Nations
JF-Expert Member
- May 4, 2022
- 4,892
- 17,003
Najua na nimeelewa 😀😀[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kweli tena....ila usiniulize ni nini?
Najua unajua.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Najua na nimeelewa 😀😀[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kweli tena....ila usiniulize ni nini?
Najua unajua.
Naaaaaam!!!!!Najua na nimeelewa [emoji3][emoji3]
Gari sio reliable kulinganisha na LC 300.Gari mbovu kabisa hio-Alisikika Mtoyota mmoja akisema
Nashusha tank nakausha maji yote.Eti wakuu [emoji16]View attachment 2302603
[emoji16][emoji16][emoji110]Nashusha tank nakausha maji yote.
Ijumaa jioni saa 11 naenda Dodoma peke yangu. Wapi naweza kupata vichwa vya kunipigisha Stori na kupunguza makali ya mafuta?!Makiwendo naona uwepo wako 😀😀😀View attachment 2301280
Vichwa pale mbezi mwisho au kibo, unapata. Ukipata vichwa vitatu elfu 75.. unapunguza kidogo ukali 😀😀😀 ukiweza pakia wanne basi una 100k safi mchangia weseIjumaa jioni saa 11 naenda Dodoma peke yangu. Wapi naweza kupata vichwa vya kunipigisha Stori na kupunguza makali ya mafuta?!
Boss, unataka kubeba watu usiowafahamu? Mafuta yana ukali, ila usalama uzingatiwe. Chukua tahadhari mazee!Hapo mbezi mwisho kuna kituo maalum?
Mbezi mwisho ukifika pale darajani kwa mbele, utaona hata wenyewe wanakupiga mikono .Hapo mbezi mwisho kuna kituo maalum?
Mengine Mungu hutuepusha ingawa taadhari muhimu. Pale kuna abiria wengi tu na unaweza weka condition katika upakiaji wako.Boss, unataka kubeba watu usiowafahamu? Mafuta yana ukali, ila usalama uzingatiwe. Chukua tahadhari mazee!
Ni kweli mkuu maana tunaishi Tanzania iliyogeuka, ni ngumu mno kujua Nami ni abiria au bad person,may be ni kukusanya ID'S zao kwanza kabla hajaingia ndani ya gari, na kama utachukua abiria zaidi ya mmoja jitahidi uchanganye yaani ke&meBoss, unataka kubeba watu usiowafahamu? Mafuta yana ukali, ila usalama uzingatiwe. Chukua tahadhari mazee!
Kibo chukua mmoja mbezi chukua mmoja kibaha mmoja tembea kwa burudani chiefTahadhari muhimu.
Boss tupo wengi tunaowategemea nyie wenye usafiri wenu mtufikishe mahali.Boss, unataka kubeba watu usiowafahamu? Mafuta yana ukali, ila usalama uzingatiwe. Chukua tahadhari mazee!
Usipakie wenye mizigoHapo mbezi mwisho kuna kituo maalum?
Ukilivuka daraja tu lile weka kushoto, madalali wako kibao watakuungia wasafiriHapo mbezi mwisho kuna kituo maalum?