Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Hizo zinefanyiwa mods. Ila ile stock vs stock ya 911 turbo sidhani kama hio 2jzgte itatoboa. Ukifanya mods hata Vitz inaweza kuwa quick than Mark X ila stock vs stock pound for pound ni mbingu na ardhi.
Mshkaji hakusema analinganisha stock vs stock au stock vs moded,na 2jz-gte kamwe hazijawahi kusifika zikiwa stock.

Kwa hio popote pale duniani inapotajwa 2jz-gte wadau wanajua hapo unaenda kuongelea modifications.
 
Mshkaji hakusema analinganisha stock vs stock au stock vs moded,na 2jz-gte kamwe hazijawahi kusifika zikiwa stock.

Kwa hio popote pale duniani inapotajwa 2jz-gte wadau wanajua hapo unaenda kuongelea modifications.
Kuna Nissan Patrol moja kipisi nayo imefanyiwa mambo inavuruga gari za heshima balaa!
 
Off-road adventure! Pls zoom.
IMG-20210204-WA0001.jpg
 
Aristo/mark 2/Supra zote hizo zina engine ya 2jz-gte

Ingia youtube uone supra 911 turbos S zinavyoachwa na hizo 2jz-gte kama zimesimama vile.
Hizo ni mods rafiki.

911 stock inaziburuza hata baadhi ya lambos, ferrari.

911 stock inakupa 0-100kph in 2.7s. Na 1/4 mile inamaliza kwa 10.1s.

Hata hiyo 911 ukiifanyia mods, balaa lake ni levels za kina Chiron.
 
Mshkaji hakusema analinganisha stock vs stock au stock vs moded,na 2jz-gte kamwe hazijawahi kusifika zikiwa stock.

Kwa hio popote pale duniani inapotajwa 2jz-gte wadau wanajua hapo unaenda kuongelea modifications.
Na wanaofanya mods ni almost 1% ya wanunuzi wa magari.
 
Hizo ni mods rafiki.

911 stock inaziburuza hata baadhi ya lambos, ferrari.

911 stock inakupa 0-100kph in 2.7s. Na 1/4 mile inamaliza kwa 10.1s.

Hata hiyo 911 ukiifanyia mods, balaa lake ni levels za kina Chiron.

Hizo ni mods rafiki.

911 stock inaziburuza hata baadhi ya lambos, ferrari.

911 stock inakupa 0-100kph in 2.7s. Na 1/4 mile inamaliza kwa 10.1s.

Hata hiyo 911 ukiifanyia mods, balaa lake ni levels za kina Chiron.

Na dunia nzima hakuna Aristo inayosifiiwa ikiwa Stock.

Pia Internal parts za Engine ya 911 ni delicate, hazivumilii high boost pressure bila kubasti kulinganisha na 2JZ-GTE ambayo inaweza kua moded mpk kufikia HP 2000 kwa 85psi.
 
Na wanaofanya mods ni almost 1% ya wanunuzi wa magari.
1JZ/2JZ-GTE ni gari zilizonunuliwa kwa wingi na watu wanaopenda mods.

Sasa hivi kuipata stock aristo/supra/mark 2 zenye 2jz-gte ni ngumu saaana kuliko kuipata modded 2jz-gte yaani ni sawa na ilivyo ngumu kuipata wrx sti stock kulinganisha modded one

So ukisema 1% ya wanunuzi wa magari useme kabisa ni wanunuzi wa magari ya aina gani,maana % kubwa ya magari duniani ni magari basic tu (sababu ya reliability/simplicity) na hayana mods zozote zile za maana na ndio yananunuliwa kwa wingi na watu ili kututoa tu sehemu 1 kwenda nyingine,kulinganisha na performance cars ambazo ni chache.

Inshort ni kwamba kupata performance cars ikiwa stock ni ngumu sana kuliko kupata performance car ikiwa modded.
 
1JZ/2JZ-GTE ni gari zilizonunuliwa kwa wingi na watu wanaopenda mods.

