Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umetoka bara bara ya machame hujapigwa mkono vipi hapo kwa sadalah ???
TVS Apache RTR 160
Mhindi yuko vizuri. Nnayo mpaka leo
Back then 4.5M. Sahizi huenda zimeshuka kuna mtu aliniambia 200cc yake inatoka kwa 5MBei gani hii dukani??
Sijapigwa mkono mwanzo mwisho.Umetoka bara bara ya machame hujapigwa mkono vipi hapo kwa sadalah ???
Huenda bei ya zamani ilikuwa heavily inflatedBei huwa haishuki inaongezeka.
Siwezi kuacha riding bike mkuu... ukiachana na efficiency na uharaka ina raha yake.Jipange
Niko pamoja nao![emoji41][emoji41]View attachment 1734231
Alfajiri nitakuwa barabarani kuelekea Moshi[emoji41][emoji41]View attachment 1734231
Daraja bado....Twende mlimani
Salama saliminiMkuu umefika salama?
Mkuu acha utani 4.5hrs Dar to Arusha? 600km ina maana ulikuwa unaenda wastani wa 150kph!Salama salimini
nimetoka alfajiri ya saa 11
saa 3 na nusu asubuhi nimeshafika..
nipo chimbo naomboleza..View attachment 1735210
160/180 kphMkuu acha utani 4.5hrs Dar to Arusha? 600km ina maana ulikuwa unaenda wastani wa 150kph!
Eneo ambalo nime delay ni Mgagao160/180 kph
Leo njia/barabara ilikuwa bikra
Elewa hivyo