Kama si masauni atakuwa nchengerwaMtaje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama si masauni atakuwa nchengerwaMtaje
Nashangaaawatanzania walivyo wambee kila sehemu mtajeee akitaja unataka akupangishe weweeee
pambaneni na halizenu mwenzeny kawekeza nyie mnapishana guest za bk 7 sinza shenzitype
Utatu mtakatifu.
VIONGOZI WENYEWE NDIO MAFISADI SASA WA KUBADILIKA NI WANANCHI LAKINI SIO VIONGOZIKama hawafanyi uchunguzi basi wanajuana.
VIONGOZI WABADILIKE AISEE! NCHI INATAFUNWA SANA HII.
KaziKweliKweli/JobTrueTrue
Kumbe wanashindana !Si umtaje? Unaogopa nini? Na ukisha kumtaja. Utwambie nawe unamikakati ipi ya kununua jumba kubwa zaidi ya hilo kule Texas!
Na hiyo safari haina mwisho wake !!Bado tuna safari ndefu sn
Ukitaka kujua kwanini Bara letu limeshindwa kuendelea majibu yote anayo Olusegun Obasanjo !issue sio nyumba au mali zipi .... ni upatikanji halali wa uwezo huo. Compliance1
Unamiliki nyumba kwa vyanzo gani ulivyo navyo?Sikuwahi kujua kwamba kumiliki nyumba Dubai ni haramu 😂😂😂😂
Umaskini wa akili ni tatizo kubwa sana Nchi hii ndio maana haiendelei.
Mwisho utafika tuNa hiyo safari haina mwisho wake !!
Hapo sasa !!Unamiliki nyumba kwa vyanzo gani ulivyo navyo?
Ni kweli hata Roman Empire au Ottoman Empire’s hawakutarajia ingefika mwisho wake !Mwisho utafika tu
Baada ya miaka 20 watanzania watakuwa na uelewa mkubwa snNi kweli hata Roman Empire au Ottoman Empire’s hawakutarajia ingefika mwisho wake !
Kwahiyo utakwenda kukaa nawewe nyumba aliyonunua Waziri mwizi huko Dubai?Ukiiba laki moja utakuwa mbinafsi, maana utaila peke yako tu, tena siku moja. Wanaiba mamilioni ili wagawane wengi na wengine wafaidi angalau kidogo.
Kabisa!Baada ya miaka 20 watanzania watakuwa na uelewa mkubwa sn
TusichokeKabisa!
Iko vile ,Nani au taasisi ipi labda unapendekeza imchunguze huyo waziri?
Fikiria ripoti za CAG zinazowekwa wazi, madudu yake huwa hayachunguzwi kivile, sasa nani atamchunguza mtu aliyefanya usiri kumiliki mjengo UAE...
Walituchukia na wanaendelea kutuchukia lakini hii ni kwa faida ya vizazi vilivyopo na vitakavyokuja vya watanzania !!Tusichoke