kikiboxer
JF-Expert Member
- Dec 22, 2017
- 3,668
- 9,809
Dar ndio kila kitu mkuu. Kifupi ndio Tanzania yenyewe.Inakuaje sasa wenyeji kimsingi ndo waliga kura wake tangu 1995 wakose fursa huyo ilihali watu wa dar waage?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dar ndio kila kitu mkuu. Kifupi ndio Tanzania yenyewe.Inakuaje sasa wenyeji kimsingi ndo waliga kura wake tangu 1995 wakose fursa huyo ilihali watu wa dar waage?
Mkuu, ambacho kielewi ni kitendo cha kumzungusha kila mahali kwa siku sita badala ya kumzika ili apumzike na familia ipumzike.Imetajwa sababu ni kuwa uwanja husika ni mdogo hautoshi kuhudumia watu wengi, ni kipi huelewi mkuu.
Utakuwa umealibika!!!
Ule wa kimataifa wa soka haujaishaaa? Kwakwakwakwa!Mdogo uwanja sio Chato yenyewe kiswahili hujui au? Chato ni kubwa sana ila ina uwanja mdogo
Kinaepushwa kilichotokea Uhuru juziWananchi wa Wilaya ya Chato Mkoa wa Geita na mikoa jirani wameshauriwa kuaga mwili wa hayati Rais John Magufuli kwa kufuatilia kwenye vyombo mbalimbali vya habari vinavyorusha mubashara badala ya kwenda uwanjani.
Hili nalo neno. Mimi naamini kwamba njia bora ya kuomboleza kifo cha Magu siyo kuona mabaki ya mwili wake, waingereza wanaita 'body remains' Yaani maiti, bali ni kuyaishi yale mema yake. Kama taifa tusijishushe mno, hata kufikia hatua ya kuuzururisha huo mwili mabarabarani, tena kwa siku kadhaa.Sasa kama ni hivyo kuna haja gani ya kuzungusha mwili kwa siku 5 wakimtesa Mama JPM na familia yake kwa uchungu walionao wakati watu wanaweza kufuatilia kwenye TV .... Kwa nini wasiende moja kwa noja Chattle!
Sio uwanja wa mikutano ni wa ndege au kiswahili hujui tofauti ya uwanja wa mpira au wa hadhara na uwanja wa ndege? Chadema you are so stupid. Kilimanjaro international airport huwa mnaitumia kwa mikutano ya kisiasa au kuaga Ndesamburo?Ule wa kimataifa wa soka haujaishaaa? Kwakwakwakwa!
Somo hapo juu amemnukuu akisema chato ni Padogo rudia kusoma vizuri.Mdogo uwanja sio Chato yenyewe kiswahili hujui au? Chato ni kubwa sana ila ina uwanja mdogo
Kasema uwanja rudia tena kusoma patagraph ya pili.Somo hapo juu amemnukuu akisema chato ni Padogo rudia kusoma vizuri
Si kuna Uwanja wa Mpira ambao tuliambiwa na Kalemani unajengwa hapo Chatto, inakuwaje tena uwanja mkubwa hautoshi?Sio uwanja wa mikutano ni wa ndege au kiswahili hujui tofauti ya uwanja wa mpira au wa hadhara na uwanja wa ndege ? Chadema you are so stupid.Kilimanjaro international airport huwa mnaitumia kwa mikutano ya kisiasa au kuaga Ndesamburo?
Haujajengwa alisema utajengwa hujui kiswahili?Si kuna Uwanja wa Mpira ambao tuliambiwa na Kalemani unajengwa hapo Chatto, inakuwaje tena uwanja mkubwa hautoshi?
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Siku ya mazishi ndo siku ya mapumzikoJamani Eti siku ya mapumziko ya kitaifa ni lini?
kati ya Alhamis na Ijumaa?...
Tundu Lissu aliwashauri acheni kuuzurulisha mwili wa marehemu mkajifanya vichwa ngumu! Ona sasa maji yamezidi unga.Sio uwanja wa mikutano ni wa ndege au kiswahili hujui tofauti ya uwanja wa mpira au wa hadhara na uwanja wa ndege ? Chadema you are so stupid. Kilimanjaro international airport huwa mnaitumia kwa mikutano ya kisiasa au kuaga Ndesamburo?
Wanalinda maisha ya Wananchi baada ya maafa yaliyotokea kule Dar es salaam! LEGENDS DO NOT DIE ALONE, THEY ARE ESCORTED!Haya nayo ni makubwa.
Wamestukia jambo gani?