Montserrat
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 10,938
- 14,745
Kati ya April Marope na Madevu chumbani mmoja wapo anahusika vinginevyo nife sasa hivi
Hawa ndio waziri vibaka katika serikali ya Samia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kati ya April Marope na Madevu chumbani mmoja wapo anahusika vinginevyo nife sasa hivi
Well saidWalituchukia na wanaendelea kutuchukia lakini hii ni kwa faida ya vizazi vilivyopo na vitakavyokuja vya watanzania !!
Watajua tulijaribu kuipigania Nchi !!
Wengi tu wana uwezo huo.Unataka kusema hKuna mbongo anayeweza kununua apartment au villa huko dubai???
Ova
Nashangaa,binsfsi mm nawajua mashuwa wengi wana miliki apartments huko na kuna mmoja anayo villa hukoWengi tu wana uwezo huo.
Nanichadema halafu eti wanadai fisim ndio wabayaMtu kumiliki nyumba dubai mnaona ajabu
Watu wana miliki nyumba usa,Canada,UK huko
Ova
Kuna KAZI/ There is a jobKama hawafanyi uchunguzi basi wanajuana.
VIONGOZI WABADILIKE AISEE! NCHI INATAFUNWA SANA HII.
KaziKweliKweli/JobTrueTrue
Ni yule yule mmiliki wa mabus ya singidaSi umtaje? Unaogopa nini? Na ukisha kumtaja. Utwambie nawe unamikakati ipi ya kununua jumba kubwa zaidi ya hilo kule Texas!
Ccm ni sawa na kichaka Cha wahujumu uchumiKama hawafanyi uchunguzi basi wanajuana.
VIONGOZI WABADILIKE AISEE! NCHI INATAFUNWA SANA HII.
KaziKweliKweli/JobTrueTrue
Nafikiri ni kati ya walio wizara ya manotiNani au taasisi ipi labda unapendekeza imchunguze huyo waziri?
Fikiria ripoti za CAG zinazowekwa wazi, madudu yake huwa hayachunguzwi kivile, sasa nani atamchunguza mtu aliyefanya usiri kumiliki mjengo UAE...
Mkiambiwa tudai katiba mpya mnatuona tuna uroho wa madarakaBas huo ndio mwisho wetu kulalamika mitandaoni tu hakuna jipya kwetu sisi.
Mkuu unaonekana na wewe ni mmoja wapo wa majizi haya yaliyopo serikalini.Tuache mtima Nyong'o, Waziri gani, sio, mwizi ndsni ya CCM? Au, kada gani hajafaidika na wizi, serikalini? Hata warioba, vijukuu vyake vipo seriaklini, au kwenye nyadhifa nyeti kutokana na matumizi mabaya ya madaraka!
Wanatofsutiana kiwango cha wizi tu,
Sasa mtu anakuwa mbunge/waziri kwa miaka 20+, unashindwaje kuwa na bilioni 300+? Lets be serious jamani, mbunge wa njombe, Yule aliyekuwa Raisi wa barick alikuwa analipwa 100M kwa mwezi! Sasa deals ngapi alifanya na maofisa wa wizara za madini?
Kama wafanyakazi wa kawaida tu TRA, wanamiriki vigorofa hapa mjini, sembuse boss wao waziri!
Kwa pesa halali inayolipiwa kodi au pesa ya juu kwa juu !!Unataka kusema hKuna mbongo anayeweza kununua apartment au villa huko dubai???
Ova
Pesa pesa tuKwa pesa halali inayolipiwa kodi au pesa ya juu kwa juu !!
That’s the point !!
Sasa ndio Umenena ,Pesa pesa tu
Ikikutembelea au ukipata mwanya
Wa kupiga pesa utajuwa tu mkuu
Ova
Huu ni ukweli mchungu.SIO AJABU! Tattizo hana biashara wala chanzo chochote cha uwezo wa kumiliki mali hizo. MAANA YAKE NI MWIZI
Sioni Waziri kwa kweli. Mimi Nasubiri waliotayari kutupa mikakati Yao ya kupata fedha za kununua majumba zaidi ya hayo huko ughaibuni kama fashion mpya baada ya fasheni ya uchawa kukosa nguvu.Kati ya hao watano kuna mawaziri wangapi?
Naona wabunge na mawaziri wengi ni traders wanamiliki biashara kubwa + mishahara + posho, watashindwaje kununua majumba hayo? Acheni roho mbaya