Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Hapana mkuu ni GhanaianHivi yule Kwessi Kwarteng ana asili ya Windies?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana mkuu ni GhanaianHivi yule Kwessi Kwarteng ana asili ya Windies?
Walime nafaka wajisaidie.Wakilima nini ndio inapaswa tuwasaidie?
Kumbe Waafrika tunakubalika huko kwa Wazungu?Hapana mkuu ni Ghanaian
Haha mkuu Somalia hawalimi mirungi labda NdiziWao walime Mirungi, sisi tulime Nafaka, halafu tuwasaidie?
Horn of Africa chakula hakunaNakumbuka kisa cha yusuf.u wa bibilia kule misri ambapo mfalme aliota ndoto ile ambayo ilimshinda tafsiri,baada ya ndoto ile kujirudiarudia ndipo kukaonekana haja ya kumpata mtu atakae weza kuitafsiri.
Tafsiri ya yusuf.u ilibaini kwamba kutakuwa na miaka mitatu ya neema sana ambapo yusufu akatahadharisha kwamba wanapaswa kuhifadhi Chakula chakutosha.
Kadhalika yusuf.u akawatahadhirisha kwamba baada ya miaka mitatu ya neema yenye mavuno mengi,miaka mitatu inayofuatia itakua ni ukame na hakutakuwa na mavuno kabisa.
Hivyo yusuf.u akamwambia mfalme ya kwamba ahakikishe anahifadhi Chakula kitakachotosheleza mahitaji ya nchi kwa miaka sita jumla,yaani miaka mitatu ya neema+miaka mitatu ya ukame.
Bashe wewe ndiye yusuf.u wa leo ambae mh raisi amekuamini lakini kwa bahati mbaya ni yusufu ulienyimwa maono.
Waziri TMA wanaendelea kutoa tahadhari juu ya mwenendo mbaya wa hali ya hewa lakini chaajabu bado umeendelea kushupaza shingo kwamba hatufungi mipaka nchi inaziada ya Chakula.
Kama mamlaka ya hali ya hewa wanatahadharisha msimu ujao kutakua na shida ya mvua,mwakani utakusanya wapi hio hifadhi ya taifa ya chakula?
Hii hifadhi ya Chakula hizi tani 150,000 unazojigamba nazo kwamba zinauwezo wakutosheleza nchi kwa miezi mitatu,hivi zinaweza fua dafu kwa nchi yenye watu 60 ml?
Waziri, tofautisha Mafuta ya kula na mahindi,mahindi ni Chakula watu wanateseka Sana kwa huu mfumuko wa bei kwa sasa.
Mafuta ya kula unaweza fanya hizi control zako ili ulinde wakulima na viwanda vya ndani kwani hili ni zao la biashara lakini kufanya haya kwenye mahindi ilihali TMA wanatahadharisha ukame kwenye msimu ujao,tambua unahatarisha usalama wa nchi.
Raisi muangalie huyu waziri usifuate kila anachoshauri ataligarimu taifa,kumbuka njaa haina mbadala.
Asante.
We una roho ya choyo...hutaki kusaidia?Walime nafaka wajisaidie.
Mkuu mambo yamebadilika sana na wazungu wanakupa fursa kama una elimu ya uhakika na unawezaKumbe Waafrika tunakubalika huko kwa Wazungu?
Sijawahi kuwa na choyo.We una roho ya choyo...hutaki kusaidia?
Saidia mazao sasa majirani wasilale njaaSijawahi kuwa na choyo.
Saidia mazao sasa majirani wasilale njaa
Mbona hata Jamaicans hawampendi Kwassi Kwarteng kuna tatizo gani?Bunge leo limejaa wa kuja na mtoto wa sister anabukua haswa anasema mjomba ipo siku utaniona kwenye bunge la
Duh ! Mpaka kongwa ? Au ?!!Mwaka huu Wagogo watarudi kula Viwavi jeshi, Matembele yatakuwa anasa.
