Wazee wenye hekima ndani ya CC ya CCM. Msirudie kupitisha Mgombea Mwenye kaliba ya Magufuli

Wazee wenye hekima ndani ya CC ya CCM. Msirudie kupitisha Mgombea Mwenye kaliba ya Magufuli

Wewe na nani? Kima wewe
Hii ni sehemu ya maoni, kuelimishana na Hoja mbali mbali.

Kwenda shule ni kutafuta ustaarabu, to co-op with the environment, how do you co-op with the environment kwa kumwambia mtu Kima?

Sote tunajua matusi, maneno ya kejeli ni marufuku katika mtandao.

To violate the rules of the media do we indeed respect the forum and that we need to be there endlessly?
 
Acheni kufikiria matumbo yenu. Jengeni hoja za msingi zitakolisaidia taifa miaka 50 ijayo.
Siyo kutukana viongozi wa serikali kisa suruai yako ina viraka vyingi.
Mkuu yani humu kuna genge la watu fulani hasa ﹰChadema na watu wa kaskazini ao wote kazi yao ndiyo iyo hawako kujadili hoja wao ni matusi na lugha chafu tu
 
Waendelee kutukana matusi lakini wakumbuke Kaskazini haitokuja kutoa Rais wa nchi hii labda awe mpare au mmaasai, vinginevyo never ever
Mkuu yani humu kuna genge la watu fulani hasa ﹰChadema na watu wa kaskazini ao wote kazi yao ndiyo iyo hawako kujadili hoja wao ni matusi na lugha chafu tu
 
Wakati huo Kikwete kazi take nilikuwa imeishapungua sababu walimwambia Membe hatuwezi mpa Nchi kwa sababu walizokuwa wanaxijua wao.
As an incumbent president, Kikwete had the final say... angeliweza kusema if that is the case nahairisha kikao mpaka huko mbele aone reaction yao.... He has the support of the army, police, and other machinery of the government particularly law enforcing ones. Kikwete alikuwa dhaifu!
 
As an incumbent president, Kikwete had the final say... angeliweza kusema if that is the case nahairisha kikao mpaka huko mbele aone reaction yao.... He has the support of the army, police, and other machinery of the government particularly law enforcing ones. Kikwete alikuwa dhaifu!
Ni bora udhaifu wa kikwete kuliko udikteta wa magufuli
 
Najua ni namna gani Rais na mwenyekiti wa CCM alivyo na nguvu kwa hapa nchini katika kipindi cha kupitisha jina la mgombea wa chama chake.

Kwa mazingira hayo, wenye nguvu na maamuzi makubwa ndani ya chama cha mapinduzi ni Mwenyekiti na Rais wa Tanzania mama Samia, Lakini pia huwezi kumkosa kikwete na Mangula kwa wakati huu.

Chondechonde, Makosa mliyofanya mwaka 2015 kwa kumleta magufuli yalikuwa ni zaidi ya mateso kwa taifa, na kama mungu asingeingilia kati taifa lingekuwa kwenye mateso kwa MDA mrefu sana, isingekuwa rahisi kuponyoka kwa ule mfumo ambao kwao ulishaanza kuonekana ndio utendaji wa kutukuka.

Kilichokuwa kinafanyika awamu ya tano kilikuwa hakina tofauti na kilichokuwa kinafanyika Rwanda na kupelekea genocide, It was just the matter of time, tulikuwa tayari tumechukua uelekeo kuelekea kwenye tatizo lenyewe.

Viongozi waliopewa nyadhifa kutuongoza walitufanya tuishi kama tumbili ndani ya nchi yetu, unaamka asubuhi unasali kwa dini zote ili usiingie kwenye mikono yao ukapotezwa.

Chondechonde mama msije mkajisahau mkaturudisha huko tena. nashauri hata Waziri Mkuu,Majaliwa akimaliza mda wake muacheni akalime huko lindi, ndio mazao ya mwendazake hayo.

Tupeni watu wenye hofu ya mungu na kuona kila mtanzania anastahili kufurahia maisha akiwa ndani ya nchi yake.
Kwa sasa watu hawana pesa lakini wana amani na furaha tele. MUNGU NA ASHUKURIWE.

Mungu kamtwaa Magufuli kwa sababu maalum, aliona jinsi watanzania walivyoteseka.
Kuna mmoja amesema he died for a good reason,
 
Ujinga mtupu. But sorry mleta mada. Nimeheshimu bandiko lako ila halina mashiko kwangu
 
nyie mashoga,mtamjadili magufuli mpaka lini!!!

mnasema mataga wanalia,kiuhalisia nyinyi ndio mnalia kila siku.
 
Wa kumlaumu ni Kikwete! Alichonga kinyago kikamzidi nguvu, vitisho , all kind of frustrations, worries and upheavals!
Nakuhakikishia kwamba Laanavya kumleta Magufuli itamtafuna Kikwete hadi kaburini
 
Angalau sasa jakaya anapata heshima anayostahili kila mama alipo na yeye yupo,

Hatamani hata kukumbuka enzi za mwenda zake.
Aisee kifo cha jiwe kimenifunza mengi sana, Kikwete kadharaulika sana kwenye utawala wa Jiwe, hata vijana wadogo walikuwa wanamtukana! Leo hii mama haingiliki na yeyote, Mlango pekee wa kumfikia mama kiurahisi kwa sasa ni huyo Kikwete waliyemdharau, maana yule katibu mkuu kiongozi ni kauzu balaa. And Majaliwa na Mpango nao hawanaga time na chawa.
 
Back
Top Bottom