Wazijua siri za Vatican?

Wazijua siri za Vatican?

Wanachumba chini ya ardhi kilichohifadhi nyaraka kadhaa hasa vitabu 80...vilivyo ondolewa kwenye Bible original.

Kamwe hawaruhusu mtu chini ya miaka 75 kusoma nyaraka hizo..Tena lazima uaminike sana.

Wengi wanaosoma nyaraka hizo hupata dimensia.

Pia ni wazi Mariam Magdalena alikuwa ni mke wa Yesu ndiye anayeonekana kwenye ile picha ya the last supper.
Inakuaje siri na wewe tayari unajua na hapa umewambia wana JF zaidi ya 100,000..kuna siri tena hapo kweli? Au maana ya neno siri imebadilika kuendana na mabadiliko ya tabia nchi?
 
...nilipoona YESU Nimeongeza asilimia za kuamini kumbe kweli YESU yupo
 
ungeandika huko facebook ungepata wafuasu, huku JF tunakuona mwenda wazimu kuleta taarifa bila source, wala reference, unasema ni siri, wewe umejuaje? halafu taarifa zinaandikwa kwa mtiririko unaoeleweka wewe umeandika kama udaku... kafanye tafiti tena uje na report kamili, tukutofautishe wewe na kina mau kitenge
 
Wanachumba chini ya ardhi kilichohifadhi nyaraka kadhaa hasa vitabu 80...vilivyo ondolewa kwenye Bible original.

Kamwe hawaruhusu mtu chini ya miaka 75 kusoma nyaraka hizo..Tena lazima uaminike sana.

Wengi wanaosoma nyaraka hizo hupata dimensia.

Pia ni wazi Mariam Magdalena alikuwa ni mke wa Yesu ndiye anayeonekana kwenye ile picha ya the last supper.
Punguza bhangi.

Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
 
Wanachumba chini ya ardhi kilichohifadhi nyaraka kadhaa hasa vitabu 80...vilivyo ondolewa kwenye Bible original.

Kamwe hawaruhusu mtu chini ya miaka 75 kusoma nyaraka hizo..Tena lazima uaminike sana.

Wengi wanaosoma nyaraka hizo hupata dimensia.

Pia ni wazi Mariam Magdalena alikuwa ni mke wa Yesu ndiye anayeonekana kwenye ile picha ya the last supper.
Punguza utapeli
 
Nayajua Mengi san kuhusu Vatican Siku nikiwa na Muda mzuri nitatoa somo humu, na sitosema nimejuaje ila Vatican Imeficha vitabu vikubwa Zaidi ya 11,

ambavyo kam vikijulikana basi Waafrica Hawatotaman hata Kumuona Mtu mweupe na Waafrica hawatotaman hat kusikia tena neno Msikiti au kanisa,

Yule Papa anajua kila kitu Pamoja na viongozi wengne Wa ngazi ya Daraja la Kwanza Wanaujua Ukweli wote

NB: Hakuna Ikulu au Benki yoyote inayolindwa kuliko Chumba cha Siri cha Vatican Kilindwachwo 24/7 na watu wasiojua hata wanachokilinda ni kitu gani.
Punguza utapeli. Mwenzako anasema wameificha vitabu 80 wewe unasema wameificha vitabu 11, tumuamini nani?
 
Dah kumbe Yesu alikuwa anapeleka moto kisiri siri kwa mariam magdalena mmh haya mambo ya mbususu yajawahi acha mtu salama duh vipi kuhusu paulo hakuwa na pisikali ya kiyunani kweli?
Na haya ndio ulikuwa unataka kufanya dhihaka. Umezunguka wewe ili uje umfanyie dhihaka Yesu Kristo. Shauri zako.
 
Back
Top Bottom