Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Dogo ukikua utaacha.
Mkuru wange waitu!! Nshomile mpaka no class a head!! nchonka! unyabhire bhabha waitu!!

Unaikara kaa wapi kwansa?? !!! no manyaaa!! chonka a moment nabha ninkugambira bouana but!! sidhani km uko Bongo Land weye? any way km utakuwa nje ya nchi nitashangaa sana kwa kweri tena muun o!!! kama uko! Mwansaa pansiasi kidogo uko sawa, najua kamunyonge hutakanyaga watakuwuwa!

sijui Arusha, Moshi a!aa nitaduwaaa! .. munoo!! hivi uuu wii masifa hamuachagi?? wewe huoni hizi zako ni sifa, mbona mimi na sky lat tuna miliki Beattle za kisasa! umewahi kutusikia?

sasa tena wewe nakuhurumia unaendesha na ridude rimke hapo pembeni rinakuangaria usoni huoni aibu bhabha?!! ukigonga je!

But kama uko, Mugeza, rukunyu, Kanyigo aaaa!!! maweee!! utaingia na bhiratu rasimaa .... ira njoo! nikukopeshe kwa bei nafuu nayo mengi sana!
 
Mkuru wange waitu!! Nshomile mpaka no class a head!! nchonka! unyabhire bhabha waitu!!

Unaikara kaa wapi kwansa?? !!! no manyaaa!! chonka a moment nabha ninkugambira bouana but!! sidhani km uko Bongo Land weye? any way km utakuwa nje ya nchi nitashangaa sana kwa kweri tena muun o!!! kama uko! Mwansaa pansiasi kidogo uko sawa, najua kamunyonge hutakanyaga watakuwuwa!

sijui Arusha, Moshi a!aa nitaduwaaa! .. munoo!! hivi uuu wii masifa hamuachagi?? wewe huoni hizi zako ni sifa, mbona mimi na sky lat tuna miliki Beattle za kisasa! umewahi kutusikia?

sasa tena wewe nakuhurumia unaendesha na ridude rimke hapo pembeni rinakuangaria usoni huoni aibu bhabha?!! ukigonga je!

But kama uko, Mugeza, rukunyu, Kanyigo aaaa!!! maweee!! utaingia na bhiratu rasimaa .... ira njoo! nikukopeshe kwa bei nafuu nayo mengi sana!
Duh kazi ipo.
 
Piki piki fasta bro,uwa hairembi kaka,kwa foleni ya dar nataka nitafute 🏍,hata saa 1 jioni ikinikuta mkunguni kwa fundi ali basi 1:40 niwe nishatimba kitaa pande za kifuru 😃
Kuna pikipiki ukiwa nayo ni heshima hata wale wa Ist na Vits wanakuheshimu, traffic na wengine kamwe hawatokusimamisha kizembe.

Hizi Boxer,Tvs,Sanlg zimekuwa sare sare hata ikiwa private wao wanajua wewe boda boda.
 
Mkuru wange waitu!! Nshomile mpaka no class a head!! nchonka! unyabhire bhabha waitu!!

Unaikara kaa wapi kwansa?? !!! no manyaaa!! chonka a moment nabha ninkugambira bouana but!! sidhani km uko Bongo Land weye? any way km utakuwa nje ya nchi nitashangaa sana kwa kweri tena muun o!!! kama uko! Mwansaa pansiasi kidogo uko sawa, najua kamunyonge hutakanyaga watakuwuwa!

sijui Arusha, Moshi a!aa nitaduwaaa! .. munoo!! hivi uuu wii masifa hamuachagi?? wewe huoni hizi zako ni sifa, mbona mimi na sky lat tuna miliki Beattle za kisasa! umewahi kutusikia?

sasa tena wewe nakuhurumia unaendesha na ridude rimke hapo pembeni rinakuangaria usoni huoni aibu bhabha?!! ukigonga je!

But kama uko, Mugeza, rukunyu, Kanyigo aaaa!!! maweee!! utaingia na bhiratu rasimaa .... ira njoo! nikukopeshe kwa bei nafuu nayo mengi sana!
Toa uchoko hapa
 
Back
Top Bottom