Waziri Bashe tambua wewe ndiye Yusufu wa Biblia, tafadhali usimpotoshe mfalme

Waziri Bashe tambua wewe ndiye Yusufu wa Biblia, tafadhali usimpotoshe mfalme

Mbona George Floyd aliuwawa kama mwizi?
Mkuu Floyd ni [emoji631] huko wana bunduki million 400 na population ni 333m
Huoni kuna tatizo hapo?

[emoji636] hapa tunaongelea hakuna bunduki za kutapakaa na mimi nimekaa miaka yote hiyo ni mara mbili tu nimeshuhudia discrimination lakini nilikuwa mkali na kutishia kuita police mpaka akaomba msamaha

[emoji631] ni pabaya sana mkuu ubaguzi kila mahali na Blacks ingawa wanaonewa kwa kukosa ajira nzuri na kuwa na maisha duni ila na wao police wakiingia kwenye 18 zao wanauwawa
Hapo imekuwa paka na panya tu

[emoji636] ni tofauti sana heshima ipo kama unafuata mambo yako
Hawa wanakuwa wabaya wakilewa tu Sasa mimi na pombe wapi na wapi hata Pub siendi
 
emoji636.png
ni tofauti sana heshima ipo kama unafuata mambo yako
Hawa wanakuwa wabaya wakilewa
Mkuu utanifanya nizamie,ila kuna mshikaji mmoja ameniambia Malaysia pia kuna kazi za kutosha.
 
Mkuu utanifanya nizamie,ila kuna mshikaji mmoja ameniambia Malaysia pia kuna kazi za kutosha.
Mkuu nakushauri upambane uingie huku na maisha ni mazuri sana kama utajiwekea malengo yako ya kutaka kuja na kutengeneza hela za haraka hata miaka 5 (kama umri bado mdogo)

Unapambana haswa na kuchapa kazi sana at least unajiwekea million Tatu au zaidi kwa mwezi kama huna familia unaweka mpaka 4m sasa kama umesoma ndio kabisa unavuna tu

Asikuambie mtu baba maisha ni magumu ila kuna raha yake kama unajiwekea akiba

Holiday utaenda hata CopaCabana beach ni kama unaenda morogoro tu

Kuhusu Malaysia sijui sana mkuu nilienda kutembea tu zamani
 
Tena huko ndiko kwenye Wanawake wazuri Duniani.

Mkuu uliwahi kwenda huko Rio?
[emoji38] [emoji23] nilijua ute utakutoka

Sijawahi ila ntaenda mwakani
Nilienda Havana mwaka 1990
Napenda sana kusafiri mkuu
Ndio hobby yangu
 
[emoji38] [emoji23] nilijua ute utakutoka

Sijawahi ila ntaenda mwakani
Nilienda Havana mwaka 1990
Napenda sana kusafiri mkuu
Ndio hobby yangu
Aisee umebarikiwa sana,sisi huku tuaishi kama Mifugo ya Ccm, ukienda mbele tozo ukirudi nyuma tozo.

Mungu tu ndio atatunusuru.
 
Nakumbuka kisa cha yusuf.u wa bibilia kule misri ambapo mfalme aliota ndoto ile ambayo ilimshinda tafsiri,baada ya ndoto ile kujirudiarudia ndipo kukaonekana haja ya kumpata mtu atakae weza kuitafsiri.

Tafsiri ya yusuf.u ilibaini kwamba kutakuwa na miaka mitatu ya neema sana ambapo yusufu akatahadharisha kwamba wanapaswa kuhifadhi Chakula chakutosha.

Kadhalika yusuf.u akawatahadhirisha kwamba baada ya miaka mitatu ya neema yenye mavuno mengi,miaka mitatu inayofuatia itakua ni ukame na hakutakuwa na mavuno kabisa.

Hivyo yusuf.u akamwambia mfalme ya kwamba ahakikishe anahifadhi Chakula kitakachotosheleza mahitaji ya nchi kwa miaka sita jumla,yaani miaka mitatu ya neema+miaka mitatu ya ukame.Ndipo kwa hekima mfalme akamuachia Yusufu kazi yakuhifadhi Chakula kitakachoweza kuivusha nchi kipindi cha njaa.

Bashe wewe ndiye yusuf.u wa leo ambae mh raisi amekuamini lakini kwa bahati mbaya ni yusufu ulienyimwa maono.

Waziri TMA wanaendelea kutoa tahadhari juu ya mwenendo mbaya wa hali ya hewa lakini chaajabu bado umeendelea kushupaza shingo kwamba hatufungi mipaka nchi inaziada ya Chakula.

Kama mamlaka ya hali ya hewa wanatahadharisha msimu ujao kutakua na shida ya mvua,mwakani utakusanya wapi hio hifadhi ya taifa ya chakula?

Hii hifadhi ya Chakula hizi tani 150,000 unazojigamba nazo kwamba zinauwezo wakutosheleza nchi kwa miezi mitatu,hivi zinaweza fua dafu kwa nchi yenye watu 60 ml?

Waziri, tofautisha Mafuta ya kula na mahindi,mahindi ni Chakula watu wanateseka Sana kwa huu mfumuko wa bei kwa sasa.

Mafuta ya kula unaweza fanya hizi control zako ili ulinde wakulima na viwanda vya ndani kwani hili ni zao la biashara lakini kufanya haya kwenye mahindi ilihali TMA wanatahadharisha ukame kwenye msimu ujao,tambua unahatarisha usalama wa nchi.

Raisi muangalie huyu waziri usifuate kila anachoshauri ataligarimu taifa,kumbuka njaa haina mbadala.

Asante.
Hata Yusuf hakufunga mipaka ndo maana aliweza kuwaokoa ndugu zake, kwa sababu hiyo Bashe naye hatafunga mipaka.
 
Back
Top Bottom