Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Hehehe yaani unarudi tena kule kule

Na ndiyo maana mwanzo nilikuambia utajiri haupimwi kwa mtu kuweza kupata kitu ambacho mwingine anashindwa kupata (hata kama huyo aliyekipata amekipata kwa kuungaunga na kwa kujibana) na nikakutolea mfano wa vilema ambao ni relevant kabisa

Naona umeanza kujikoroga sasa
Ukiweza kupata laki ya nauli wewe ni tajiri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nafunga safari hadi nje ya nchi kisa sex tu.

Ila nalala njaa bila shida yeyote.

Bosi wako akiwa mwanamke asipokazwa vizuri huko ofisini hamkai. Kuna maamuzi anakosea waziwazi.
Njaa unaijua vizuri kweli brother??


Mbona mapadre na masister wanaendelea na kazi zao tu vizuri!?!

Sex siyo muhimu,chakula ndio kila kitu Jamani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom