Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna watu wengine akili zenu zinawatosha kuvuka barabara tu.Tuache mtima Nyong'o, Waziri gani, sio, mwizi ndsni ya CCM? Au, kada gani hajafaidika na wizi, serikalini? Hata warioba, vijukuu vyake vipo seriaklini, au kwenye nyadhifa nyeti kutokana na matumizi mabaya ya madaraka!
Wanatofsutiana kiwango cha wizi tu,
Sasa mtu anakuwa mbunge/waziri kwa miaka 20+, unashindwaje kuwa na bilioni 300+? Lets be serious jamani, mbunge wa njombe, Yule aliyekuwa Raisi wa barick alikuwa analipwa 100M kwa mwezi! Sasa deals ngapi alifanya na maofisa wa wizara za madini?
Kama wafanyakazi wa kawaida tu TRA, wanamiriki vigorofa hapa mjini, sembuse boss wao waziri!
Ukiletea habr Kama hzo humu uatambiwa una wivu ,husada maskini ,huna pesa ,hujui maishaLeo katika Gazeti la Raia Mwema kuna taarifa za Waziri anaemiliki Jumba Ufukweli mwa Dubai tena akiwa amelinunua CASH kwa mabilioni ya shilingi.
Cha ajabu mpaka sasa vyombo vyetu husika havijafanya uchunguzi wowote kwa kumhoji ili ijulikane fedha hizi alikwiba wapi na hatua stahiliki. Hii inaonyesha wizi ni kama umehalalishwa ktk kipindi hiki.
View attachment 2881294
Mkuu si ndiye huyo kwenye picha?😂Si umtaje? Unaogopa nini? Na ukisha kumtaja. Utwambie nawe unamikakati ipi ya kununua jumba kubwa zaidi ya hilo kule Texas!
Zipo picha za watu watano ni yupi unamlenga ni mtazameMkuu si ndiye huyo kwenye picha?😂
Au unaogopa kumwangalia!😳
Eeh bwana wee! Wanataka kusahau sera ya kamba?Siyo kwamba huo ndiyo urefu wa kamba yake?
Ukiiba laki moja utakuwa mbinafsi, maana utaila peke yako tu, tena siku moja. Wanaiba mamilioni ili wagawane wengi na wengine wafaidi angalau kidogo.Cha ajabu ukiiba laki Moja kisa njaa wanakufukuza kazi bila huruma kabisa
Kati ya hao watano kuna mawaziri wangapi?Zipo picha za watu watano ni yupi unamlenga ni mtazame
Mambo ya SGR huyo ni mbarawa au mwigulu,wanepiga pesa za ajabu kwenye huo mradi wa kifisadi
Leo katika Gazeti la Raia Mwema kuna taarifa za Waziri anaemiliki Jumba Ufukweli mwa Dubai tena akiwa amelinunua CASH kwa mabilioni ya shilingi.
Cha ajabu mpaka sasa vyombo vyetu husika havijafanya uchunguzi wowote kwa kumhoji ili ijulikane fedha hizi alikwiba wapi na hatua stahiliki. Hii inaonyesha wizi ni kama umehalalishwa ktk kipindi hiki.
View attachment 2881294
This is a very unfair commentSerikali ya Samia kila mtu ni mwizi kuanzia juu mpaka chini