King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Jiwe alikuwa hafai aiseee ,kama angeendelea nadhani 95% tungekua tunashindia uji wa chumvi per day.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli ww ni ushuzi mtupu.Ushuzi tupu
Sema ww na ukoo wako ,sio sisiRubbish. Sisi wananchi tunataka viongozi kama hao kina magu hata wawe 10mil hivi.
Chukiii na wivu kwahiyo kama mkeo katoka kabila fulani kakushinda ndio wasiolewe tena, hio haimaniishi wsliobakia hawatoweza .Mimi nasema Kabila lile alilotoka mwendazake ni hatari kwa nchi hii
🤣 🤣 🤣 🤣 walipa kodi wakapelekewa moto kwelikweli. Mpaka wakaanza kukimbia nchi"Peleka moto, wapelekee moto, peleka moto wee wapelekee motoooo"
Majibu ya Magu akiwaambia wateule wake pale wanapomwambia "Wananchi wanalalamikia hili na hili"
Sent from my Infinix X572 using JamiiForums mobile app
Haya mambo yasijuridie tena🤣 🤣 🤣 🤣 walipa kodi wakapelekewa moto kwelikweli. Mpaka wakaanza kukimbia nchi
Najua ni namna gani Rais na mwenyekiti wa CCM alivyo na nguvu kwa hapa nchini katika kipindi cha kupitisha jina la mgombea wa chama chake.
Kwa mazingira hayo, wenye nguvu na maamuzi makubwa ndani ya chama cha mapinduzi ni Mwenyekiti na Rais wa Tanzania mama Samia, Lakini pia huwezi kumkosa kikwete na Mangula kwa wakati huu.
Chondechonde, Makosa mliyofanya mwaka 2015 kwa kumleta magufuli yalikuwa ni zaidi ya mateso kwa taifa, na kama mungu asingeingilia kati taifa lingekuwa kwenye mateso kwa MDA mrefu sana, isingekuwa rahisi kuponyoka kwa ule mfumo ambao kwao ulishaanza kuonekana ndio utendaji wa kutukuka.
Kilichokuwa kinafanyika awamu ya tano kilikuwa hakina tofauti na kilichokuwa kinafanyika Rwanda na kupelekea genocide, It was just the matter of time, tulikuwa tayari tumechukua uelekeo kuelekea kwenye tatizo lenyewe.
Viongozi waliopewa nyadhifa kutuongoza walitufanya tuishi kama tumbili ndani ya nchi yetu, unaamka asubuhi unasali kwa dini zote ili usiingie kwenye mikono yao ukapotezwa.
Chondechonde mama msije mkajisahau mkaturudisha huko tena. nashauri hata Waziri Mkuu,Majaliwa akimaliza mda wake muacheni akalime huko lindi, ndio mazao ya mwendazake hayo.
Tupeni watu wenye hofu ya mungu na kuona kila mtanzania anastahili kufurahia maisha akiwa ndani ya nchi yake.
Kwa sasa watu hawana pesa lakini wana amani na furaha tele. MUNGU NA ASHUKURIWE.
Mungu kamtwaa Magufuli kwa sababu maalum, aliona jinsi watanzania walivyoteseka.
Hawana huo uwezo.Mungu ndie anaepanga yote.Najua ni namna gani Rais na mwenyekiti wa CCM alivyo na nguvu kwa hapa nchini katika kipindi cha kupitisha jina la mgombea wa chama chake.
Kwa mazingira hayo, wenye nguvu na maamuzi makubwa ndani ya chama cha mapinduzi ni Mwenyekiti na Rais wa Tanzania mama Samia, Lakini pia huwezi kumkosa kikwete na Mangula kwa wakati huu.
Chondechonde, Makosa mliyofanya mwaka 2015 kwa kumleta magufuli yalikuwa ni zaidi ya mateso kwa taifa, na kama mungu asingeingilia kati taifa lingekuwa kwenye mateso kwa MDA mrefu sana, isingekuwa rahisi kuponyoka kwa ule mfumo ambao kwao ulishaanza kuonekana ndio utendaji wa kutukuka.
Kilichokuwa kinafanyika awamu ya tano kilikuwa hakina tofauti na kilichokuwa kinafanyika Rwanda na kupelekea genocide, It was just the matter of time, tulikuwa tayari tumechukua uelekeo kuelekea kwenye tatizo lenyewe.
Viongozi waliopewa nyadhifa kutuongoza walitufanya tuishi kama tumbili ndani ya nchi yetu, unaamka asubuhi unasali kwa dini zote ili usiingie kwenye mikono yao ukapotezwa.
Chondechonde mama msije mkajisahau mkaturudisha huko tena. nashauri hata Waziri Mkuu,Majaliwa akimaliza mda wake muacheni akalime huko lindi, ndio mazao ya mwendazake hayo.
Tupeni watu wenye hofu ya mungu na kuona kila mtanzania anastahili kufurahia maisha akiwa ndani ya nchi yake.
Kwa sasa watu hawana pesa lakini wana amani na furaha tele. MUNGU NA ASHUKURIWE.
Mungu kamtwaa Magufuli kwa sababu maalum, aliona jinsi watanzania walivyoteseka.
hahahaMajaliwa kazi yake ilikuwa kuchekacheka tu. Ndugu zake wanadhulumiwa korosho lenyewe linakenua tu.
Yes, watu aina ya Lissu mkuuMi siungi mkono hoja, kuunga mkono hoja ni kukubali kuwa Rais wa Nchi lazima atokee CCM
Tundu Lissu yupo anaweza kuwa Rais wala achaghuliwi Na hawa Mama Samia, KIKWETE, MANGULA na Wazee wa CCM
Bush bogusMwendazake alisumbuliwa na ulimbukeni wa madaraka akajiona yeye ni mungu mtu, period!
Hizi ni kauli na kijinga na kipumbavu, Fikra Kama hizi zimejaa ubaguzi na umimi.Mimi nasema Kabila lile alilotoka mwendazake ni hatari kwa nchi hii
Taja makabila yanayofaa tujue mapema.Mimi nahisi mtu kutoka kabila la kanda nyonyo hafai kabisa kupewa madaraka ni htar kwa ustawi wa jamii