Kadi original unawaachia customs ya tz?Comesa insurance, uwe na original car logbook(kadi) tu. Unajaza documents za TRA na KRA unavukq na gari yako.
Kama gari sio yako uwe na barua ya ruhusa kutoka kwa mwenye gari.
Huku kwetu Sasa [emoji1787][emoji1787]Tanga-Mombasa road iko clear hamna traffic kabisa,I'm cruising at 120kph. Hakuna tochi wala nini kwenye 50kph u anajipimia tu. Upande wa Kenya ndio hawana hata vibao vya speed.
Tabu tupu,kuviziana mara umeovateki kwenye mistari mara tochiHuku kwetu Sasa [emoji1787][emoji1787]
Hakuna rangi ungeacha ona
Sent from my TECNO BD4h using JamiiForums mobile app
Ukisafiri Kwa wenzetuTabu tupu,kuviziana mara umeovateki kwenye mistari mara tochi
Yani usipoangalia dashibodi unaona kama mnatembea spidi 50 vile.Road trip mnyama v8.View attachment 2440510
Mkuu unapepea
Mdogo mdogo tu mkuuMkuu unapepea
Mkuu unapepea
Usiache kusalimia Hugo's Park hapo
Daah ulikuwa una umimina mwingi mkuu, hii december kwangu kwenye kupumzika nimefeli kabisa, ila kabla mwaka haujaisha lazima nimkung'ute vumbi mnyama kisafari chochote cha masaa manne au matano ninywe bia nilale nigeuze
Acha ku complicate maisha ya watu mzee, Live and let live. Jifungie chumbani kwako ukijilindaHiyo teknolojia itakuja kuwageuka siku moja, mnaanika maisha yenu sana, sasa hiyo ina faida gani? Mzinga ukitokea mnaanza kuja na maswali meengi mara walijuaje usiku ule kama ni yeye, kumbe mlijianika wenyewe, hamjui mko tracked kila mahali, hiyo kitu siyo kabisa na futa kama unapenda privacy na kila binadamu anastahili privacy fulani!
Usiache kusalimia Hugo's Park hapo
Hahahah mzee non stop unaitembeza VQ25 halafu wanamsema mjapani, usijaribu hilo kwa BMW au Audi utalia na kusaga menoView attachment 2457402
Niko milimani mkuu chuma inapoa huku baada ya kutembea kama 2700km kwa siku 4
Sasa unaingia Korogwe hio 😀😀😀, hio sehemu huwa inanichanganyaga sana usikuHii ilikuwa nibtrip yangu ya mwisho Moshi to dsm
Halafu unasikia mtu anasema nissan mbovuView attachment 2457402
Niko milimani mkuu chuma inapoa huku baada ya kutembea kama 2700km kwa siku 4
Point of correction VQ35 [emoji1787][emoji1787][emoji1787] ila kiuhalisia tunaogopa tu magari yenye injini kubwa, hayatishi chochote.Hahahah mzee non stop unaitembeza VQ25 halafu wanamsema mjapani, usijaribu hilo kwa BMW au Audi utalia na kusaga meno
Hujui usemalo sijui kwanini unakuwa kama mtu asie na ABC za magari. Watu wanatoka SA mpaka Tz na kurudi na hizo gari kila miezi michache. Dogo mmoja namjua ana Golf mk5 huwa anaenda na kurudi mwanza kila mwezi mara mbili au tatu.Hahahah mzee non stop unaitembeza VQ25 halafu wanamsema mjapani, usijaribu hilo kwa BMW au Audi utalia na kusaga meno