Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Al Jazeera, sio ile ya Qatar bali hii ni ya Ruaha Mbuyuni...asubuhi na mapema hata kuku hawajaanza kuchomwa

View attachment 2479903
Picha nzuri mkuu, binafsi pamoja ya kuwa mdau sana wa T1 sijaingia hii pit stop embu Tia nyama zaidi kuhusiana na pit stop hii, je ni bora kuliko ile ya Msolwa?,naona parking ipo ya kutosha, vipi kuna huduma za mabafu, msosi wake (nyama naziogopa sana)
 
Wenyeji wanasema msimu huu mchana unakuwa mrefu kuliko usiku.

Hii ni mafinga saa 12, na jua halina mpango wa kuzama

20230117_181036.jpg
 
Picha nzuri mkuu, binafsi pamoja ya kuwa mdau sana wa T1 sijaingia hii pit stop embu Tia nyama zaidi kuhusiana na pit stop hii, je ni bora kuliko ile ya Msolwa?,naona parking ipo ya kutosha, vipi kuna huduma za mabafu, msosi wake (nyama naziogopa sana)

Hapo mkuu sana sana kitu cha kula ni kuku wa kuchoma na hiyo huwa mchana mida ya lunch, lakini sasa huwa ni vurugu vurugu sababu ni mida mabasi huwa yamejazana hapo...

Asubuhi mida kama hiyo nimepita utakuta wauza vitunguu tu, mimi nilipita kwenda kupunguza haja ndogo...

Msolwa ni pazuri zaidi sababu kuna utulivu na mostly ni gari binafsi zinapark...ukiacha Msolwa sehemu nyingine nzuri ni Tawaqal Iringa karibu na Asas pale...
 
Back
Top Bottom