Wazee wenye hekima ndani ya CC ya CCM. Msirudie kupitisha Mgombea Mwenye kaliba ya Magufuli

Wazee wenye hekima ndani ya CC ya CCM. Msirudie kupitisha Mgombea Mwenye kaliba ya Magufuli

Ametuumiza sana kiuchumi na kisaikolojia...unaogopa kulalamika kisa kukwepa kupotea ghafla,kukwepa bullet. Yaan ilikuwa tafran
 
Roho ya kibaguzi alipandikiza jambazi lililozikwa huko Chato
Acheni kufikiria matumbo yenu. Jengeni hoja za msingi zitakolisaidia taifa miaka 50 ijayo.
Siyo kutukana viongozi wa serikali kisa suruai yako ina viraka vyingi.
 
Ni kosa pia la taasisi zetu za usalama
Shetani Magufuli alitakiwa kuuawa mapema Sana ili kuokoa nchi na matatizo.
SUBIRI TUCHE TUKUTEKETEZE WEWE NA MASHABIKI ZAOK..WEWE ULIVYOKUWA UNATUNYANYASA WAKATI WA KIKWETE KWA KUTUZURUMU NDO UNASEMA HIVI
 
Wa kumlaumu ni Kikwete! Alichonga kinyago kikamzidi nguvu, vitisho and all kind of frustrations, worries and upheavals!
Retired,
Sijui retired Wa mini, Mimi pia ni retired sasa twende mawazo ya ki retired.

Kikwete usimlaumu na hakuchonga kinyago Bali alikuwa at logger heads na Edward Lowassa na hii unajua na Lowassa CCM ilipomnyima nafasi yakuingia ikulu kwa shinikizo la kikwete akahamia upande Wa pili na bado alikuwa tishio.

Baada ya Kikwete kupiga debe kwa Bernard Membe na CCM kumkataa wazee Wa CCM walitaharuki kwa kuona hapakuwa na strong candidate kupambana na upinzani.

Mjadala ulikuwa mzito na katika Bali ya unavoidable circumstances Hayati mkapa akawaambia msipoangalia Upinzani unachukuwa nchi wakamuuliza tufanyeje? Akawaambia mpeni huyu Magufuli na mumpige tough ya nguvu mtafanikiwa.

Wakati huo Kikwete kazi take nilikuwa imeishapungua sababu walimwambia Membe hatuwezi mpa Nchi kwa sababu walizokuwa wanaxijua wao.

Hivyo His Excellence laye agufuli was a by the way leader and not a meant proposed one.

Matokeo ya kura kati ya mgombea Wa Ukawa na CCM yaligubikwa na ubishi na Mungu bariki sababu Nchi in ya Amani tatizo hili lilitatuliwa kidiplomasia utulivu ukapatikana.
 
Bora kuliko Mwendazake. Yule bwana hakuwa anafaa, ona watu alipokuwa akiwapenda Jambazi Sabaya, Jambazi Makonda na kina Mnyeti. Nchi ilikuwa inaenda kuleta historia za ajabu kama za Idd amini dada.
Mama kubwa,,are you sure mbona kama vile tupo under Jk
 
Fisadi kuishi kama tumbili ni bahati sana kwake ,fisadi anatakiwa kupigwa risasi
Walimu,wauguzi,polisi,na kada zingine kutopandishwa madaraja na increament ambayo ipo kisheria nao walikuwa mafisadi ndio maana walifanyiwa vile? Kubali tu ndugu yule dingi alikuwa katili haijawah tokea na alikuwa anatupeleka watanzania kwenye shimo ,yaan ilibaki miaka mitano watanzania tuwe na maisha kama ya watu wa Burundi.
 
Najua ni namna gani Rais na mwenyekiti wa CCM alivyo na nguvu kwa hapa nchini katika kipindi cha kupitisha jina la mgombea wa chama chake.

