ndolelejiUduhe
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,837
- 3,027
Wengi wanaamini bila tunguli watakuwa hatarini !kuna wabunge huwa hawana aibu, utakuta wanatembea na waganga wao wa kienyeji mithili ya wale mabodigadi. Si bora watembee na mabaunsa waliojazia miili yao kuliko kutembea na wachawi hao wachafuchafu
Watamalizana na KARMA nayo ipo sambamba haichezi mbali !Wanaccm hawaachiani maji ya kunywa mezani- Kikwete
mkuu mimi ni mluther vipi kitanifaa namimi pls naomba namna ya kukisoma nboxAsome hii Novena ya Mt. Ritha wa Kashia, aisee ndani ya siku 10 majibu atayapata na huo ugonjwa utapona kwa namna ya ajabu.
Mimi nimeshuhudia hili mpaka ikabidi ninunue hichi kitabu kipo home.
Asipuuze hili.
Mt. Ritha wa Kashia, UtuombeeView attachment 3270278
Nasikia alitumika kama daraja tu. Tatizo la kuumwa lilianza pale alipowaambia Wahusika kila mmoja awajibike kwenye nafasi yake. Na yeye alikuwa tayari kuachia ngazi.Bashe ni mwizi kama walivyo waizi wengine refer swala la sukari
Je ndilo ulilokuwa umelitabiri 2025??Kuna mambo ni siri mpaka Yesu arudi wagonjwa ni wengi na hakuna wakutangaza kiufupi jambo lakujifunza hili ni Taifa na kila mtu anawajibika kwa Taifa lake madaraka ni koti usiyatamani wala usijipe kwanguvu. Amen
RIpMBUNGE wa Nzega Mjini na Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe ni mgonjwa sana na ameshindwa kuhudhuria ziara ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa aliyoifanya jana Jimbo la Nzega Mjini.
Kwa mujibu wa Majaliwa amewaeleza wananchi hao kuwa Mbunge wao ni mgonjwa na ameshindwa kuhudhuria ziara hiyo ya Waziri Mkuu Nzega.
Ni muhimu taarifa za kuumwa viongozi ziwe zinatolewa mapema ili wananchi waweze kujua kwani wanalipwa kodi za wananchi hivyo ni lazima umma ujulishwe unaowalipa mishahara viongozi hao
View: https://youtu.be/XA4gO6FL94M?si=jM1kUMjS-eik7A3-
NAawaza tuu kwa mfano akifa hivi ile ranchi yake ya ng'ombe kule bagamoyo nduguze wanaijua kweli?MBUNGE wa Nzega Mjini na Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe ni mgonjwa sana na ameshindwa kuhudhuria ziara ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa aliyoifanya jana Jimbo la Nzega Mjini.
Kwa mujibu wa Majaliwa amewaeleza wananchi hao kuwa Mbunge wao ni mgonjwa na ameshindwa kuhudhuria ziara hiyo ya Waziri Mkuu Nzega.
Ni muhimu taarifa za kuumwa viongozi ziwe zinatolewa mapema ili wananchi waweze kujua kwani wanalipwa kodi za wananchi hivyo ni lazima umma ujulishwe unaowalipa mishahara viongozi hao
View: https://youtu.be/XA4gO6FL94M?si=jM1kUMjS-eik7A3-
Duuh kumbe huyu jamaa ana malanchi kibao. Kuna moja kubwa sana ukipita Tabora kwenda Nzega wanasema ni lakeNAawaza tuu kwa mfano akifa hivi ile ranchi yake ya ng'ombe kule bagamoyo nduguze wanaijua kweli?
Funguka mkuu naona kama una hojaMnaongea ni fisadi, mwananchi gani wa kawaida anaujua ufisadi wake? Mwananchi wa kawaida hajui ufisadi ukoje kwa sababu ye mwenyewe kipato chake ni cha chini sana na hakikidhi mahitaji yake ya msingi
Kabla ni-comment niliona vema niangalie coment za wengine huenda wamenisemea nilotaka kusema. Asante kwa kuniwakilisha vzr.CCM wanalogana sn itakuwa wamempiga kitu huyu msomali
UgonjwaAnaumwa nini??
Nani kakuuliza hayo kama siyo kihelehele??nasikia ana hali mbaya sana jimboni ile kashfa ya sukari, mbolea, pembejeo na magumashi mbalimbali kwenye pamba yamemchafua sana ukiwauliza madiwani wa nzega watakupa abc za bashe utashangaa