Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Angalau kwa kweli! Ila inapaswa kushuka zaidi.Amkeni amkeni mkeka wa EWURA umetoka Dar es salaam petrol 2,969 kutoka 3,410 afadhali kidogo!
Good luck mkuu, as usual pls tupia picha humu, picha zinafundisha mambo mengi zaidi kuliko maelezoService kidogo, trip ni songea-irnga-dodoma. Kesho itakuwa ni dodoma-kondoa-babati- Arusha to moshi.
View attachment 2348763
Ila magari haya ya kijapan ukipata yaliyotengenezwa SA mengi yapo SafiKwa macho yangu ya kutembelea garage asilimia zaidi ya 95% nakuta na magari from japan mabovu yanatengezwa, kwa ufupi gari mbovu kabisa hapa nchini ni hao wajapan
Safi mkuu kila la kheri.Service kidogo, trip ni songea-irnga-dodoma. Kesho itakuwa ni dodoma-kondoa-babati- Arusha to moshi.
View attachment 2348763
Safiri salama.Service kidogo, trip ni songea-irnga-dodoma. Kesho itakuwa ni dodoma-kondoa-babati- Arusha to moshi.
View attachment 2348763
Tamu Sana hiyo mzazi.Service kidogo, trip ni songea-irnga-dodoma. Kesho itakuwa ni dodoma-kondoa-babati- Arusha to moshi.
View attachment 2348763
....wiper nazo ziwe katika ubora mkuuTamu Sana hiyo mzazi.
Usisahau kucheck brake na taa.
Aisee wiper ziwe miyeyusho alafu ukutane na mvua kubwa unapaki gari....wiper nazo ziwe katika ubora mkuu
Ni kitu kidogo ambacho mara nyingi tuna ku overlook,ila wipers ni muhimu mno hasa kwa wale night drivers, usiku kuna wadudu wengi kuliko mchana, wipers zikiwa hazifanyi kazi ni shida mno!Aisee wiper ziwe miyeyusho alafu ukutane na mvua kubwa unapaki gari
Haina Shaka mkuu.Kwa wapenzi wa F1 weekend hii ni Monza, kama umepata ya kuwa na privilege ya kuangalia F1,jitahidi uangalie maana hapo ndio chance pekee ya kuona jinsi top drivers duniani wanavyoendesha kwa speed kali muda mwingine up to 300 km/h,la kujifunza hapa ni kuangalia breaking zones kwenye slow na fast corners, kuendesha kwa kutumia driving line SIO barabara (ndani ya barabara kuna driving line)
Tozo baba.Leo nimeona LC300 GR Sport namba STM!!
Naifuatilia F1 msimu mzima. Last week tulikuwa Dutch. Kama kawa Verstapen akakiwasha.Kwa wapenzi wa F1 weekend hii ni Monza, kama umepata ya kuwa na privilege ya kuangalia F1,jitahidi uangalie maana hapo ndio chance pekee ya kuona jinsi top drivers duniani wanavyoendesha kwa speed kali muda mwingine up to 300 km/h,la kujifunza hapa ni kuangalia breaking zones kwenye slow na fast corners, kuendesha kwa kutumia driving line SIO barabara (ndani ya barabara kuna driving line)
Welldone mkuu bila shaka mwaka huu ni wenu kwenye driver's champion 🏆 na construction championship, Red bull mpo Safi mimi ni Ferrari team, hope's tutakua tupo nyumbani na zile straight lines za Monza zitatusaidia, Bad news inaonekana Africa bado haijawa tayari to host F1Naifuatilia F1 msimu mzima. Last week tulikuwa Dutch. Kama kawa Verstapen akakiwasha.
Binafsi naipenda Redbull Racing Team.
It's boring now, Mad max anashinda kila race hata akitokea P14Kwa wapenzi wa F1 weekend hii ni Monza, kama umepata ya kuwa na privilege ya kuangalia F1,jitahidi uangalie maana hapo ndio chance pekee ya kuona jinsi top drivers duniani wanavyoendesha kwa speed kali muda mwingine up to 300 km/h,la kujifunza hapa ni kuangalia breaking zones kwenye slow na fast corners, kuendesha kwa kutumia driving line SIO barabara (ndani ya barabara kuna driving line)
South Africa wana kiwanja chao tayari.Welldone mkuu bila shaka mwaka huu ni wenu kwenye driver's champion [emoji471] na construction championship, Red bull mpo Safi mimi ni Ferrari team, hope's tutakua tupo nyumbani na zile straight lines za Monza zitatusaidia, Bad news inaonekana Africa bado haijawa tayari to host F1
Mwendo wa kupokezana vijiti.It's boring now, Mad max anashinda kila race hata akitokea P14