Waziri Bashe tambua wewe ndiye Yusufu wa Biblia, tafadhali usimpotoshe mfalme

Waziri Bashe tambua wewe ndiye Yusufu wa Biblia, tafadhali usimpotoshe mfalme

Niliona kwenye FB akitukanwa na Raia wa Kiingereza mwenye asili ya West Indies daah!!

Jamaa anasema wao ndio wageni wa kwanza Uingereza wao ndio wangechaguliwa u PM kwani Waasia wameenda juzi juzi.
[emoji38] [emoji23] [emoji38]
Halafu utakuta huyo hata elimu hana sasa atafikaje hapo
Aanze kutafuta ubunge kwanza
Hata sijui kama kuna west indies bungeni [emoji636]
Ila najua kuna MPs 15 wenye asili ya India

Sasa wao west Indies walikuwa watumwa
 
Bashe ni Msomali hilo halina ubishi.Sunak ni Mhindi hajawahi kukataa.
Kwani Bashe anakataa?
Nyie wanyasa mbona hamsemi asili yenu?
Yule nae walimuita na kumtaja sana kuwa ana asili ya kihutu kwani angesema mimi mhutu ila nililetwa nikiwa mdogo na nikapata uraia angepungukiwa nini?

Wengi sana ni wahamiaji hii nchi na we are proud tumeijenga nchi na tuna haki ya kuishi na mtu yeyote kwa Amani hata kama akiwa mkuu wa majeshi na ana asili ya sehemu nyingine so what

Maadam ni MTz hilo tosha
Namjua Bashe na familia yake yote ni kijana mzaliwa wa Nzega ila amepambana na amependa siasa ndio fani yake ila angekuwa mechanics wala usingesema kitu
Mkosoe kwa kazi sio asili
 
Tunajiandaaje ?? Tujulisheni tunafanyaje. ?
Kama kutakuwa na njaa labda serikali itanunua tena chakula kutoka nje
Ila hali ni ngumu kila kona ya Dunia
Halafu kukiwa na dhiki sana na maafa yanazidi sijui kwanini

Mara sherehe ya Halloween [emoji316] wamekufa watu kibao
Iran wanauwa hovyo
Huko India nako daraja limekatika na kuuwa 150
Yaani balaa juu ya balaa msimu huu

Watu wanakosa hata maji
 
Tena ndio wanastahili kwasababu ya kufanyishwa kazi bure na kupigwa mijeledi.
Marcus Rashford agombanie ubunge.
Labda hawajishughulishi zaidi kwenye siasa
Wahindi wako clever mno wameingia kila mahali na uchumi wao ndio wameushika kwa asilimia kubwa

Doctors and nurses wengi sana ni wao, dentists mpaka kwenye nyumba zao binafsi wamewafungulia wanao baada ya kuhitimu
Pharmaceutical companies wao na pharmacy zao pia
Biashara nyingi sana na Wholesalers ni wao
Yuko jamaa mmoja alikuja [emoji636] ana miaka 13 namjua vizuri alikuwa anafanya kazi insurance company baadae akafungua B&B karibu na Heathrow kusaidia wafanyakazi wa Airport wakiishi hapo
Leo jamaa ni Billionaire anaitwa Arora


Wahindi ni wachapa kazi sana asikuambie mtu na wanaendelea sana kwa sababu hata waibe namna gani, hawathubutu kukwepa kodi hapa maana wanajua mziki wake
Ni kufilisiwa kabisa na kutokuaminiwa popote
Sasa hao west Indies hawapo wengi hapa ndio maana wanazidiwa.
 
Nasikia chakula kingi kinapelekwa somalia sasa
Siwezi kushangaa kwani ni uungwana kusaidia wanaohitaji
Hata Jakaya Kikwete wakati wake alituma 300 metric tons of maize [emoji535]
Somalia wana njaa sana kwa sasa kuliko wakati wowote na wanahitaji msaada

Mkuu ukiambiwa uwasaidie utakataa?
 
