Mediocrist
JF-Expert Member
- Jan 27, 2015
- 1,709
- 981
Bila shaka ni MSD hii.Khs vibao vya 50 haviniusu maana natumia zile plate no tukufu za jamuhuri huru[emoji847]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bila shaka ni MSD hii.Khs vibao vya 50 haviniusu maana natumia zile plate no tukufu za jamuhuri huru[emoji847]
Upo na Iveco Stralis,Magirus,Euro tracker au Euro Cargo.Khs vibao vya 50 haviniusu maana natumia zile plate no tukufu za jamuhuri huru[emoji847]
Nop ni taasisi ingine.Bila shaka ni MSD hii.
Eurocargo mkuuUpo na Iveco Stralis,Magirus,Euro tracker au Euro Cargo.
Hapo ni haki yako kutembea mkuu, hiyo gari ina speed na nguvu sana. Watu binafsi waliomiliki Eurocargo walilamba dume.Eurocargo mkuu
Sina uzoef sana na safari ndef kwa kutumia crown lakin huwa napiga sana arusha dar kwa TI na allion kwa mafuta less than 70L. 70L naamini utafika bila tabu.Wakuu habari za mchana
Na Road trip Dar- Arusha mwezi 10
Gari Toyota Crown GRS182 3.0L
Kwa wenye uzoefu na hii njia
Nisafiri usiku au mchana?
Maeneo korofi ya kuwa makini
Pia Full tank 71L Ntatoboa kweli[emoji28]
Sina uzoef sana na safari ndef kwa kutumia crown lakin huwa napiga sana arusha dar kwa TI na allion kwa mafuta less than 70L. 70L naamini utafika bila tabu.
Barabara iko vizuri kiasi chake, zingatia tu alama za barabarani. Kuna sehem moja kuna tuta kubwa sana usije ukalibonda mana unaeza acha tairi apo.
Sikumbuki pale panaitwaje ila iliwahi kutokea ajali mbaya sana walifariki wazaz wote walitokaga kwenu graduu dar.Shukrani sana tuta liko kipande kipi?
Ni mbele mbele huko baada ya segera ukitokea darShukrani sana tuta liko kipande kipi?
Ni mbele mbele huko baada ya segera ukitokea dar
Usisahau ka video tajiri,Safari njema huku ukiwa na collection matata ya madilu na Ferreeee na kanda bongoman kwa mbaaali😀 safari inakuwa fupi saana.Shukrani mzee
Usisahau ka video tajiri,Safari njema huku ukiwa na collection matata ya madilu na Ferreeee na kanda bongoman kwa mbaaali[emoji3] safari inakuwa fupi saana.
Hii calfonia love ni balaa. Gari ikiwa na kinu kizuri, hatari mno!Tajiri mi ni HipHop [emoji91]
Ila safarini pia sikosi ngoma ya papa lolo-fan fan [emoji28]
View attachment 2765500
Uwa tunapiga picha tu mkuu. Hii ilikua saa 8 usiku. From Gairo Moro to Tanga.Nyie mnaopiga safari ndefu ndefu, mara chache muwe mnatubless na kavideo kusupport uzi
Mbna wese la bei chee sana, gari gani hii? 2000km kwa lt 110 roughlyNataka hii trip wakuu.
View attachment 2768850
Day 1: Dar to Kilwa Masoko (Nalala)
Day 2: K/Masoko to Lindi to Mtwara (Nalala)
Day 3: Mtwara to Masasi/Tunduru (Nalala)
Kurudi narudi njia iyo iyo, nitachofanya nitaspent usiku 5 tu maximum.
Budget:
1. Kulala na kula (sijajua bado)
2. Mafuta kwa jumla kilometa 2,000 itakua kwenye 200k to 250k kwa gari langu.
3. Emergency
Hope gari haitasumbua.
Mwenye ushauri.
Nataka mwezi wa 10 mwishoni au 11 mwanzoni.