Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nafikiri RRONDO amekupa muongozo tayari.Mkuu hiv Discovery 2 maintenance vipi? Eg. spea, mafuta, mafundi?
Mkuu kama kwako gari ya $80,000 (Tzs 200m),ushuru 90m(per wewe) kama ni ya kawaida hongera sana.
Uzuri wa Crown unaenda Tandale kuokoteza spare za 5,000.Ngoja niwape picha kidogo
Oil filter ya hio Benz average 30,000
Air filter average 50,000
Hii ikifa ball joint unanunuq complete arm na Kuna arms nne mbele inaweza kukutoka 800k-1m
Shocks za mbele average kama 500,000
Tutaje bei za Crown?
Au mnazungumzia fuel consumption?
Vibaya sana, kanateleza hakunaga mfano, ukikuta kamepark utasema ni ka chupi Fulani hivi[emoji38][emoji38] ngoja kalale road sasa!!Haka kajamaa kako bomba sana!
😂😂😂😂😂😂 hamna spare ya crown ya elf 5 ww
Gari ya kizamani hio inapigika mkono..haiwezi kuwa aghali sana kulitibu. Shida ni haya yanayonusa mafuta😂😂😂 umeme kila kona hadi kwenye wipers!Mkuu hiv Discovery 2 maintenance vipi? Eg. spea, mafuta, mafundi?
Crown Ile iliyotumika kumzika waziri mkuu wa Japan shinzo abeNimesoma hapo kwamba gari hio inatumia hela kidogo ku-service kuliko Crown. Nikajiuliza crown hizi hizi yebo yebo au nyingine?
Mi situmii ToyotaNdio unayotumia wewe mkuu?
Filter ya namba ngapi inakaa muleOil filter.
Ahaa kumbe ni kama za bm tuSio ya chuma. Ya karatasi aka paper element oil filter.
Amazing viewsvideo kutoka maktaba:
ni katika moja ya roadtrip zangu nilizofanya mwaka 2020.
hapa tunatoka zetu singida kuelekea arusha.
sina knowledge kubwa kuhusu barabara ya singida-arusha, kwa maana hiyo sikumbuki jina la sehemu niliyo record video hii. ila nakumbuka tulikuwa tunaitafuta katesh.
ilikuwa ni msimu wa wa masika, uoto wa kijani ulikuwa umekubari sana kiasi cha kuleta mvuto kwa aliyetazama.
NB:
ilikuwa ni trip ya kikazi, gari tuliyotumia ni toyota hiace wagon grand cabin, mali ya taasisi fulani.enjoy.
View attachment 2435554
Eeeh aisee unakusudia nini na power yote hio? Usiniambie inaishia 180kph hio lazima inafika at least 250kph stock.Habari! Lexus ISF 5.0L V8 engine
YOM -2008 with 419 HP
300km/hr hakuna haja ya kukata kamba...
nimeona specs zake nikapata msukumo Ku share nanyi.
Ahsanteni wakuu.
View attachment 2435329View attachment 2435330