Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Hamna kitu kinauma kama kupitwa wakati unafanya ligi!

Saanaaaa ila kuna kamchezo nataka nikafanye barabarani sijapata mtu tuu wa kufanya nae hako kamchezo 😜.

Kuna siku natoka Arusha hadi Dar niliondoka alfajiri hivo barabara ilikuwa nyeupe.
Kufika Mombo nikakuta magari 2 yanaenda kwa kufatana, kama sikosei zilikuwa Brevis na mark X.

Yaani walikuwa wanaongozana kama wapenzi wameachana umbali huohuo hawakaribiani sana hawaachani sana. Akiovateki wa mbele basi na wanyuma anafata, nikajikuta nimeunga msafara wao aiseeh nikaanza kunogewa na mvutano wao.

Kuna muda nikasikia kuchimba dawa nikatamani wanisubiri ila nawaambiaje, nikajibana niongozane nao labda nao watasimama Korogwe waapii wakanyoosha goti daah kufika Segera nikaona isiwe tabu nisijekuchafua siti ya gari.

Kinyongeee nikapaki nikala nikaendelea na safari yangu. Hawakuwa na speed kubwa sana ila hawaachani ile kufatana mbele nyuma mbele nyuma ile ndo niliipenda.

Nilitamani wasimame niwafahamu ila baada ya kusimama sikuwaona tena hadi nafika Dar.
 
Saanaaaa ila kuna kamchezo nataka nikafanye barabarani sijapata mtu tuu wa kufanya nae hako kamchezo 😜.

Kuna siku natoka Arusha hadi Dar niliondoka alfajiri hivo barabara ilikuwa nyeupe.
Kufika Mombo nikakuta magari 2 yanaenda kwa kufatana, kama sikosei zilikuwa Brevis na mark X.

Yaani walikuwa wanaongozana kama wapenzi wameachana umbali huohuo hawakaribiani sana hawaachani sana. Akiovateki wa mbele basi na wanyuma anafata, nikajikuta nimeunga msafara wao aiseeh nikaanza kunogewa na mvutano wao.

Kuna muda nikasikia kuchimba dawa nikatamani wanisubiri ila nawaambiaje, nikajibana niongozane nao labda nao watasimama Korogwe waapii wakanyoosha goti daah kufika Segera nikaona isiwe tabu nisijekuchafua siti ya gari.

Kinyongeee nikapaki nikala nikaendelea na safari yangu. Hawakuwa na speed kubwa sana ila hawaachani ile kufatana mbele nyuma mbele nyuma ile ndo niliipenda.

Nilitamani wasimame niwafahamu ila baada ya kusimama sikuwaona tena hadi nafika Dar.
Sometimes ukipata kampani kama hio Raha sana. Anakuwa pace maker wako hamshindani Bali mnafuatana
 
Back
Top Bottom