shimboni mene
JF-Expert Member
- Sep 11, 2022
- 264
- 290
Nilivyoona Makamu wa Rais anatamka vile nikajiuliza vijana walimuachaje?
Kaua biashara ya samaki mazima
Kaua biashara ya samaki mazima
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
shimboni meneNilivyoona Makamu wa Rais anatamka vile nikajiuliza vijana walimuachaje?
Kaua biashara ya samaki mazima
shimboni meneNaibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Abdallah Hamis Ulega amesema suala la maji ya kuoshea maiti kudaiwa kutumika kuhifadhia Samaki halina uhakika na kwamba ni hisia tu.
Akijibu swali Bungeni kuhusu taarifa hizo ambapo inadaiwa matumizi ya maji hayo yanasababisha Saratani kwa walaji, amesema “Siyo kweli na ndio maana Makamu wa Rais (Phillip Mpango) ameagiza Wizara ya Afya ifanyie utafiti ili kama kuna kitu cha aina hiyo kizuiwe mara moja.
“Niwatoe hofu Watanzania, wapo salama na hakuna shaka yoyote juu ya taarifa hizo.”
shimboni meneSangara ndio basi tena
shimboni meneAfanye utafiti huru asiseme ati hakuna kitu kama jicho wakati sisi ndio wauzaji wa hizo dawa na sisi ndio wavuvi na wahifadhi samaki
Atusikilize tumwambie ukweli tupone
Ngoja tuoneHaya naviagiza vyombo husika vimshuhulikie mzushi aliyetoa kauli ile iliyoleta taharuki nchini hususani kanda ya ziwa na viunga vyake.
Hiyo kauli ni nzito Sana Ccm wakiamua kuikalia sawa sawa!Kaka haya mambo ni magumu sana kuyang'amua tusbr mapenzi ya Mungu yatimizwe.
Tatizo kamati zinazoundwa huwa zinafanya siasa hata kwenye mambo yanayohitaji utaalamuIundwe kamati ya wataalamu wafanye utafiti waje na majibu ya uhakika kuhusu hizo tuhuma
Kwa Tanzania lolote lawezekanaAtaambiwa ajiuzulu coz amehujumu uchumi wa kanda ya ziwa!
Ndipo kati ya Hawa ;-ulega,uwesu na jabali awe makamu halafu afanikishe next stage!!
Wewe nawe unaharibu biashara za mama lishe, una ushahidi?Maji ya kuoshea maiti hayana madhara kabisa,mama ntilie wanatumia kupikia chakula tena yale yaliyotumika kabisa na hakuna shida yeyote
Uko sahihiHiyo kauli ni nzito Sana Ccm wakiamua kuikalia sawa sawa!
Mtu anaachia kiti mkuu!tena watasema soko la samaki limedorora na kusababisha hasara KWA wafanyabiashara !wanaunda kamati ya zengwe mwishowe Bunge linasema halina Imani na makamu wa RAIS kwamba anakwamisha uchumi anaambiwa awajibike na kweli mama anamwambia achia tu uokoe kiti changu !!jamaa kweli anaachia TU!ccm inarudi chimwaga wanafanya yao!!
Hata hao watafiti waliomlisha maneno ni watafiti uchwara tena wa mchongo!!
Subiri kamati ya uchunguzi ikija halafu uone!!!
Labda kama hakuna mchongo lakini kama upo KWELI mtu anaenda na maji Mkuu!!
Maoni huru!!
Kwamba mtu mwenye ELIMU kiwango Cha Doctorate, tena kiongozi mkubwa wa pili baada ya Rais anaweza simama jukwaani na kuongea Kwa "HISIA"Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Abdallah Hamis Ulega amesema suala la maji ya kuoshea maiti kudaiwa kutumika kuhifadhia Samaki halina uhakika na kwamba ni hisia tu.
Akijibu swali Bungeni kuhusu taarifa hizo ambapo inadaiwa matumizi ya maji hayo yanasababisha Saratani kwa walaji, amesema “Siyo kweli na ndio maana Makamu wa Rais (Phillip Mpango) ameagiza Wizara ya Afya ifanyie utafiti ili kama kuna kitu cha aina hiyo kizuiwe mara moja.
“Niwatoe hofu Watanzania, wapo salama na hakuna shaka yoyote juu ya taarifa hizo.”
Tz kamati zote hazijagi na majibu sahihi..man hua zinapigwa rushwa ya kufa mtu..zikija na ukweli ripoti zinafichwa makabatini.Iundwe kamati ya wataalamu wafanye utafiti waje na majibu ya uhakika kuhusu hizo tuhuma
Hata mimi.VP yupo sahihi kabisa kuna siku nilinunua samaki sato mkoa fulani kanda ya kati wakati wa kuosha bombani povu kama sabuni omo vile.Ngoma kwenye kula hatufu ya formalin kama upo mochwari vile.Hiyo ilikuwa mwezi Juni kuanzia hapo niliapa sitakula tena samaki wa masafa ya mbaliMimi nasimama na VP
Anabishana na Boss wakeNaibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Abdallah Hamis Ulega amesema suala la maji ya kuoshea maiti kudaiwa kutumika kuhifadhia Samaki halina uhakika na kwamba ni hisia tu.
Akijibu swali Bungeni kuhusu taarifa hizo ambapo inadaiwa matumizi ya maji hayo yanasababisha Saratani kwa walaji, amesema “Siyo kweli na ndio maana Makamu wa Rais (Phillip Mpango) ameagiza Wizara ya Afya ifanyie utafiti ili kama kuna kitu cha aina hiyo kizuiwe mara moja.
“Niwatoe hofu Watanzania, wapo salama na hakuna shaka yoyote juu ya taarifa hizo.”