Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Nakazana sana kusaka pesa asee.. humu mjini kuna watu hadi wana G-Wagon latest kabisaa.. naona kama nafanya utani.. uhalisia kama unataka chuma.. mezani tenga kuanzia 150+million kidogo unaweza paka gari mahala umevimba kichwa
Hahahahahahahhaha G wagon itakuumiza kichwa we kamata kidude chako cha 80M tu kinatosha kuwanyoosha wanyonge
 
Back
Top Bottom