Waziri anayemiliki jumba la kifahari ufukweni Dubai atajwa

Waziri anayemiliki jumba la kifahari ufukweni Dubai atajwa

Tuache mtima Nyong'o, Waziri gani, sio, mwizi ndsni ya CCM? Au, kada gani hajafaidika na wizi, serikalini? Hata warioba, vijukuu vyake vipo seriaklini, au kwenye nyadhifa nyeti kutokana na matumizi mabaya ya madaraka!
Wanatofsutiana kiwango cha wizi tu,
Sasa mtu anakuwa mbunge/waziri kwa miaka 20+, unashindwaje kuwa na bilioni 300+? Lets be serious jamani, mbunge wa njombe, Yule aliyekuwa Raisi wa barick alikuwa analipwa 100M kwa mwezi! Sasa deals ngapi alifanya na maofisa wa wizara za madini?
Kama wafanyakazi wa kawaida tu TRA, wanamiriki vigorofa hapa mjini, sembuse boss wao waziri!
Kuna watu wengine akili zenu zinawatosha kuvuka barabara tu.
 
Leo katika Gazeti la Raia Mwema kuna taarifa za Waziri anaemiliki Jumba Ufukweli mwa Dubai tena akiwa amelinunua CASH kwa mabilioni ya shilingi.

Cha ajabu mpaka sasa vyombo vyetu husika havijafanya uchunguzi wowote kwa kumhoji ili ijulikane fedha hizi alikwiba wapi na hatua stahiliki. Hii inaonyesha wizi ni kama umehalalishwa ktk kipindi hiki.

View attachment 2881294
Ukiletea habr Kama hzo humu uatambiwa una wivu ,husada maskini ,huna pesa ,hujui maisha


Watanganyika Ni wapumbafu kiwango Cha lami
 
Leo katika Gazeti la Raia Mwema kuna taarifa za Waziri anaemiliki Jumba Ufukweli mwa Dubai tena akiwa amelinunua CASH kwa mabilioni ya shilingi.

Cha ajabu mpaka sasa vyombo vyetu husika havijafanya uchunguzi wowote kwa kumhoji ili ijulikane fedha hizi alikwiba wapi na hatua stahiliki. Hii inaonyesha wizi ni kama umehalalishwa ktk kipindi hiki.

View attachment 2881294

Wanamjua ila kama kawaida hato chukuliwa hatua
 
Makonda na mwenye viti wa ccm mikoa na wilaya, wakuu wa wilayana mikoa wanapiga debe tuende na mama hadi 2030.

Watu wanatokea na mabango maelfu Kwa mamia.

Kama huyu mama ana uwezo kwanini hadimamia majukwaani kuomba kura na kujinadi Kwa wananchi mwenyewe?

Huyu mama hana nakotupeleka .

Na Kuna dalili hajui kitu chochote.
 
Nchi ya kijinga saana hii, hao wote ni wezi wanajuana, hakuna hatua itachukuliwa labda kama siku watofautiane kwenye harakati zao, ndio utaona mtu anaambiwa hadi uraia wake sio tz 🤣
 
Back
Top Bottom