Ungekua umewahi lima hata tuta moja la nyanya usingekuja kuandika huu upuuzi. Yaani mkulima akutunzie wewe chakula? Kiishe ili msimu ujao kilimwe zaidi kisipo uzwa na kisipoisha mkulima msimu ujao hatolima by the way msimu wa mavuno ni huu kiishe ili maghala yawekwe chakula kingine.Nilishaandika mara kadhaa hamchukulii serious,,sasa tusubiri tuone km serikali yetu haitaingia kwenye dhahama ya kutafuta chakula cha misaada, fanyeni upembuzi, uone faida ya kuuza na faida ya kununua baadae,km vp serikali inunue ihifadhi baadae wauze kwa bei ya serikali,,leo ruhusu watu wavute sigara, baadae dawa za kansa unanunua bei ya ajabu, faida iko wapi?? Mimi kunguru muoga
Amesema ipige marufuku. Na kichwa cha habari ndivyo kinavyosema. Mbona unakuwa na ubishi kwa kitu ambacho kinaonekana wazi?Mtoa uzi kasema
"km vp serikali inunue ihifadhi baadae wauze kwa bei ya serikali,,
Au nmemquote vibaya
Huu ujinga wa kupangia wakulima wauze wapi mazao yao ni wa kijinga na unakuta watu wanakaza mishapa kusema ujinga kama huu. Wakulima siyo vibarua wa watanzania. Anayeona maisha magumu apeleke tumbo mashambani akalime. Kama mshahara hautoshi waliye na CCM inayofuja fedha kama mchwa.Ungekua umewahi lima hata tuta moja la nyanya usingekuja kuandika huu upuuzi. Yaani mkulima akutunzie wewe chakula? Kiishe ili msimu ujao kilimwe zaidi kisipo uzwa na kisipoisha mkulima msimu ujao hatolima by the way msimu wa mavuno ni huu kiishe ili maghala yawekwe chakula kingine.
Wewe unasema kitu ambacho serikali ya CCM haitakaa ifanye kwani wananchi wamejilalia kama nyumbu. Ni hivi: hakuna serikali duniani kote itakayowajibika kwa wananchi wake bila wananchi kuwa wakali kama nyuki kupinga ujinga ujinga wa serikali. Hata nchi zilizoendelea hazijaendelea hivi hivi. Ni wananchi wake ndiyo wamepeleka hinya hinya viongozi wao.Sasa hivi China na India wanahitaji mihogo na parachichi kwa wingi.
Hizo ni fursa.
Serikali itengeneze mazingira wezens hi ya hayo masoko,
Mkulima akishavuna ajue kama yatakuja kununuliwa shambani au mkulima afanye arrangement ya kufikisha Kurasini kwaajili ya export baada ya kuweka gharama zake zote mpaka mzigo kufika Kurasini.
Je contact za mawasiliano na wateja hao wa China na India mkulima atazipata wapi?
Hata pilipili kichaa nasikia ni bonge la deal zinahitajika nje.
Handeni ardhi inakubali hivyo vyote.
Uzuri wa mihogo na pili-pili zinastahamili ukame.
Bashe usisikiloze huu upuuziNilishaandika mara kadhaa hamchukulii serious,,sasa tusubiri tuone km serikali yetu haitaingia kwenye dhahama ya kutafuta chakula cha misaada, fanyeni upembuzi, uone faida ya kuuza na faida ya kununua baadae,km vp serikali inunue ihifadhi baadae wauze kwa bei ya serikali,,leo ruhusu watu wavute sigara, baadae dawa za kansa unanunua bei ya ajabu, faida iko wapi?? Mimi kunguru muoga
Katika moja ya mambo machache niliyowahi kukubaliana na JPM kimsingi ni swala la biashara ya mazao. Kuna mwaka JPM alifanya makosa makubwa sana ya kuzuia mazao yasiuzwe nje kwa kisingizio cha kuwasaidia wananchi wa kawaida na ughali wa bidhaa masokoni, jambo hili lilipelekea hasara kubwa sana kwa wakulima. JPM baada ya tathmini pana aliona hili jambo ni upuuzi na kuja na kauli kwamba- MKULIMA ANARUHUSIWA KUUZA MAZAO YAKE POPOTE PALE, MWANANCHI ANAYEONA UNGA UMEKUWA GHALI ABEBE JEMBE AKALIME AMA SIVYO AFE NJAA NA SERIKALI WALA HAITAINGILIA HILO π π .Bashe usisikiloze huu upuuzi
Ndio inavyotakiwa yaani mkulima aumie Kisa wa mjini anataka anunie Kwa bei ndogo? Haipo hiyo.Katika moja ya mambo machache niliyowahi kukubaliana na JPM kimsingi ni swala la biashara ya mazao. Kuna mwaka JPM alifanya makosa makubwa sana ya kuzuia mazao yasiuzwe nje kwa kisingizio cha kuwasaidia wananchi wa kawaida na ughali wa bidhaa masokoni, jambo hili lilipelekea hasara kubwa sana kwa wakulima. JPM baada ya tathmini pana aliona hili jambo ni upuuzi na kuja na kauli kwamba- MKULIMA ANARUHUSIWA KUUZA MAZAO YAKE POPOTE PALE, MWANANCHI ANAYEONA UNGA UMEKUWA GHALI ABEBE JEMBE AKALIME AMA SIVYO AFE NJAA NA SERIKALI WALA HAITAINGILIA HILO π π .
100 percent correct. Ingawa binafsi siyo mkulima, lakini kama mwananchi wa kawaida namsihi Samia asije aka entertain huo upuuzi- Hii itakuwa ni very unpopular policy.Ndio inavyotakiwa yaani mkulima aumie Kisa wa mjini anataka anunie Kwa bei ndogo? Haipo hiyo.
Wewe unasema kitu ambacho serikali ya CCM haitakaa ifanye kwani wananchi wamejilalia kama nyumbu. Ni hivi: hakuna serikali duniani kote itakayowajibika kwa wananchi wake bila wananchi kuwa wakali kama nyuki kupinga ujinga ujinga wa serikali. Hata nchi zilizoendelea hazijaendelea hivi hivi. Ni wananchi wake ndiyo wamepeleka hinya hinya viongozi wao.
Sasa hivi China na India wanahitaji mihogo na parachichi kwa wingi.
Hizo ni fursa.
Serikali itengeneze mazingira wezens hi ya hayo masoko,
Mkulima akishavuna ajue kama yatakuja kununuliwa shambani au mkulima afanye arrangement ya kufikisha Kurasini kwaajili ya export baada ya kuweka gharama zake zote mpaka mzigo kufika Kurasini.
Je contact za mawasiliano na wateja hao wa China na India mkulima atazipata wapi?
Hata pilipili kichaa nasikia ni bonge la deal zinahitajika nje.
Handeni ardhi inakubali hivyo vyote.
Uzuri wa mihogo na pili-pili zinastahamili ukame.