Vocal Fremitus
JF-Expert Member
- Oct 20, 2016
- 1,287
- 6,648
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nomaWakikutana na Mjerumani ndio wanaweza jiua kabisa bila kisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nomaWakikutana na Mjerumani ndio wanaweza jiua kabisa bila kisa
Mkuu ulishavuta kitu?Nasubiri E nivute kitu
Hii route hauwezi fanya mchakato ukazunguka?Yangu November ntachukua ushauri
Dsm-Moshi-kahama -mwanza-Dsm
Hamna crown ,Subaru,bima etc siyo fuso mpaka mtu wa nyuma ashindwe kuona mbele, basi tu udereva uliochanganyikana na akili za ujanaMbona hatuna hayo mambo
Udereva ni ustaarabu wa mtu binafsi
Lkn nawew kabla ya ku overtake omba site
Unakuta anakuepusha labda kaona kitu mbele ambacho hujakiona mkuu.
Umeona!hatari sana, ni Bora umwache ,akimaliza mtafute umwache,simpleJamaa alimkazia mguu makusudi 🤣 hio ngoma unakufa vibaya sanaa maana hutakaa uimalize gari unayotaka kuikata hadi unakumbwa na gari la mbele yako.
Mkuu uwe unaweka na some details kama muda, umetumia mafuta kiasi gani, changamoto za hyo barabara nkRoadTrip ya kibabe dom-kampala [emoji41]View attachment 2714617View attachment 2714618
Ukifika Singida Nistue uchukue Kuku na Futa la Alizeti upeleke zawadi kwa Familia Boss😀😀😀Wazee mpo! Leo Nina trip ndefu sana. Tayari nimeanza mda huu kutokea Ubungo kuelekea Bukoba.
Nitawapatieni updates. Sala zenu wakuu
Update:
Saa5:03 Msamvu. Hapa nina notification moja ya ku overtake, nurse amegoma kula buku2 akaandika.
Haurudi? Onesha route ya kurudi.RoadTrip ya kibabe dom-kampala [emoji41]View attachment 2714617View attachment 2714618
Speed inayotunza mafuta ni 90-100Nimekamirisha safari
View attachment 2712544
Mafuta ya 240,000/= Diesel
Gari cc 2,200
Nilichojifunza:
(1) Kama unapenda kuendesha, make sure una company.
(2) Endesha sana usiku. Pametulia sana.
(3) Ukifika kwenye mji zurura na baiskeli, bajaji, boda au ya miguu gari park. Itasevu wese sana.
(4) Kunywa sana maji. Huwezi sinzia ukiwa na mkojo.
(5) Cruise control ni life saver.
(6) Speed ya 70-80 kph ndio nzuri kwa kutunza mafuta.
Hapa embu tuwekane sawa kdg ni 70-80 ama ni 90 - 100 inayotunza mafuta na sababu km hutojali mkuu[emoji120]Speed inayotunza mafuta ni 90-100
70 au 120 na kuendelea ndo inakula mafuta
Bado nipo ugHaurudi? Onesha route ya kurudi.
Ukirudi utanipa ABC za kuingia na gari Uganda mkuu.Bado nipo ugView attachment 2716626
Kwanini 70 itumie mafuta zaidi kuliko 90?Speed inayotunza mafuta ni 90-100
70 au 120 na kuendelea ndo inakula mafuta
@Mad Max [emoji115]Comesa insurance, uwe na original car logbook(kadi) tu. Unajaza documents za TRA na KRA unavukq na gari yako.
Kama gari sio yako uwe na barua ya ruhusa kutoka kwa mwenye gari.