Eng. Zezudu
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 8,024
- 11,546
Kweli kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kimenuka !"Rais, Makamu wa Rais, Waziri Mkuu na Naibu Waziri Mkuu, hawa ndiyo wanaweza kuniita na kunihoji, hakuna mtu mwingine yoyote, watu wajue mipaka yao ya kazi," Waziri wa Kilimo Hussein Bashe.
View attachment 2884613
Majibu ya sukari wapi? Alipigiwa na nani? Akiwa wapi?Alivyotoa majibu ya sukari kwa simu alikuwa anaitika kwa nani!!!
Ni kweli haujaelewa.Kwahiyo hata akivunja sheria, polisi hawana ruksa kumuita kumuhoji au yeye ndo atawaita polisi kuwahoji??
Au Mimi ndo cjaelewa 😂😂😂
😂😂😂🌟Alivyotoa majibu ya sukari kwa simu alikuwa anaitika kwa nani!!!
Kuna siku atampigia Rais aanze kumpa maelekezoUtasikia kesho huyo asiyejua mipaka ya kazi anateuliwa kua naibu waziri mkuu.
Unaambiwa mbwa akikuzoea sana atakufuata msikitiniKuna siku atampigia Rais aanze kumpa maelekezo
Siku atainuka na kupiga simu ikulu aanze kutoa maelekezo hapo ndio wataelewa nini maana ya mipaka ya kaziUnaambiwa mbwa akikuzoea sana atakufuata msikitini
"Rais, Makamu wa Rais, Waziri Mkuu na Naibu Waziri Mkuu, hawa ndiyo wanaweza kuniita na kunihoji, hakuna mtu mwingine yoyote, watu wajue mipaka yao ya kazi," Waziri wa Kilimo Hussein Bashe.
View attachment 2884613
Ameuchoka uwaziri huyu.Makonda ndio amerejesha Imani ya watu Kwa ccm harafu Bashe anasemaje?"Rais, Makamu wa Rais, Waziri Mkuu na Naibu Waziri Mkuu, hawa ndiyo wanaweza kuniita na kunihoji, hakuna mtu mwingine yoyote, watu wajue mipaka yao ya kazi," Waziri wa Kilimo Hussein Bashe.
View attachment 2884613
namfahamu Bashe personally...haendeshwi ana imani ngumu sana nadhan na usomali wake umechangia ...You Go Bashe"Rais, Makamu wa Rais, Waziri Mkuu na Naibu Waziri Mkuu, hawa ndiyo wanaweza kuniita na kunihoji, hakuna mtu mwingine yoyote, watu wajue mipaka yao ya kazi," Waziri wa Kilimo Hussein Bashe.
View attachment 2884613
Kiserikali Bashe yuko sahihi... lakini ukiangalia aina ya mfumo wetu, viongozi wa chama bado ni wakubwa kwa Bashe.Kwani yeye ni mtendaji wa chama?
Bashe yupo sahihi. Mawaziri wote na watendaji wengine wote wa Serikali wanawajibika kwa aliyewateua, na siyo mwingine yeyote.
Chama kama kinaona kuna jambo ambalo halipo sawa, kinatakiwa kimhoji Rais ambaye ni kiongozi wa chama na ndiye msimamizi wa Serikali. Msimamizi wa Serikali, ndiye ana uwezo wa kuwahoji wateule wake na watendaji wote wa Serikali.
Makonda ni mpuuzi. Anawarukia watu ambao hawawajibiki kwake wala kwa chama bali kwa serikali na wakuu wa Serikali.
Haujakosea, bali huna akiliKwahiyo hata akivunja sheria, polisi hawana ruksa kumuita kumuhoji au yeye ndo atawaita polisi kuwahoji??
Au Mimi ndo cjaelewa 😂😂😂