Waziri Bashe tambua wewe ndiye Yusufu wa Biblia, tafadhali usimpotoshe mfalme

Waziri Bashe tambua wewe ndiye Yusufu wa Biblia, tafadhali usimpotoshe mfalme

Wao walime Mirungi, sisi tulime Nafaka, halafu tuwasaidie?
Haha mkuu Somalia hawalimi mirungi labda Ndizi
Ila mirungi inatoka Yemen, Ethiopia na Kenya huko ndio wanalima na Somalia ni watumiaji tu na wanatumia haswa
Huyo anaekula mirungi kwanza analewa masaa 12 huo mda wa kula anautoa wapi na akimaliza Gomba analala masaa 10 [emoji1]
 
Nakumbuka kisa cha yusuf.u wa bibilia kule misri ambapo mfalme aliota ndoto ile ambayo ilimshinda tafsiri,baada ya ndoto ile kujirudiarudia ndipo kukaonekana haja ya kumpata mtu atakae weza kuitafsiri.

Tafsiri ya yusuf.u ilibaini kwamba kutakuwa na miaka mitatu ya neema sana ambapo yusufu akatahadharisha kwamba wanapaswa kuhifadhi Chakula chakutosha.

Kadhalika yusuf.u akawatahadhirisha kwamba baada ya miaka mitatu ya neema yenye mavuno mengi,miaka mitatu inayofuatia itakua ni ukame na hakutakuwa na mavuno kabisa.

Hivyo yusuf.u akamwambia mfalme ya kwamba ahakikishe anahifadhi Chakula kitakachotosheleza mahitaji ya nchi kwa miaka sita jumla,yaani miaka mitatu ya neema+miaka mitatu ya ukame.

Bashe wewe ndiye yusuf.u wa leo ambae mh raisi amekuamini lakini kwa bahati mbaya ni yusufu ulienyimwa maono.

Waziri TMA wanaendelea kutoa tahadhari juu ya mwenendo mbaya wa hali ya hewa lakini chaajabu bado umeendelea kushupaza shingo kwamba hatufungi mipaka nchi inaziada ya Chakula.

Kama mamlaka ya hali ya hewa wanatahadharisha msimu ujao kutakua na shida ya mvua,mwakani utakusanya wapi hio hifadhi ya taifa ya chakula?

Hii hifadhi ya Chakula hizi tani 150,000 unazojigamba nazo kwamba zinauwezo wakutosheleza nchi kwa miezi mitatu,hivi zinaweza fua dafu kwa nchi yenye watu 60 ml?

Waziri, tofautisha Mafuta ya kula na mahindi,mahindi ni Chakula watu wanateseka Sana kwa huu mfumuko wa bei kwa sasa.

Mafuta ya kula unaweza fanya hizi control zako ili ulinde wakulima na viwanda vya ndani kwani hili ni zao la biashara lakini kufanya haya kwenye mahindi ilihali TMA wanatahadharisha ukame kwenye msimu ujao,tambua unahatarisha usalama wa nchi.

Raisi muangalie huyu waziri usifuate kila anachoshauri ataligarimu taifa,kumbuka njaa haina mbadala.

Asante.
Horn of Africa chakula hakuna
 
Kumbe Waafrika tunakubalika huko kwa Wazungu?
Mkuu mambo yamebadilika sana na wazungu wanakupa fursa kama una elimu ya uhakika na unaweza

Ila ubaguzi serikalini hakuna kama Africa serikali zetu zitaacha ubaguzi basi na watoto wasingemsema Bashe leo

Bunge leo limejaa wa kuja na mtoto wa sister anabukua haswa anasema mjomba ipo siku utaniona kwenye bunge la [emoji636]

Huyu Kwasi amesoma sana kwa msaada na uwezo wa wazazi yaani mama Barrister na Baba alikuwa Economist in the Commonwealth secretariat

Sasa angalia vyuo alivyosoma jamaa
Wazungu wengi hawajabahatika kusoma hapo maana ni wenye vipaji tu au vingine ni wenye hela sana
Screenshot_20221031-100316_Google.jpg
 
Bashe ukiachia hapo utakuwa umeharibu. Zoezi hili likiwa endelevu kila mtu atafaidika.
 
Kama kutakuwa na njaa labda serikali itanunua tena chakula kutoka nje
Ila hali ni ngumu kila kona ya Dunia
Halafu kukiwa na dhiki sana na maafa yanazidi sijui kwanini

Mara sherehe ya Halloween [emoji316] wamekufa watu kibao
Iran wanauwa hovyo
Huko India nako daraja limekatika na kuuwa 150
Yaani balaa juu ya balaa msimu huu

Watu wanakosa hata maji
Hizi ni dalili za kuashiria kitu kikubwa cha maangamizi kinaenda kutokea katika hii Dunia. !! Je ni Third World War ? + Nuclear ☢️ ?!! Tuombe Mungu wa mbinguni atuepushie mbali hili janga. !
 
Nakumbuka kisa cha yusuf.u wa bibilia kule misri ambapo mfalme aliota ndoto ile ambayo ilimshinda tafsiri,baada ya ndoto ile kujirudiarudia ndipo kukaonekana haja ya kumpata mtu atakae weza kuitafsiri.

Tafsiri ya yusuf.u ilibaini kwamba kutakuwa na miaka mitatu ya neema sana ambapo yusufu akatahadharisha kwamba wanapaswa kuhifadhi Chakula chakutosha.

Kadhalika yusuf.u akawatahadhirisha kwamba baada ya miaka mitatu ya neema yenye mavuno mengi,miaka mitatu inayofuatia itakua ni ukame na hakutakuwa na mavuno kabisa.

Hivyo yusuf.u akamwambia mfalme ya kwamba ahakikishe anahifadhi Chakula kitakachotosheleza mahitaji ya nchi kwa miaka sita jumla,yaani miaka mitatu ya neema+miaka mitatu ya ukame.

Bashe wewe ndiye yusuf.u wa leo ambae mh raisi amekuamini lakini kwa bahati mbaya ni yusufu ulienyimwa maono.

Waziri TMA wanaendelea kutoa tahadhari juu ya mwenendo mbaya wa hali ya hewa lakini chaajabu bado umeendelea kushupaza shingo kwamba hatufungi mipaka nchi inaziada ya Chakula.

Kama mamlaka ya hali ya hewa wanatahadharisha msimu ujao kutakua na shida ya mvua,mwakani utakusanya wapi hio hifadhi ya taifa ya chakula?

Hii hifadhi ya Chakula hizi tani 150,000 unazojigamba nazo kwamba zinauwezo wakutosheleza nchi kwa miezi mitatu,hivi zinaweza fua dafu kwa nchi yenye watu 60 ml?

Waziri, tofautisha Mafuta ya kula na mahindi,mahindi ni Chakula watu wanateseka Sana kwa huu mfumuko wa bei kwa sasa.

Mafuta ya kula unaweza fanya hizi control zako ili ulinde wakulima na viwanda vya ndani kwani hili ni zao la biashara lakini kufanya haya kwenye mahindi ilihali TMA wanatahadharisha ukame kwenye msimu ujao,tambua unahatarisha usalama wa nchi.

Raisi muangalie huyu waziri usifuate kila anachoshauri ataligarimu taifa,kumbuka njaa haina mbadala.

Asante.
Upo sahihi sana lkn kuna haja ya mkuu wa nchi kuingilia kati hili suala.

Leo hii Mchele dsm ni sh 3000
 
Back
Top Bottom