Sasa hivi kuipata stock aristo/supra/mark 2 zenye 2jz-gte ni ngumu saaana kuliko kuipata modded 2jz-gte yaani ni sawa na ilivyo ngumu kuipata wrx sti stock kulinganisha modded one

So ukisema 1% ya wanunuzi wa magari useme kabisa ni wanunuzi wa magari ya aina gani,maana % kubwa ya magari duniani ni magari basic tu (sababu ya reliability/simplicity) na hayana mods zozote zile za maana na ndio yananunuliwa kwa wingi na watu ili kututoa tu sehemu 1 kwenda nyingine,kulinganisha na performance cars ambazo ni chache.

Inshort ni kwamba kupata performance cars ikiwa stock ni ngumu sana kuliko kupata performance car ikiwa modded.
Lakini hizi 911 ni stock tu na hp zake kubwa. Huitaji kufanya mods kwenye 911 ili kupata over 300hp. Au BMW M3/M5 ukienda showroom unaichukua kama ilivyo na hp zake nyingi.
Sasa hao wengine ili kupambana na hizi ndio inabidi wafanye mods.
Au mimi ndio sielewi hizi M3/M5 sio performance cars? Audi RS5/6 inatoka kiwandani na mzigo wake huo hizi sio performance cars?
 
Lakini hizi 911 ni stock tu na hp zake kubwa. Huitaji kufanya mods kwenye 911 ili kupata over 300hp. Au BMW M3/M5 ukienda showroom unaichukua kama ilivyo na hp zake nyingi.
Sasa hao wengine ili kupambana na hizi ndio inabidi wafanye mods.
Au mimi ndio sielewi hizi M3/M5 sio performance cars? Audi RS5/6 inatoka kiwandani na mzigo wake huo hizi sio performance cars?

Hata hao wengine wanazo hizo gari zenye ma HP mengi zikiwa in form of stock mfano: lexus RC-F 472HP ,lexus GS-F 467HP, Lexus LFA 553 HP, Nissan GT-R 600 HP etc

M3/M5 nyingi zinakua stock under warranty baada ya hapo wamiliki wengi wanazifanyia mods.

Baada ya warranty kuisha M3/M5 nyingi zinazokua mtaani ni modded.,wenye kuziacha gari zao stock ni wachache sana.
 
1JZ/2JZ-GTE ni gari zilizonunuliwa kwa wingi na watu wanaopenda mods.

Sasa hivi kuipata stock aristo/supra/mark 2 zenye 2jz-gte ni ngumu saaana kuliko kuipata modded 2jz-gte yaani ni sawa na ilivyo ngumu kuipata wrx sti stock kulinganisha modded one

So ukisema 1% ya wanunuzi wa magari useme kabisa ni wanunuzi wa magari ya aina gani,maana % kubwa ya magari duniani ni magari basic tu (sababu ya reliability/simplicity) na hayana mods zozote zile za maana na ndio yananunuliwa kwa wingi na watu ili kututoa tu sehemu 1 kwenda nyingine,kulinganisha na performance cars ambazo ni chache.

Inshort ni kwamba kupata performance cars ikiwa stock ni ngumu sana kuliko kupata performance car ikiwa modded.
Performance cars nyingi ni sports/super/hyper cars.

Zinatoka kiwandani stock na performance zake.

Ila hizo nyingine ni sawa na mtu afanye mod Rav 4 yake halafu aiite performance cars.

Aristo, Mark II, Crown, Brevis, Mark X ni gari za kawaida. Sema tunazimod ili na sisi tujimwambafy na kina Benz, BMW n.k.

Supra ni performance car yenye room ya mods.

911 nayo pamoja na stats zake zilizotisha ila bado kuna room ya mods. Kuna makampuni kama Manhart, BKperfrmance, mtr, ab, rauh welt, rainspeed, gemballa. Hawa wote wamespecialize kwenye mods za european na tena zile highend.

Tena kuna kampuni moja imespecialize kuzitune hizo 911 mpaka zina cheua hp za kufa mtu. Iweje wewe useme hizo 911 huwezi zifanyia mods?
 
Back
Top Bottom