Kwa mazingira hayo, wenye nguvu na maamuzi makubwa ndani ya chama cha mapinduzi ni Mwenyekiti na Rais wa Tanzania mama Samia, Lakini pia huwezi kumkosa kikwete na Mangula kwa wakati huu.

Chondechonde, Makosa mliyofanya mwaka 2015 kwa kumleta magufuli yalikuwa ni zaidi ya mateso kwa taifa, na kama mungu asingeingilia kati taifa lingekuwa kwenye mateso kwa MDA mrefu sana, isingekuwa rahisi kuponyoka kwa ule mfumo ambao kwao ulishaanza kuonekana ndio utendaji wa kutukuka.

Kilichokuwa kinafanyika awamu ya tano kilikuwa hakina tofauti na kilichokuwa kinafanyika Rwanda na kupelekea genocide, It was just the matter of time, tulikuwa tayari tumechukua uelekeo kuelekea kwenye tatizo lenyewe.

Viongozi waliopewa nyadhifa kutuongoza walitufanya tuishi kama tumbili ndani ya nchi yetu, unaamka asubuhi unasali kwa dini zote ili usiingie kwenye mikono yao ukapotezwa.

Chondechonde mama msije mkajisahau mkaturudisha huko tena. nashauri hata Waziri Mkuu,Majaliwa akimaliza mda wake muacheni akalime huko lindi, ndio mazao ya mwendazake hayo.

Tupeni watu wenye hofu ya mungu na kuona kila mtanzania anastahili kufurahia maisha akiwa ndani ya nchi yake.
Kwa sasa watu hawana pesa lakini wana amani na furaha tele. MUNGU NA ASHUKURIWE.

Mungu kamtwaa Magufuli kwa sababu maalum, aliona jinsi watanzania walivyoteseka.
Mkuu,
Umeelezaaa...vile kichwa chako na akili zako zilivyokutuma.

It is in principle you cannot accuse a dead person because he isn't there to defend himself.

Jambo hili au malalamiko yako yalitakiwa yalengwe kwake moja kwa moja kama angelikuwa hai lakini hata angelikuwepo usingelithubutu kunyanyua mdomo wako huna ujasiri huo, hiyo mwachie Antepas.

Kuhusu uongozi hakuna malaika katika uongozi kila mwanadamu ana kasoro zake hakuna Raid ambaye hamjamlaumu. Hats wewe ukipewa urais iko mahali utaboronga.

Mimi naona kikubwa alitengenexa discipline sio ile maisha mlizoea wizi na kudharauliana, wapenda maovu ndio mnamlaumu hakuna jingine.
 
Mkuu,
Umeelezaaa...vile kichwa chako na akili zako zilivyokutuma.

It is in principle you cannot accuse a dead person because he isn't there to defend himself.

Jambo hili au malalamiko yako yalitakiwa yalengwe kwake moja kwa moja kama angelikuwa hai lakini hata angelikuwepo usingelithubutu kunyanyua mdomo wako huna ujasiri huo, hiyo mwachie Antepas.

Kuhusu uongozi hakuna malaika katika uongozi kila mwanadamu ana kasoro zake hakuna Raid ambaye hamjamlaumu. Hats wewe ukipewa urais iko mahali utaboronga.

Mimi naona kikubwa alitengenexa discipline sio ile maisha mlizoea wizi na kudharauliana, wapenda maovu ndio mnamlaumu hakuna jingine.
[emoji3][emoji3][emoji3] watu mmekuwa wasahaulifu sana. Idrissa alichola kikatuni tu cha kumtakia happy birthday akaswekwa jela.
Waache watu watoe ya moyoni sasa kwani yule hayupo tena.
Musiba anakutishia maisha mchana kweupe hakuna hata wa kumkataza achilia mbali kumchukulia hatua za kisheria.
Sasa wewe post fb ,,corona inaua" nakwambia ungekiona cha mtema kuni.
Nchi ilikuwa imepoteana hii kama utopolo.[emoji3][emoji2]
 
Back
Top Bottom