Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Hivi wale mabwege Jumamosi jioni watakuwepo. Nina Trip ya huko tena! Ntakatisha mida ya saa 9 mchana hivi.Usifanye hivyo mkuu...six lanes tamu zile
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi wale mabwege Jumamosi jioni watakuwepo. Nina Trip ya huko tena! Ntakatisha mida ya saa 9 mchana hivi.Usifanye hivyo mkuu...six lanes tamu zile
Hapo unakuwa muungwana sana. Mimi darajani kuna siku nawahi asubuhi akanipiga tochi nina 120kph zone ya 30kph nikamwambia mheshimiwa andika niende tu hakuna namna!Nilipigwa tochi Chinangali, ikabidi tukubaliane kiutu uzima tu maana kwenye kubao cha 50, nilikuwa nishawaka 171kph
🤣 Jamaa pale wanapata hela sana lakini maana unakuwa huna namna ya ku dodge itabidi niandae ya kubrashia tu! 😀Kuanzia 1730hrs wanaondoka kabla ya hapo kuwa makini sana, wanahama location!
Hio ndio maana siwapendi hawa wapuuzi na deni ntalipa nikijiskia sio kipaumbele kwa sasa. Akikosa kosa anaamua kukubambikia lolote analoona rahisi kwake.
View attachment 2496283
Asubuhi
😁😁 kila mtu kaamsha lake
Mzee utakuja kamatwa kizembe, kuna askari wapo mtaani kazi yao ni madeni tu...
Walinifanyiaga hilo jangwani pale 🤣 ilikuwa 37, 500 nika clear. Dawa yao kuwa na hela kwenye simu tu.Na huondoki hadi ulipe.
Maafande wa njia yako hao wao hata Jumapili wanatega ndoano 🤣🤣🤣
Yani ukiacha nyoka kiumbe kingine kinachonikera ni trafikiduh jamaa wanakutesa sana dadeki
Kuna faller mmoja hivi huwa anatega maeneo karibu na kanisa sijui la RC au KKKT lile...ukiwa unatokea njia ya Darajani kama unaenda Ferry, sasa kuna kinjia (one way) kinakunja kulia hapo ili utokee upande wa NMB/barabara ya baharini, ukijimiksi tu ukakunja hapo unamkuta kwenye kona ya kwanza anakungoja...
Wao wanataka ukakunjie kwa mbele ambapo huwa kuna foleni kinoma mida fulani...
Ahaaa pale ni kweli imekuwa one way, unaingilia kule mbele unatokea hapa kanisani. Hilo wazo tuliwapa sisi maanake palikuwa hapafai hapo kwa foleni. Ila siku hizi kuna njia pale navy inatokea mikadi ya lami kabisa imekamilika kwahio huna sababu ya kwenda hadi ferry. Ukianza tu fence ya navy unakunja kulia.Kuna faller mmoja hivi huwa anatega maeneo karibu na kanisa sijui la RC au KKKT lile...ukiwa unatokea njia ya Darajani kama unaenda Ferry, sasa kuna kinjia (one way) kinakunja kulia hapo ili utokee upande wa NMB/barabara ya baharini, ukijimiksi tu ukakunja hapo unamkuta kwenye kona ya kwanza anakungoja...
Wao wanataka ukakunjie kwa mbele ambapo huwa kuna foleni kinoma mida fulani...
Hahahah sema sindio njia yako hio mzee kila siku lazma wakuone hadi wanakuzoea 😀😀😀!Ha ha ha dah mapoti wanazingua.....siku hizi nawamudu hawanipi shida ubro unasaidia.
Hahahah nilishadakwa njia ya Ubungo CNG, walikuwa na mkuu wa kituo kwenye coaster kabisa 🤣🤣🤣 sitasahau ile siku nilipiga simu hadi nikachoka.Yeah kama huna utapiga simu zote hawakuachi labda uwatoe tena.