Muonekano wake unavutia sanaNapenda sana view ya Dodoma usiku ukiwa unaitazama kutokea Chimwaga au UDOM
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muonekano wake unavutia sanaNapenda sana view ya Dodoma usiku ukiwa unaitazama kutokea Chimwaga au UDOM
Duh! Hamna mzee naenda tu kwa issue nyingine [emoji38]Wewe ni mgogo?
Hapo inaonekana ulitumia masaa matano kwa kilomita 460,average speed ni 92kms/hr. Ili upate wastani wa mwendo huo inakupasa utembee zaidi ya 120kms/hr
Sio rahisi nini mkuu?Sio rahisi unless ni msafara wa viongozi au unabike
Usiforce kutokuelewa ( KUTUMIA na KUTEMBEA) ni terms zinazofanana?Mwendo wa wastani ndiyo hiyo 'average speed'
Umeeleweka mkuuuUsiforce kutokuelewa ( KUTUMIA na KUTEMBEA) ni terms zinazofanana?
Leo wametapakaa mitaani.Kweli kbs me nimetembea hii nchi bd kdg niimalize cjaona mkoa wenye trafick wanoko km Arusha afu wako kibao kila kona unawakuta sita mpk nane[emoji848]
Hakikisha uko vizuri tu, usiwape pa kuanzia. Juzi walinisimamisha huku Kibada walikuwa kibao,kazunguka gari kaingiza namba kwenye mashine namuangalia tu mwisho kaishia kuomba card ya gari na leseni nikampa akaniruhusu niondoke.Leo wametapakaa mitaani.
Kuna siku wakiamua huchomoki hata uwe umekamilika vpHakikisha uko vizuri tu, usiwape pa kuanzia. Juzi walinisimamisha huku Kibada walikuwa kibao,kazunguka gari kaingiza namba kwenye mashine namuangalia tu mwisho kaishia kuomba card ya gari na leseni nikampa akaniruhusu niondoke.
Nipo vizuri.Hakikisha uko vizuri tu, usiwape pa kuanzia. Juzi walinisimamisha huku Kibada walikuwa kibao,kazunguka gari kaingiza namba kwenye mashine namuangalia tu mwisho kaishia kuomba card ya gari na leseni nikampa akaniruhusu niondoke.
Wanachomoka wengi sana.Kuna siku wakiamua huchomoki hata uwe umekamilika vp
Kwa nini nisichomoke..?Kuna siku wakiamua huchomoki hata uwe umekamilika vp
Mfano ww gari yako ina triangle ngapi?Kwa nini nisichomoke..?
Mkuu hujafika tu zile 900km?View attachment 1668238
Driving safely 🙏🙏
Wengine tuko mjini na foleni hadi tunazima magariView attachment 1668238
Driving safely 🙏🙏
Wengine tuko mjini na foleni hadi tunazima magari
View attachment 1668302