Wazee wenye hekima ndani ya CC ya CCM. Msirudie kupitisha Mgombea Mwenye kaliba ya Magufuli

"Peleka moto, wapelekee moto, peleka moto wee wapelekee motoooo"

Majibu ya Magu akiwaambia wateule wake pale wanapomwambia "Wananchi wanalalamikia hili na hili"

Sent from my Infinix X572 using JamiiForums mobile app
🤣 🤣 🤣 🤣 walipa kodi wakapelekewa moto kwelikweli. Mpaka wakaanza kukimbia nchi
 

Hawana huo uwezo.Mungu ndie anaepanga yote.
 
Mi siungi mkono hoja, kuunga mkono hoja ni kukubali kuwa Rais wa Nchi lazima atokee CCM


Tundu Lissu yupo anaweza kuwa Rais wala achaghuliwi Na hawa Mama Samia, KIKWETE, MANGULA na Wazee wa CCM​

Yes, watu aina ya Lissu mkuu
 
Mimi nasema Kabila lile alilotoka mwendazake ni hatari kwa nchi hii
Hizi ni kauli na kijinga na kipumbavu, Fikra Kama hizi zimejaa ubaguzi na umimi.

Watu smart na wanaojitambua hawatambuani kwa makabila/dini/Kanda au rangi.

Roho ya kibaguzi haina mpaka leo utawabagua Hawa kesho itarkuwa wale.
 
Mimi nahisi mtu kutoka kabila la kanda nyonyo hafai kabisa kupewa madaraka ni htar kwa ustawi wa jamii
Taja makabila yanayofaa tujue mapema.
Hakuna kitu hatari katika taifa lolote Kama kubaguani.

Kwa mwandiko wako hata nyerere hakupaswa kupewa uraisi.

Siasa za Tz Kama huzijui unaeza ukawa unaandika utumbo
Kwa sisi tuliofutilia namna kikwete alivyosemwa vibaya enzi za utawala wake hadi Dr slaa kidogo awe raisi.

Wala hatuoni maajabu ya magufuli kutukanwa. Africa/Tz tumejaa uongo na unafiki. Ndo maana taifa halipigi hatua yoyote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…