Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Yangu November ntachukua ushauri

Dsm-Moshi-kahama -mwanza-Dsm
Hii route hauwezi fanya mchakato ukazunguka?

1000110271.png
 
Uendeshaji wa gari pamoja na sheria zake, utu unahitajika pia, utakuta dereva wa trunk anang'ang'ania ile fast line ya ku overtake ,Tanzania tuna keep left na pass right, traffic officer's wetu hawatilii umuhimu wa kuwapima madereva kuhusu vilevi, na T1 madereva wa IT's ni wasumbufu mno na tabia yao ya kuendesha wakiwa full lights
 
Mbona hatuna hayo mambo

Udereva ni ustaarabu wa mtu binafsi

Lkn nawew kabla ya ku overtake omba site

Unakuta anakuepusha labda kaona kitu mbele ambacho hujakiona mkuu.
Hamna crown ,Subaru,bima etc siyo fuso mpaka mtu wa nyuma ashindwe kuona mbele, basi tu udereva uliochanganyikana na akili za ujana
 
Wazee mpo! Leo Nina trip ndefu sana. Tayari nimeanza mda huu kutokea Ubungo kuelekea Bukoba.

Nitawapatieni updates. Sala zenu wakuu

Update:

Saa5:03 Msamvu. Hapa nina notification moja ya ku overtake, nurse amegoma kula buku2 akaandika.
Ukifika Singida Nistue uchukue Kuku na Futa la Alizeti upeleke zawadi kwa Familia Boss😀😀😀
 
Nimekamirisha safari

View attachment 2712544

Mafuta ya 240,000/= Diesel
Gari cc 2,200

Nilichojifunza:
(1) Kama unapenda kuendesha, make sure una company.
(2) Endesha sana usiku. Pametulia sana.
(3) Ukifika kwenye mji zurura na baiskeli, bajaji, boda au ya miguu gari park. Itasevu wese sana.
(4) Kunywa sana maji. Huwezi sinzia ukiwa na mkojo.
(5) Cruise control ni life saver.
(6) Speed ya 70-80 kph ndio nzuri kwa kutunza mafuta.
Speed inayotunza mafuta ni 90-100

70 au 120 na kuendelea ndo inakula mafuta
 
Back
Top Bottom