Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Hizo RR huwa ndo ndoto yangu japo vitisho ninavyovipata si vya sayari hii .......eti ukinunua hiyo machine uhakikishe unapesa nyingine km uliyonunulia kwa ajili ya matunzo
Hayo ni maneno ya wapita njia. Sasa hivi RR za kuanzia 2015 zimezagaa sana, watu wanazishusha kila Leo. Hao ni watu wenye hela sasa anatokea mtu JF hata hela ya kununua kausafiri nibtabu anasema hizo gari mbovu! Wenye hela wananunua, masikini asiemudu anabaki kupiga yowe hizo gari hazifai. Rubbish!
 
au haka Ferrari 812 Superfast [emoji2][emoji2][emoji2]
Engine Displacement (cc) : 6496
No. of cylinder : 12
Max Power: 788.52bhp@8500rpm
Max Torque: 718 Nm@7000 rpm

Nakupita vyuuuu kama upepooo.... [emoji41][emoji41][emoji41]

View attachment 2124122
Spotted.
IMG_20220220_105403.jpg
 
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] Hiyo RR ( Rolls Royce ).. Binafsi hao nitakula nao sahani moja mwaka huu.. mwishoni kuanzia mwezi wa tisaa hivi aaah! lazima nilale nao mbele, acha niteseke msituni kama mkimbizi kuna mwamba wangu mmoja hii wiki kashusha RR SVR mupyaaaa
Matokeo ya WTI, Nas100, SPX500, GE30, Us30
 
Hizo RR huwa ndo ndoto yangu japo vitisho ninavyovipata si vya sayari hii .......eti ukinunua hiyo machine uhakikishe unapesa nyingine km uliyonunulia kwa ajili ya matunzo
Mkuu pesa si inatafutwa mzeee.. tuache kujiwekea limit kwasababu ya kelele za mashabiki 😃😃😃.. huwezi nunua gari millions of money alafu liwe bovu bovu.. haipo hiuo
 
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] haya ndio yanawapa jeuri vijana wa SA wana pesa chafuu pamoja na Zim.. ndio maana unakuta madogo wanamiliki machine za hatari.. Bongo trader wengi waoga ukiwatajia hizo pair wanakuona katiri..
Haha kama yule dogo wa SA Sandile Shezi! Zim nako kuna matajiri wa Forex?
 
Haha kama yule dogo wa SA Sandile Shezi! Zim nako kuna matajiri wa Forex?
Sana tu Zim wapo kibao sana, hata ginmimbi kuna kipindi alikuwa anakataa utajiri wake kuhusishwa na FX.. wadau walikuwa kama wamekalili yoyote mwenye mawe wanajiongeza ninFX.... SA wapo wanyama wengi sana wa FX na wana pesa chafuu sana wabongo wengi huwa wanakimbia wanaenda zao kuishi dubai au SA.. kidogo tuna ukilitimba wa kufatana fatana.. watu kujua source ya pesa.
 
Haha kama yule dogo wa SA Sandile Shezi! Zim nako kuna matajiri wa Forex?
Na T wengi wa ule ukanda wana make sana kupitiani Nasdaq100 au SXP500 nahisi wana key zao.. hizi kwa wiki kutengeza $100,000 kama mtu ana capital ni kunusaaa. unakuta kijana ana tengeza profit mfululizo 😎😃😃😃 acha tuambane na Kashaija72 na sie tushushe Rollys Royce sio SA tu.. ila lazima tuhame nchi.. bank zetu na taasisi zetu ukuda mwingi
 
Mkuu maburesho kuhusu Kitonga Pass ?au umenijibu politically?tuelewe T1 life span yake imekwisha miaka mingi iliyopita ,inabidi tujenge T1 mpya, Kitonga Pass ni mess.
Ndio Kuna tender ya upembuzi yakinifu Kitonga escarpment..... Life span imepitwa? Lakini wanatengeneza vipande vipande mfano iyovi-mafinga mwaka 2013 by Interbetton, mafinga-Makambako mwaka 2020 by Mchina, na Sasa inaenda Igawa-Tunduma njia 4 muda wowote.
 
Na T wengi wa ule ukanda wana make sana kupitiani Nasdaq100 au SXP500 nahisi wana key zao.. hizi kwa wiki kutengeza $100,000 kama mtu ana capital ni kunusaaa. unakuta kijana ana tengeza profit mfululizo [emoji41][emoji2][emoji2][emoji2] acha tuambane na Kashaija72 na sie tushushe Rollys Royce sio SA tu.. ila lazima tuhame nchi.. bank zetu na taasisi zetu ukuda mwingi
Hahaaaaaa, kuhama hapa napo ni kazi Sana. South kupigwa Shaba ni nje nje.
 
hata ukiwa na $6000 inatosha kwenda na hizo pair, issue uwe ja subiri na uwe na confirmation za kutosha kabla hujaingia.. ni bora mtu anaona a trade. mala. moja kwa wiki.. ila anachafua hali ya hewa kwa broker [emoji2][emoji2][emoji2]
Halafu hata Mimi hiyo style ya position trading naipenda mno. Unakaa unasubiri hata mwezi mzima bila kutrade. Ila pair ikiingia kwenye anga, liquidity provider analia. Hii style inakupa uhuru hata kwenda Shambani. Tuombe uzima.
 
Back
Top Bottom