Hilo wengi tulidhania hivyo tangu ile siku ya kwanza. Lakini kukosekana tamko lolote la uhakika kupinga tamko ambalo limesemwa wazi kwenye mahojiano kama yale unaweza kutafsiri vipi?.Mimi Kigwangala simuamini kabisa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo wengi tulidhania hivyo tangu ile siku ya kwanza. Lakini kukosekana tamko lolote la uhakika kupinga tamko ambalo limesemwa wazi kwenye mahojiano kama yale unaweza kutafsiri vipi?.Mimi Kigwangala simuamini kabisa.
Isije kuwa kapata uteuzi wa mbuzi wa kafara,tukumbukeemoo kauchafuzi hakaaako mbali😝.Sasa danganya toto ya tungalipooo kazini ni nyiiingii🤣Leo katika Gazeti la Raia Mwema kuna taarifa za Waziri anaemiliki Jumba Ufukweli mwa Dubai tena akiwa amelinunua CASH kwa mabilioni ya shilingi.
Cha ajabu mpaka sasa vyombo vyetu husika havijafanya uchunguzi wowote kwa kumhoji ili ijulikane fedha hizi alikwiba wapi na hatua stahiliki. Hii inaonyesha wizi ni kama umehalalishwa ktk kipindi hiki.
View attachment 2881294
😂😂😂😂📦Litapita kama mengine
Mi nina wasiwasi na ...arawa Mabichi, kaupiga mwingi sana kwenye kina kirefu alipoamua kuwapa kina kirefu wajambo zake wavaa vilemba na magauni meupe.
Mrangi hata mimi namiliki nyumba USA lakini sitii mguu kumiliki nyumba Dubai,hivi unajua zile nyumba za kisiwa bandia cha umbo la mnazi wanaomiliki ni watu wa aina gani? au unadhani ndio hizi nyumba za mbao ambazo kila mtu anamiliki au kuishi huko USA au Canada? uliza watu wanaomiliki nyumba Dubai ni wenye ukwasi wa aina gani.umefanisha nyau na simba mkuu.Mtu kumiliki nyumba dubai mnaona ajabu
Watu wana miliki nyumba usa,Canada,UK huko
Ova
Mimi nahitaji sana katiba mpya ndugu, tunafuga lakini walanguzi wanatuumiza pembejeo hakuna maana waletaji mikingamo mikubwa sana .Mkiambiwa tudai katiba mpya mnatuona tuna uroho wa madaraka
Lakini cha kuuliza ni: Unamiliki nyumba Dubai kwa sababu zipi hasa? Kufanyia biashara; labda!Mrangi hata mimi namiliki nyumba USA lakini sitii mguu kumiliki nyumba Dubai,hivi unajua zile nyumba za kisiwa bandia cha umbo la mnazi wanaomiliki ni watu wa aina gani? au unadhani ndio hizi nyumba za mbao ambazo kila mtu anamiliki au kuishi huko USA au Canada? uliza watu wanaomiliki nyumba Dubai ni wenye ukwasi wa aina gani.umefanisha nyau na simba mkuu.
Punguza wivu. Kama umekwama laumu walezi wakoLakini cha kuuliza ni: Unamiliki nyumba Dubai kwa sababu zipi hasa? Kufanyia biashara; labda!
Kimaisha, utakaaje Dubai na kujiona bado uko hai?
No peace of mind !Lakini cha kuuliza ni: Unamiliki nyumba Dubai kwa sababu zipi hasa? Kufanyia biashara; labda!
Kimaisha, utakaaje Dubai na kujiona bado uko hai?
Hivi unaelewa maana ya "wivu" ni nini? Unaona aina yoyote ya wivu katika maneno niliyo andika hapo?Punguza wivu. Kama umekwama laumu walezi wako