Siwezi kushangaa kwani ni uungwana kusaidia wanaohitaji
Hata Jakaya Kikwete wakati wake alituma 300 metric tons of maize [emoji535]
Somalia wana njaa sana kwa sasa kuliko wakati wowote na wanahitaji msaada

Mkuu ukiambiwa uwasaidie utakataa?
Ni jambo jema...Hata tukilala njaa ila tunasaidia majirani ni sawa...tunapata mibaraka
 
Watu mna vituko Sana , hakuna mtu wa kawaida atandika uzi Kama huu, bali tu Mwanaccm tena wa karibu na Bashe ( waziri) acheni tabia hii, mnatumika vibaya Sana ,Mungu akwape masamaha na imekua
Nakumbuka kisa cha yusuf.u wa bibilia kule misri ambapo mfalme aliota ndoto ile ambayo ilimshinda tafsiri,baada ya ndoto ile kujirudiarudia ndipo kukaonekana haja ya kumpata mtu atakae weza kuitafsiri.

Tafsiri ya yusuf.u ilibaini kwamba kutakuwa na miaka mitatu ya neema sana ambapo yusufu akatahadharisha kwamba wanapaswa kuhifadhi Chakula chakutosha.

Kadhalika yusuf.u akawatahadhirisha kwamba baada ya miaka mitatu ya neema yenye mavuno mengi,miaka mitatu inayofuatia itakua ni ukame na hakutakuwa na mavuno kabisa.

Hivyo yusuf.u akamwambia mfalme ya kwamba ahakikishe anahifadhi Chakula kitakachotosheleza mahitaji ya nchi kwa miaka sita jumla,yaani miaka mitatu ya neema+miaka mitatu ya ukame.

Bashe wewe ndiye yusuf.u wa leo ambae mh raisi amekuamini lakini kwa bahati mbaya ni yusufu ulienyimwa maono.

Waziri TMA wanaendelea kutoa tahadhari juu ya mwenendo mbaya wa hali ya hewa lakini chaajabu bado umeendelea kushupaza shingo kwamba hatufungi mipaka nchi inaziada ya Chakula.

Kama mamlaka ya hali ya hewa wanatahadharisha msimu ujao kutakua na shida ya mvua,mwakani utakusanya wapi hio hifadhi ya taifa ya chakula?

Hii hifadhi ya Chakula hizi tani 150,000 unazojigamba nazo kwamba zinauwezo wakutosheleza nchi kwa miezi mitatu,hivi zinaweza fua dafu kwa nchi yenye watu 60 ml?

Waziri, tofautisha Mafuta ya kula na mahindi,mahindi ni Chakula watu wanateseka Sana kwa huu mfumuko wa bei kwa sasa.

Mafuta ya kula unaweza fanya hizi control zako ili ulinde wakulima na viwanda vya ndani kwani hili ni zao la biashara lakini kufanya haya kwenye mahindi ilihali TMA wanatahadharisha ukame kwenye msimu ujao,tambua unahatarisha usalama wa nchi.

Raisi muangalie huyu waziri usifuate kila anachoshauri ataligarimu taifa,kumbuka njaa haina mbadala.

Asante.
 
Kama Sunak eti?
Mtakalia ubaguzi na maendeleo hakuna
Wewe andika majina ya babu zako watatu hapa walitokea wapi
Najua hata wewe sio mtz asili bali unabebwa na weusi [emoji38]
[emoji10][emoji1][emoji1][emoji1][emoji23][emoji23][emoji23]anabebwa na weusi
 
Labda hawajishughulishi zaidi kwenye siasa
Wahindi wako clever mno wameingia kila mahali na uchumi wao ndio wameushika kwa asilimia kubwa

Doctors and nurses wengi sana ni wao, dentists mpaka kwenye nyumba zao binafsi wamewafungulia wanao baada ya kuhitimu
Pharmaceutical companies wao na pharmacy zao pia
Biashara nyingi sana na Wholesalers ni wao
Yuko jamaa mmoja alikuja [emoji636] ana miaka 13 namjua vizuri alikuwa anafanya kazi insurance company baadae akafungua B&B karibu na Heathrow kusaidia wafanyakazi wa Airport wakiishi hapo
Leo jamaa ni Billionaire anaitwa Arora


Wahindi ni wachapa kazi sana asikuambie mtu na wanaendelea sana kwa sababu hata waibe namna gani, hawathubutu kukwepa kodi hapa maana wanajua mziki wake
Ni kufilisiwa kabisa na kutokuaminiwa popote
Sasa hao west Indies hawapo wengi hapa ndio maana wanazidiwa.
Hivi yule Kwessi Kwarteng ana asili ya Windies?
 
Back
Top Bottom