USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 10,904
- 26,184
Gazeti limemtaja Leo wewe kelele mchana huu ,unadhani uchunguzi ni kama kukaanga chipsLeo katika Gazeti la Raia Mwema kuna taarifa za Waziri anaemiliki Jumba Ufukweli mwa Dubai tena akiwa amelinunua CASH kwa mabilioni ya shilingi.
Cha ajabu mpaka sasa vyombo vyetu husika havijafanya uchunguzi wowote kwa kumhoji ili ijulikane fedha hizi alikwiba wapi na hatua stahiliki. Hii inaonyesha wizi ni kama umehalalishwa ktk kipindi hiki.
View attachment 2881294
USSR
Sent from my Infinix X6511G using JamiiForums mobile app