Wazee wa Tanga kusoma albadir kwa waliomuua Mzee Ali Mohamed Kibao

Achana na albadiri, wangepiga Ile ya Mkungu wa ndizi. Ndizi moja ikianza kuiva mtu mmoja aliyehusika ni safari
Hio wanawezaga wapemba. Jamaa aliokamata samaki anaambiwa kama ambavyo wanaoza basi na yeye anaoza🤣
 
Hadithi yako nzuri sana nimeipenda nitaikopi na kushea.
 
What comes around goes around
 
Inanikumbusha ukimwaga ugali mwingine ana mwaga mboga
 
Alibadili ilisomwa dunia nzima na waislamu siasa kali dunia nzima kuwa askari wa Israel wafe bila kunya wala kujamba na Hamas washinde vita hamna kitu

Hamas wako hoi
Tusubiri upelelezi vyombo vya usalama watupe majibu
.
Wewe umechanganya hiyo dua wanayoisomaga watu wengi tena kwa matangazo ile sio Albadiri kuna jina lake lingine.
 
Kama unawasandia acha wafanye
 
Je, kama ataonekana aliyeshiriki ni mwenye hadhi serikalini itakuaje na unakuta ndiye anashinikiza uchunguzi piaa😥
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…