Khanji kapoor
JF-Expert Member
- Oct 19, 2024
- 1,198
- 2,695
Fisadi hawez kufa anaenda kutibiwa dunia ya kwanzaMtakie afya njema basi ndiyo ubinaadamu
Yatoane roho tu 😹😹Wameanza peana juju, unaweza kuta early juju is good for survival At SI SI EMU than late Juju
Kama ipo hivyo bas homa yake itakua ya kimkakati!!!hii coment ndio ya kukumbukwa sana ikiwa jamaa akaenda huko!!INABIDI AOMBEWE DUA NYINGI MAANA KUNA KUNDI KUBWA LA WATU WANAISHI KWA KUTEGEMEA MADILI YA BASHE WAKO VIONGOZI WA WILAYA NA MIKOA WAKO WABUNGE WAKO VIJANA WA TK MOVEMENT NCHI NZIMA WANALISHWA NA BASHE
Hapana kwa jimboni kwake bashe anapendwa sana kwa mengi aliyofanyanasikia ana hali mbaya sana jimboni ile kashfa ya sukari, mbolea, pembejeo na magumashi mbalimbali kwenye pamba yamemchafua sana ukiwauliza madiwani wa nzega watakupa abc za bashe utashangaa
Sasa hayo si mambo ya kitaifa Sasa Jimboni yanawahusu Nininasikia ana hali mbaya sana jimboni ile kashfa ya sukari, mbolea, pembejeo na magumashi mbalimbali kwenye pamba yamemchafua sana ukiwauliza madiwani wa nzega watakupa abc za bashe utashangaa
Pia comment hii ni ya kimkakati sana japo unaweza usijue!!Mpina kamroga
Kama ni homa za kawaida za Kila mja basi atapona lakini kama ni homa za kimkakati zile za wenye Dola yao !ni ngumu kutoboa!Fisadi hawez kufa anaenda kutibiwa dunia ya kwanza
kuna wabunge huwa hawana aibu, utakuta wanatembea na waganga wao wa kienyeji mithili ya wale mabodigadi. Si bora watembee na mabaunsa waliojazia miili yao kuliko kutembea na wachawi hao wachafuchafuWe jamaa bana, na maoni yako ya haraka haraka!
Afrika Ugonjwa ni Siri kwa maana wakijua wabaya wako wanaudabo unakuwa plus plus 😳 !!MBUNGE wa Nzega Mjini na Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe ni mgonjwa sana na ameshindwa kuhudhuria ziara ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa aliyoifanya jana Jimbo la Nzega Mjini.
Kwa mujibu wa Majaliwa amewaeleza wananchi hao kuwa Mbunge wao ni mgonjwa na ameshindwa kuhudhuria ziara hiyo ya Waziri Mkuu Nzega.
Ni muhimu taarifa za kuumwa viongozi ziwe zinatolewa mapema ili wananchi waweze kujua kwani wanalipwa kodi za wananchi hivyo ni lazima umma ujulishwe unaowalipa mishahara viongozi hao
View: https://youtu.be/XA4gO6FL94M?si=jM1kUMjS-eik7A3-
bado hajapona? kuna shida gani maana hata hapa tanga wakati wa samia alikuwa mgonjwa with on off admisiions Isije kuwa mkono wa mtu!MBUNGE wa Nzega Mjini na Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe ni mgonjwa sana na ameshindwa kuhudhuria ziara ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa aliyoifanya jana Jimbo la Nzega Mjini.
Kwa mujibu wa Majaliwa amewaeleza wananchi hao kuwa Mbunge wao ni mgonjwa na ameshindwa kuhudhuria ziara hiyo ya Waziri Mkuu Nzega.
Ni muhimu taarifa za kuumwa viongozi ziwe zinatolewa mapema ili wananchi waweze kujua kwani wanalipwa kodi za wananchi hivyo ni lazima umma ujulishwe unaowalipa mishahara viongozi hao
View: https://youtu.be/XA4gO6FL94M?si=jM1kUMjS-eik7A3-
Sawa mkuuNipo kitambo mbona, ila ni msoma comments tu
Ndani ya CCM huwezi kutoboa bila kuwa mshirikina au mla rushwaMzee wake alikua fundi,akikosa ubani basi alikua na uwezo mchanga ukawa ubani,mzee katangulia,naona yule chinga ambaye kawa tajiri na ana bakery,kishafanya mambo ya kisukuma,na kaleta pikipiki 500 awagawie CCM,nakutakia afya njema school mate wangu msomali
Wana Ccm hawaachiani maji mezaniAu wamemshughulikia?
Wanaccm hawaachiani maji ya kunywa mezani- KikweteMBUNGE wa Nzega Mjini na Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe ni mgonjwa sana na ameshindwa kuhudhuria ziara ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa aliyoifanya jana Jimbo la Nzega Mjini.
Kwa mujibu wa Majaliwa amewaeleza wananchi hao kuwa Mbunge wao ni mgonjwa na ameshindwa kuhudhuria ziara hiyo ya Waziri Mkuu Nzega.
Ni muhimu taarifa za kuumwa viongozi ziwe zinatolewa mapema ili wananchi waweze kujua kwani wanalipwa kodi za wananchi hivyo ni lazima umma ujulishwe unaowalipa mishahara viongozi hao
View: https://youtu.be/XA4gO6FL94M?si=jM1kUMjS-eik7A3-
Bashe ni mwizi kama walivyo waizi wengine refer swala la sukariKama ipo hivyo bas homa yake itakua ya kimkakati!!!hii coment ndio ya kukumbukwa sana ikiwa jamaa akaenda huko!!
The state hawapendi wapiga deal wanataka patriotic, visionary,calm intelligent n.k ku push agenda zao!!
Labda tutarajie sequence and series tunapoelekea oktoba!
Nawaza tu mwenzenu kama mlipa Kodi nisiekosa nisinukuliwe vibaya !!
Mradi huu hakuna Value for money!!!MBUNGE wa Nzega Mjini na Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe ni mgonjwa sana na ameshindwa kuhudhuria ziara ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa aliyoifanya jana Jimbo la Nzega Mjini.
Kwa mujibu wa Majaliwa amewaeleza wananchi hao kuwa Mbunge wao ni mgonjwa na ameshindwa kuhudhuria ziara hiyo ya Waziri Mkuu Nzega.
Ni muhimu taarifa za kuumwa viongozi ziwe zinatolewa mapema ili wananchi waweze kujua kwani wanalipwa kodi za wananchi hivyo ni lazima umma ujulishwe unaowalipa mishahara viongozi hao
View: https://youtu.be/XA4gO6FL94M?si=jM1kUMjS-eik7A3-