fabinyo
JF-Expert Member
- Aug 5, 2011
- 3,042
- 2,221
naona huujui usingizi vzr wewe... 🙇♂️Nimewaona wengi huwa wanafungulia kioo mpaka mwisho ule upepo u avyokupiga huwezi lala.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
naona huujui usingizi vzr wewe... 🙇♂️Nimewaona wengi huwa wanafungulia kioo mpaka mwisho ule upepo u avyokupiga huwezi lala.
Pamoja bro...driving is a passionUko vizuri. Enjoy your trip boss
Hiyo njia pia haikunisaidia nahisi ule usingizi ulikuwa unanitafutia ajali
naona huujui usingizi vzr wewe... [emoji2309]
Halafu inatakiwa mchana ulale kwelikweli ndo uendeshe vizuriUsiku kama nasafari ndefu, huwa nachukua redbull mbili au tatu, na madumu ya maji lita 1.5 matatu na mix naanza kupiga kabla sijaanza, ili kojo linisumbue sumbue, alafu napuliza moshi wa masigara kama gari moshi na milaa kwa pembeni.. hiyo sipati usingizi hata kiduchu. Na huwa napenda sana silence kwa ajiri ya focus kwenye road. Huwezi kuta nasafiri na mziki kwa usiku [emoji3][emoji3][emoji3]
Oohh sawa. Hiyo mambo huwa naisikia tu ila sijawahi kufika.Irente sio highest point in Lushoto. Mambo ndio highest na ipo km 60 kutoka irente
ewaaaa....pamoja sana,maana me naonaga watu wanalala juu ya spika club mpk wanakoromaNauheshimu...
Usingizi ukiamua nao nyoko
😀😀😀😀 anatakiwa awe kuku wa kienyeji kama kuku wa kienyeji sio hao wengineKumbe ni hizo qwio qwio na mabroiler
hapana mm nataka zile za kisambaa za kufunika na mablnket baridi huko kwa kina Shem....zigo she mka... shem...aho sio nikaingie kwenye moto wa mkaa
basi ngoja niende Majani Mapana Tanga yalikoanzia maLove
😀😂😍😍😇
Hivi unaweza ukaomba upewe plate number fulani ambayo bado haijachukuliwaNataka plate number T 666 EEE.
Ukiiona hiyo jua yangu.
Project ya 2022 hiyo.
Bila shakaUlitupiwa kijini
Wewe sasa kama mimi. Napenda jua likitoka niko katikati huko...I am a fast driver lakini napenda safari alfajiri Sana. By 4am niwe highwaym lunch 600kms aways. Hakuna usumbufu na by the time unapata breakfast umeshakata safari.
Safari ya usiku isizidi saa mbili.
ikitokea, itakuwa imepangwa na Mungu, Nimeanza kutumia hizi machine ya mkoloni tangu 1998, Sijapata nazo ajali, na naivuta mpaka 240kph kwenye barabara ninayo-ielewa vizuri.Body mwili wako....safiri salama!