Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bon voyage mkuu,Mungu akutangulie.Safari ya kaskazini ilikufa, muda huu saa 14: 20 nakunywa mafuta Safari ni songea to dar via iringa. View attachment 2326329
Amina... makambako nowBon voyage mkuu,Mungu akutangulie.
Unapeperuka mno mkuu,dinner inaonekana ndani ya mpitimbi!Amina... makambako now
Ukifika hapo doma kuna mishkaki sio ya mchezo mkuu pitia uonje.Amina... makambako now
Safari njema.Safari ya kaskazini ilikufa, muda huu saa 14: 20 nakunywa mafuta Safari ni songea to dar via iringa. View attachment 2326329
Ile ya wamasia?,mimi ninaiogopa mno, nyama njiani ninazikimbia mnoUkifika hapo doma kuna mishkaki sio ya mchezo mkuu pitia uonje.
Usiogope mkuu mimi nimepita hapo jana kuamkia leo saa 9 alfajir nikanywa na maziwa.Ile ya wamasia?,mimi ninaiogopa mno, nyama njiani ninazikimbia mno
Two hours now nimestuck kitonga... Kuna ajaliSafari njema.
#speedkills
Nipo kitonga kuna jam la kufa mtu....dar inaweza kuwa asubuhUkifika hapo doma kuna mishkaki sio ya mchezo mkuu pitia uonje.
Pole mno ,kitonga pass mtihani mkubwa hapoNipo kitonga kuna jam la kufa mtu....dar inaweza kuwa asubuh
Asante, mikumi now. Kuna jam kidogo hapa mzaniPole mno ,kitonga pass mtihani mkubwa hapo
Thanks chiefPole mno ,kitonga pass mtihani mkubwa hapo
Mzee nilitaka nikutetee ila kwa swala la kuniambia Msata hadi segera unatembea kwa 1 Hour hio naona ni Africafe coffee kabisa.😂😂😂Kutoka Tegeta njia panda ya wazo hadi Msata ni 1hour. Msata mpaka Segera 1hour.20minutes Segera to Tanga 1hour. Mara kwa mara natumia muda huo kutoka Hapo njia panda ya wazo kwenda Tanga. Muda wa usiku lakini
Mkuu umepasuka 😂😂😂 3GR inakula lami sio mchezoAmina... makambako now
Mkuu unahisi kila D-4D ni mtori, kuna ile 1KD yenye intercooler inatembea.Kama umeongozana na D4D hakuna mwendo hapo.
Nimpigwa tochi 2 songea to madaba, moja nimetoa ya kubrashia viatu na nyingine nimekula umeme(cheti)Mkuu umepasuka [emoji23][emoji23][emoji23] 3GR inakula lami sio mchezo
😂😂😂😂😂😂 hio ilikuwa pieNimpigwa tochi 2 songea to madaba, moja nimetoa ya kubrashia viatu na nyingine nimekula umeme(cheti)