SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Itapendeza sana wa kwanza kudhurika awe Peter Msigwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wengi hawajui jinsi ya kusoma wanasingizia usafi.Hio dua lazma kwanza msomaji awe msafi kwelikweli, na iliwezekana sana enzi hizo kwa sasa labda waroge ila kukuta mtu msafi wa kukusomea albadili ikafanya kazi kwa sasa ngumu
Kwahiyo uchawi huwa kwa ajiri ya kuleta madhara tu na dua zote huwa ni za kheri?Albadiri sio Dua , bali ni uchawi wa kiarabu. Ndio maana siku zote inasomwa kuleta madhara tu na sio manufaa. Huwezi sikia mgonjwa akasomewa albadiri ili spine au mwanafunzi akasomewa albadiri ili afaulu mitihani. Albadiri ni uchawi.
Umeongea kitu kigeni kwa wengi, kuna mdada ni mkristo na ni mtu wa tiba hupenda sana kuzungumzia Novena na maajabu yake.Ni duwa mbaya,hata wakatoliki wanayo inaitwa novena,ba zinafanya kazi usipuuze
Wachawi au washirikina?Tangu lini mshirikina akawa msafi?! Albadiri ni uchawi mwanzo mwisho la kusikitisha ni namna hao wasomaji wa albadiri wanavyopewa heshima ya ushekhe wakati ni wachawi wakubwa!
Kwamba hicho kisomo hakina athari yeyote ni uongo ama wewe haurogeki?Hakuna cha kisomo wala nini ajitokeze nguli anisomee mimi nife hata leo .
Wachawi na washirikina wote watoto wa baba mmoja shetani😃😃Wachawi au washirikina?
Kuna dawa ya miti ipo Iringa huku inauwa kila kiumbe hai, hadi kuku, sisimizi na miti au mazao ya wahusika.Kutoka Tanga inaripotiwa kuwa wazee wa Tanga wamepanga kusoma dua ya kushitakia almaarufu kama albadil kwa walioshiriki kumuua mzee mwenzao Alli Mohamed Kibao.
Watakaosomewa duwa hiyo ni wale waliopanga njama za maauaji,walioshiriki kumteka,waliomuua,waliofahamu mpango mzima wa mauaji hayo,nk
Kwenye suala la duwa ukiondoa wazee wa Pemba basi wanafuata wazee wa Tanga
PIA SOMA
- TANZIA - Dar: Ally Mohamed Kibao, kiongozi wa chadema auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana
Na ili usiwe mtoto wa shetani yapaswa uweje? Usiwe na dhambi kabisa?Wachawi na washirikina wote watoto wa baba mmoja shetani😃😃
Walishindwa kwa maana ipi? Kwamba waliroga ila uchawi ulidunda au ulivyowaambia hawakufanya kitu chochote kile? Hebu elezea tuelewe huo mkasa wako.Miaka 27 iyo pita nishatoa nafasi kwenye kijiji fulani maarufu waniloge wakashindwa naomba na wewe usome hiyo kitu nife mkuu, hakuna mtu anaweza kuniaminisha mambo ya kipumbavu kama ya dini na uchawi nikafuata eti kisa tu kanitishia,japo kibinadamu natambua dhamani ya mtu.
Mbona kipimo ni Israel tu mbali kote huko?Ingekuwa zinafanya kazi basi pia Israel ingeshasomewa ingeshapotea kwenye uso wa dunia
Mmmmmh inafanya kazi kweli?Hii lazima iwafikie wahusika wote
Vyote kwa pamojaKwamba hicho kisomo hakina athari yeyote ni uongo ama wewe haurogeki?
Sasa tutajuaje kuwa hicho kisomo hakina athari kweli ama ni kwa sababu tu wewe haurogeki ndio maana hakiwezi kukupata?Vyote kwa pamoja.
Ndio tujiulize sasa 🤔Sasa tutajuaje kuwa hicho kisomo hakina athari kweli ama ni kwa sababu tu wewe haurogeki ndio maana hakiwezi kukupata?
Kudadadeki......!!!Inanikumbusha ukimwaga ugali mwingine ana mwaga mboga
Hivi hiyo abdali inasomwa kwenye kuruani au?Hakuna cha albadiri wala albajoto mimi ni muislamu na nimechukizwa sana na hichi kitendo ila kusema ukweli izo dua za albadiri sijui albajoto hamna lolote zaidi ya watu kufanya ushirikina tu
Muislamu wa kweli anoijua vizuri dini yake hafanyi huo upuuzi