Hizi ni dalili za kuashiria kitu kikubwa cha maangamizi kinaenda kutokea katika hii Dunia. !! Je ni Third World War ? + Nuclear ☢️ ?!! Tuombe Mungu wa mbinguni atuepushie mbali hili janga. !Kama kutakuwa na njaa labda serikali itanunua tena chakula kutoka nje
Ila hali ni ngumu kila kona ya Dunia
Halafu kukiwa na dhiki sana na maafa yanazidi sijui kwanini
Mara sherehe ya Halloween [emoji316] wamekufa watu kibao
Iran wanauwa hovyo
Huko India nako daraja limekatika na kuuwa 150
Yaani balaa juu ya balaa msimu huu
Watu wanakosa hata maji
Kivipi ?Hili nalo mkalitizame
Handas imepanda Au ?View attachment 2402988 Huyu asilale na njaa? Wizara yote kaihamishia mdomoni.😁
Kwani una shaka na Bashe?Ndio shida ya kupachika Raia wa nchi nyingine.
Upo sahihi sana lkn kuna haja ya mkuu wa nchi kuingilia kati hili suala.Nakumbuka kisa cha yusuf.u wa bibilia kule misri ambapo mfalme aliota ndoto ile ambayo ilimshinda tafsiri,baada ya ndoto ile kujirudiarudia ndipo kukaonekana haja ya kumpata mtu atakae weza kuitafsiri.
Tafsiri ya yusuf.u ilibaini kwamba kutakuwa na miaka mitatu ya neema sana ambapo yusufu akatahadharisha kwamba wanapaswa kuhifadhi Chakula chakutosha.
Kadhalika yusuf.u akawatahadhirisha kwamba baada ya miaka mitatu ya neema yenye mavuno mengi,miaka mitatu inayofuatia itakua ni ukame na hakutakuwa na mavuno kabisa.
Hivyo yusuf.u akamwambia mfalme ya kwamba ahakikishe anahifadhi Chakula kitakachotosheleza mahitaji ya nchi kwa miaka sita jumla,yaani miaka mitatu ya neema+miaka mitatu ya ukame.
Bashe wewe ndiye yusuf.u wa leo ambae mh raisi amekuamini lakini kwa bahati mbaya ni yusufu ulienyimwa maono.
Waziri TMA wanaendelea kutoa tahadhari juu ya mwenendo mbaya wa hali ya hewa lakini chaajabu bado umeendelea kushupaza shingo kwamba hatufungi mipaka nchi inaziada ya Chakula.
Kama mamlaka ya hali ya hewa wanatahadharisha msimu ujao kutakua na shida ya mvua,mwakani utakusanya wapi hio hifadhi ya taifa ya chakula?
Hii hifadhi ya Chakula hizi tani 150,000 unazojigamba nazo kwamba zinauwezo wakutosheleza nchi kwa miezi mitatu,hivi zinaweza fua dafu kwa nchi yenye watu 60 ml?
Waziri, tofautisha Mafuta ya kula na mahindi,mahindi ni Chakula watu wanateseka Sana kwa huu mfumuko wa bei kwa sasa.
Mafuta ya kula unaweza fanya hizi control zako ili ulinde wakulima na viwanda vya ndani kwani hili ni zao la biashara lakini kufanya haya kwenye mahindi ilihali TMA wanatahadharisha ukame kwenye msimu ujao,tambua unahatarisha usalama wa nchi.
Raisi muangalie huyu waziri usifuate kila anachoshauri ataligarimu taifa,kumbuka njaa haina mbadala.
Asante.
Tuseme amina.Hizi ni dalili za kuashiria kitu kikubwa cha maangamizi kinaenda kutokea katika hii Dunia. !! Je ni Third World War ? + Nuclear ☢️ ?!! Tuombe Mungu wa mbinguni atuepushie mbali hili janga. !
Ubaguzi na roho mbaya tu hana lolote masikini huyoKwani una shaka na Bashe?