Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,229
- 50,144
Pamependeza😍
Sijapita hyo njia kitambo
Ndio ukuje sasa Easter
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pamependeza😍
Easter siji huko 🤣Pamependeza😍
Sijapita hyo njia kitambo
Ndio ukuje sasa Easter
Hahaa Mo town au?Easter siji huko 🤣
Nina ratiba na mkoa flan
Pamenoga
Sijui nitapita lini mwee
Green city hiyoo😁Hahaa Mo town au?
Me nataka niende Rock city
Pamebamba sana, hasa hivyo usiku panavutia zaidi
Unileteapo maparachichi ukienda😂Green city hiyoo😁
Naenda kulima mchele supa
Picha nzuri mkuu, binafsi pamoja ya kuwa mdau sana wa T1 sijaingia hii pit stop embu Tia nyama zaidi kuhusiana na pit stop hii, je ni bora kuliko ile ya Msolwa?,naona parking ipo ya kutosha, vipi kuna huduma za mabafu, msosi wake (nyama naziogopa sana)Al Jazeera, sio ile ya Qatar bali hii ni ya Ruaha Mbuyuni...asubuhi na mapema hata kuku hawajaanza kuchomwa
View attachment 2479903
Kusini wasifunge maduka mapema sasaView attachment 2483190
Nyanda za juu kusini...
Muda: Saa moja jioni, yes hii ni saa moja jioni[emoji848][emoji848] mwanga kama wote
Mashallah, ila kuna tuta hapo kwenye T1 huwa zinanikera sana na Ile check point yao pale juuWenyeji wanasema msimu huu mchana unakuwa mrefu kuliko usiku.
Hii ni mafinga saa 12, na jua halina mpango wa kuzama
View attachment 2484931
Duh mazingira yanatamanishaWenyeji wanasema msimu huu mchana unakuwa mrefu kuliko usiku.
Hii ni mafinga saa 12, na jua halina mpango wa kuzama
View attachment 2484931
T1 haitaki hasira watakumalizaMashallah, ila kuna tuta hapo kwenye T1 huwa zinanikera sana na Ile check point yao pale juu
Hapo nyuzijoto 20 - 12. Watu wanaishi vizuri sanaDuh mazingira yanatamanisha
Pls mwambie huyo road engineer wa hapo mafinga aondoe hizo tuta mbili kwenye huo mteremko wa kushuka mafinga ukitokea saw hillT1 haitaki hasira watakumaliza
Ni kweli jamaniWenyeji wanasema msimu huu mchana unakuwa mrefu kuliko usiku.
Hii ni mafinga saa 12, na jua halina mpango wa kuzama
View attachment 2484931
Plan basi 😉Ile trip yetu vipi?
Picha nzuri mkuu, binafsi pamoja ya kuwa mdau sana wa T1 sijaingia hii pit stop embu Tia nyama zaidi kuhusiana na pit stop hii, je ni bora kuliko ile ya Msolwa?,naona parking ipo ya kutosha, vipi kuna huduma za mabafu, msosi wake (nyama naziogopa sana)
Nakubali sana, nadhani na ww utakuwa na gari yenye uwezo ili uendane na pace yake mzee au alikuwa hafunguki?View attachment 2485150
Shukrani nyingi zimwendee mwamba hapo mbele maana kaifanya safari yangu leo iwe fupi mno kwa kuonekana ni convoy ya wazee wa serikali...[emoji23][emoji23]