Waziri Bashe tambua wewe ndiye Yusufu wa Biblia, tafadhali usimpotoshe mfalme

Waziri Bashe tambua wewe ndiye Yusufu wa Biblia, tafadhali usimpotoshe mfalme

Hizi ni dalili za kuashiria kitu kikubwa cha maangamizi kinaenda kutokea katika hii Dunia. !! Je ni Third World War ? + Nuclear [emoji3518] ?!! Tuombe Mungu wa mbinguni atuepushie mbali hili janga. !
Tuombe Mungu sana hatujui wanaandaa nini hawa watu yaani Dunia wanaipenda na wanataka waitawale wanavyotaka wao

Dunia ya leo sio ya zamani siku hizi vijana unaongea nao kwa unyenyekevu hata wakikosa maana wamekuwa wakali na akili zao zinawatosha wao ndio maana bado kuna wazee kwenye serikali nyingi ili kuwapooza vijana

Angalia Iran msichana kaamua kutembea huku nywele kidogo zikionekana ila kichapo alichokipata mpaka kafa

Angalia sasa madhara yake, vijana hawasikii wameliamsha wasichana wamechoma Hijab zote

Imagine hao kesho watuongoze, tutashuhudia mambo mengi mabaya
 
Mimi nilijua mfumuko wa bei za vyakula ni kwa sukuma gang tuu kumbe ata nyie wengine[emoji23],maana wao ndo walikuwa wanamlilia marehemu mwendazake .
 
Upo sahihi sana lkn kuna haja ya mkuu wa nchi kuingilia kati hili suala.

Leo hii Mchele dsm ni sh 3000
Angeingilia kati kama anajua suluhu lake
Sidhani kama wanajua la kufanya au kuna ukusanyaji wa hela za nguvu ya uchaguzi ujao
Tufe njaa wao wapite bila kupingwa, hela ni nguvu inayowaweka hapo
 
Angeingilia kati kama anajua suluhu lake
Sidhani kama wanajua la kufanya au kuna ukusanyaji wa hela za nguvu ya uchaguzi ujao
Tufe njaa wao wapite bila kupingwa, hela ni nguvu inayowaweka hapo
Na nyinyi huko Uingereza mnakula milo miwili kama sisi huku?
 
Lakini Mkuu wasilazimishwe kuvaa Hijabu,iwe ni matakwa yao
Ni sheria ya dini hilo sio ombi na watoto wanaandaliwa kama hataki kuvaa akiwa amevuka umri shauri zake ni yeye na maamuzi yake

Kama hataki ni hataki tu kuna kufuata maadili na dini inavyotaka na kuna wanaofuata mkumbo tu huku akifanya mengine
 
Na nyinyi huko Uingereza mnakula milo miwili kama sisi huku?
Mkuu huku kula ni maamuzi yako tu
Huko tulizoea kula saa 7 mchana
Ila huku unakula saa 11 jioni baada ya kutoka kazi

Asubuhi breakfast na kwenye saa tano hivi sandwiches au chochote laini

Ila huku kila wakati ni kula kula ukijisikia maana uwezo upo ingawa kwa sasa bidhaa zimepanda sana

Tena afadhali huko, huku kama Pasta imepanda 65% na teabags 60%
Mafuta 75%
Nyama 70% ila maisha magumu na yanaenda
 
Mbona naona hizo ni kama Mila za Watu wa Jangwani ili wasichomwe sana na jua.
Sio mila ni lazima mwanamke kuvaa ushungi au kufunika nywele
Wanaume wanafunika pia na kama ni suala la Jua mbona miaka ya nyuma hata wazungu walikuwa wanajifunika kichwa na picha zipo hata sio miaka mingi

Ukiangalia vita ya pili mpaka nurse walikuwa wanavaa kwa kujistiri sana ila mambo yamebadilika sana

Ndio maana nasema vijana wa siku hizi wamebadilika sana na hii mitandao ndio kabisa
Huwa nikiwa na wanangu wananijua wakikaa na mimi simu wanaziacha chumbani siwezi kuwa naongea nao huku wanaangalia Insta nani kapost nini

Ila uhuru ukipitiliza ni madhara sana mkuu
Na ukinyamaza analeta girlfriend wake home
Wengine watasema so what ila tuna maadili mkuu na kama una watoto wakubwa kama mimi utanielewa

Leo Iran panawaka wanauwa ila kwenye mitandao wasichana wanafanya yao kwa hiyo kupiga hakutasaidia kwa watoto wa kileo
 
Mbona hata Jamaicans hawampendi Kwassi Kwarteng kuna tatizo gani?
Black Sniper hebu pitia website zao.
Mimi nakumbuka Kwasi alikua business secretary wetu na hii serikali ya Liz akawa Fedha

Ila sijawasikia Jamaicans wakilalamika maana kwanza hawamo wengi serikalini wapo wachache upinzani

Na kwenye biashara ndio kabisa hakuna kitu hawajajiendeleza popote na wamejitenga baadhi ya sehemu kama Brixton, Tottenham, Hackney ndio wamejaa wanauza Yam [emoji532] na nywele za bandia na bangi
 
Huku pasta au tambi zilizo expire zikabadilishwa tarehe pia zimepanda bei.

Shida zimeongezeka ila hatuwafikii majirani zetu wa Kenya huko hali ngumu zaidi.
Mkuu hali ni mbaya sana ila kwa tz watu wanapendana sana hata muhogo atakugawia ila wenzetu kenya njaa halafu watu wana roho mbaya sana sijui hii tabia waliachiwa na nani maana wazungu tutawasingizia tu maana wanatoa sana

Mkuu supermarkets zote wwmeweka maboksi makubwa mlango wa kutokea kwa hiyo unasaidia wenye uhitaji sana kwa hiyo unatupia chochote kama Sukari, au machungwa yaani kitu chochote nao wanapeleka food bank tayari kuwapa masikini
 
Mkuu supermarkets zote wwmeweka maboksi makubwa mlango wa kutokea kwa hiyo unasaidia wenye uhitaji sana kwa hiyo unatupia chochote kama Sukari, au machungwa yaani
Afadhali ninyi Diaspora sisi watu wakigawa kitu basi ni kile kilicho expire na ukiugua ni juu yako.

Lakini alhamdulilaah watu wanakula na wapo tu Duniani.

Maulana ndie anaewalinda.
 
Kwahiyo Mkuu wewe unaishi London? Hebu niambie vipi mishemishe huko?
Ndio mkuu nina mwaka wa 33 hapa na maisha ni mazuri yanaenda
Ila wanaoingia sana ni Goa kwa passport za Portugal
Lakini ukipata njia njoo tu utapambana
 
Back
Top Bottom