Shadow7
JF-Expert Member
- Sep 28, 2020
- 24,606
- 39,289
😂😂😂Wewe umejuaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂Wewe umejuaje?
Hana anachojua, ukute hizo taarifa za siri amezijulia humu humu kwenye threads za jukwaa la intelligence.Muache.Hutaki atuelezee alichonacho hiyo siku moja?
Inakuaje siri na wewe tayari unajua na hapa umewambia wana JF zaidi ya 100,000..kuna siri tena hapo kweli? Au maana ya neno siri imebadilika kuendana na mabadiliko ya tabia nchi?Wanachumba chini ya ardhi kilichohifadhi nyaraka kadhaa hasa vitabu 80...vilivyo ondolewa kwenye Bible original.
Kamwe hawaruhusu mtu chini ya miaka 75 kusoma nyaraka hizo..Tena lazima uaminike sana.
Wengi wanaosoma nyaraka hizo hupata dimensia.
Pia ni wazi Mariam Magdalena alikuwa ni mke wa Yesu ndiye anayeonekana kwenye ile picha ya the last supper.
Usimu-underrate "bodegadi" wa Papa.Hana anachojua, ukute hizo taarifa za siri amezijulia humu humu kwenye threads za jukwaa la intelligence.
Wenyewe wanasema ni mwalimu wao asiyehitaji mshaharaGoogle inaharibu vijana mno.
Punguza bhangi.Wanachumba chini ya ardhi kilichohifadhi nyaraka kadhaa hasa vitabu 80...vilivyo ondolewa kwenye Bible original.
Kamwe hawaruhusu mtu chini ya miaka 75 kusoma nyaraka hizo..Tena lazima uaminike sana.
Wengi wanaosoma nyaraka hizo hupata dimensia.
Pia ni wazi Mariam Magdalena alikuwa ni mke wa Yesu ndiye anayeonekana kwenye ile picha ya the last supper.
Punguza utapeliWanachumba chini ya ardhi kilichohifadhi nyaraka kadhaa hasa vitabu 80...vilivyo ondolewa kwenye Bible original.
Kamwe hawaruhusu mtu chini ya miaka 75 kusoma nyaraka hizo..Tena lazima uaminike sana.
Wengi wanaosoma nyaraka hizo hupata dimensia.
Pia ni wazi Mariam Magdalena alikuwa ni mke wa Yesu ndiye anayeonekana kwenye ile picha ya the last supper.
Punguza utapeli. Mwenzako anasema wameificha vitabu 80 wewe unasema wameificha vitabu 11, tumuamini nani?Nayajua Mengi san kuhusu Vatican Siku nikiwa na Muda mzuri nitatoa somo humu, na sitosema nimejuaje ila Vatican Imeficha vitabu vikubwa Zaidi ya 11,
ambavyo kam vikijulikana basi Waafrica Hawatotaman hata Kumuona Mtu mweupe na Waafrica hawatotaman hat kusikia tena neno Msikiti au kanisa,
Yule Papa anajua kila kitu Pamoja na viongozi wengne Wa ngazi ya Daraja la Kwanza Wanaujua Ukweli wote
NB: Hakuna Ikulu au Benki yoyote inayolindwa kuliko Chumba cha Siri cha Vatican Kilindwachwo 24/7 na watu wasiojua hata wanachokilinda ni kitu gani.
Hakuna kitu Kama hicho.Hv vitabu ndio vinasema kuwa yesu sio mungu...wanaogopa watu wakijua watawasanua na kukosa mapato na ushawishi duniani...
Na haya ndio ulikuwa unataka kufanya dhihaka. Umezunguka wewe ili uje umfanyie dhihaka Yesu Kristo. Shauri zako.Dah kumbe Yesu alikuwa anapeleka moto kisiri siri kwa mariam magdalena mmh haya mambo ya mbususu yajawahi acha mtu salama duh vipi kuhusu paulo hakuwa na pisikali ya kiyunani kweli?
vatican haiwezi kujitenga na huo mfumoUnaotawala Dunia ni mfumo wa 666 na Sio Vatican
umeambiwa ni mfumoHuyo 666 ndiyo nani?
Mfumo wa vitambaa.Elezea ili tukuelimishe.umeambiwa ni mfumo