johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Wewe sangara wabichi wanasafirishwa kwa basi Kutoka Mwanza hadi Dar ndani ya visalfeti halafu unambishia VP?Huyu naye hakupashwa kusema kauli ile mbele za watu bila ushahidi wa kisayansi. Huyu ndiye alikuwa Waziri wa fedha. kweli mtu kama huyto anafaa nafasi aliyo nayo? hivi mama alimchagua kwa vigezo vipi? nadhani wanajuana toka utotoni...
Ataambiwa ajiuzulu coz amehujumu uchumi wa kanda ya ziwa!Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Abdallah Hamis Ulega amesema suala la maji ya kuoshea maiti kudaiwa kutumika kuhifadhia Samaki halina uhakika na kwamba ni hisia tu.
Akijibu swali Bungeni kuhusu taarifa hizo ambapo inadaiwa matumizi ya maji hayo yanasababisha Saratani kwa walaji, amesema “Siyo kweli na ndio maana Makamu wa Rais (Phillip Mpango) ameagiza Wizara ya Afya ifanyie utafiti ili kama kuna kitu cha aina hiyo kizuiwe mara moja.
“Niwatoe hofu Watanzania, wapo salama na hakuna shaka yoyote juu ya taarifa hizo.”
View attachment 2358620
Mimi nasimama na VPWewe sangara wabichi wanasafirishwa kwa basi Kutoka Mwanza hadi Dar ndani ya visalfeti halafu unambishia VP?
Na mimi piaMimi nasimama na VP
Kwani nchi yenu ina serikali ngapi?Mimi nasimama na VP
Wavuvi wakikusikia watakuchekaMpango akamatwe kwa mahojiano zaidi.
Nasikia wanataka kumuita Fr. Kitima akaelezee kauli yake aliyoitoa kwenye siku ya Demokrasia...Mpango akamatwe kwa mahojiano zaidi.
Nyingi sana...Kwani nchi yenu ina serikali ngapi ?
Hivi serikali zenu ni ngapi ?Wavuvi wakikusikia watakucheka
Kaka haya mambo ni magumu sana kuyang'amua tusbr mapenzi ya Mungu yatimizwe.Ataambiwa ajiuzulu coz amehujumu uchumi wa kanda ya ziwa!
Ndipo kati ya Hawa ;-ulega,uwesu na jabali awe makamu halafu afanikishe next stage!!
Ukweli ni kwamba matukio kama hayo yamekuwepo tena kwa muda mrefu sana.Huyu naye hakupashwa kusema kauli ile mbele za watu bila ushahidi wa kisayansi. Huyu ndiye alikuwa Waziri wa fedha. kweli mtu kama huyto anafaa nafasi aliyo nayo? hivi mama alimchagua kwa vigezo vipi? nadhani wanajuana toka utotoni...
Watz kila kitu siasa hadi kwenye afya za watu ivi kweli makamu wa rais aongee kitu harafu tuseme kaongea kwa hisiaAtaambiwa ajiuzulu coz amehujumu uchumi wa kanda ya ziwa!
Ndipo kati ya Hawa ;-ulega,uwesu na jabali awe makamu halafu afanikishe next stage!!
NAMBA MOJA AJAYE NCHINI Nuzulati Victoire Kennedy Mshana Jr Soma Tena Elli Tajiri Kichwa fundi bishoo mjingamimi NGOMEKONGWE2021 delako Get Rich OSEFUKANY Asamwa pilipili kichaa Mzee Wa Kazi Chafu Utingo green rajabAtaambiwa ajiuzulu coz amehujumu uchumi wa kanda ya ziwa!
Ndipo kati ya Hawa ;-ulega,uwesu na jabali awe makamu halafu afanikishe next stage!!
Hii ndio Taarifa rasmi iliyotolewa na Naibu Waziri Abdalla Ulega bungeni Dodoma, kwamba uvumi wa samaki kuhifadhiwa kwa kutumia dawa za Maiti hauna ukweli na ni hadithi za kufikirika.
Sasa kama huu ndio Msimamo wa Serikali basi ATAFUTWE MTU ALIYEVUMISHA ILI ATUAMBIE ALIKOTOA UZUSHI HUO .