Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Twende kwenye mada.
Unaweza mbeza na kumchukia na ukamfanya vyovyote unavyojiskia ila ukweli itabakia pale pale kwamba rekodi anazoweka mh.Rais SSH hazijawahi kuwekwa na Rais yeyote aliyemtangulia.
Afya ikiwa ni moja ya kipaombele chake, Serikali inajenga jumla ya vituo vya afya vipya zaidi ya 233 Kwa mpigo.
Hii ni sekta moja tuu ya Afya,ukienda sekta ya maji hivyo hivyo, barabara hasa za Tarura kote mambo ya bam bam.
Licha ya wenye chuki nae kuwa busy kutunga uongo na uzushi lakini ukweli wa kwenye Takwimu unambeba.
Mungu mbariki Rais wetu,huyu sasa ndio anafaa aongoze hadi achoke kama Angel Markel.
Kazi iendelee 👇
View attachment 2167103
View attachment 2167106
View attachment 2167107
Kwa Nini? Yale Yale yapi?Yaleyaleeee.. sisi ni matajiri, mara utasikia tutampata wapi Rais kama huyu mara MUNGU amemleta!!! Unafiki, njaa na uchawa ndio unatufanya wabongo tushindwe kusimamia reality!!!
Wivu ni mbaya sana,kumbe sio tozo tena zinajenga bali kakopa 😁😁😁😄😄.Yeye ajenge tu,2025 aje mwingine aajiri wafanyakazi,yeye akope tu ajenge.
Imepanda saizi mbonaNguvu ya buku saba
Siku zako za kufa ziko karibu sana sio kwa chuki hizi 😁😁😁Na unavyoongea vituo vya afya like katoa hela yake mfukoni
Mengi huyajui ya hospitali
Better shut your fucking mouth off
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Una akili timamu? Kwa hiyo unaajiri watumishi bila kujenga 😆😆😆😆.Nilifikili kuna suala la msingi sasa hayo magofi bila watumishi mnasaidia nini
Neurosurgeon ya kwenye buttocks ya dad yako labda..Professional neurosurgeon
With MpH
Endelea kuongelea upumbavu na vibando vyako vya kuhongwa
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Wanakwambia mwanamke hawezi kuongoza nchi. Wanakaririshwa ujinga na wanauamini kabisa.Twende kwenye mada.
Unaweza mbeza na kumchukia na ukamfanya vyovyote unavyojiskia ila ukweli itabakia pale pale kwamba rekodi anazoweka mh.Rais SSH hazijawahi kuwekwa na Rais yeyote aliyemtangulia.
Afya ikiwa ni moja ya kipaombele chake, Serikali inajenga jumla ya vituo vya afya vipya zaidi ya 233 Kwa mpigo.
Hii ni sekta moja tuu ya Afya,ukienda sekta ya maji hivyo hivyo, barabara hasa za Tarura kote mambo ya bam bam.
Licha ya wenye chuki nae kuwa busy kutunga uongo na uzushi lakini ukweli wa kwenye Takwimu unambeba.
Mungu mbariki Rais wetu,huyu sasa ndio anafaa aongoze hadi achoke kama Angel Markel.
Kazi iendelee 👇
View attachment 2167103
View attachment 2167106
View attachment 2167107
Anapokwenda nje kutafuta pesa huwa tunahesabu safari zake ni ngapi. Tunazijua idadi ya safari kuliko umri wa wazazi wetu.Na unavyoongea vituo vya afya like katoa hela yake mfukoni
Mengi huyajui ya hospitali
Better shut your fucking mouth off
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Hao wanaojiita wanaume hakuna cha maana cha kujivunia wamefanya licha ya kujitutumua wakiongozwa na yule kiongozi wa malaika 😝😝Wanakwambia mwanamke hawezi kuongoza nchi. Wanakaririshwa ujinga na wanauamini kabisa.
Samia ni Rais bora kuwahivkutokea TanzaniaTwende kwenye mada.
Unaweza mbeza na kumchukia na ukamfanya vyovyote unavyojiskia ila ukweli itabakia pale pale kwamba rekodi anazoweka mh.Rais SSH hazijawahi kuwekwa na Rais yeyote aliyemtangulia.
Afya ikiwa ni moja ya kipaombele chake, Serikali inajenga jumla ya vituo vya afya vipya zaidi ya 233 Kwa mpigo.
Hii ni sekta moja tuu ya Afya,ukienda sekta ya maji hivyo hivyo, barabara hasa za Tarura kote mambo ya bam bam.
Licha ya wenye chuki nae kuwa busy kutunga uongo na uzushi lakini ukweli wa kwenye Takwimu unambeba.
Mungu mbariki Rais wetu,huyu sasa ndio anafaa aongoze hadi achoke kama Angel Markel.
Kazi iendelee 👇
View attachment 2167103
View attachment 2167106
View attachment 2167107
Huu ni ukweli mchungu na amedhamiria kuwapunguzia wamama/ wanawake na watoto madhila yao.Samia ni Rais bora kuwahivkutokea Tanzania
Unabishana na huyu mtoto kutwa anaanzisha thread analalamika amelelewa na single mother...Professional neurosurgeon
With MpH
Endelea kuongelea upumbavu na vibando vyako vya kuhongwa
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Single imebadilika 😆😆😆,kenge nyie mtapiga u turn Sana ,na wewe kakope ujenge kwani Samia ni WA kwanza Kukopa?Nchi hii mijinga imejaaa!
Hivi..! kwa mikopo ile, wewe umgelishindwa?
Tunataka umeme panzi wewe!
Zamu yenu mafisadi na wezi wa rasilimali zetu, wauza ngada na walaji wa kupitia urefu wa kamba zenuSingle imebadilika 😆😆😆,kenge nyie mtapiga u turn Sana ,na wewe kakope ujenge kwani Samia ni WA kwanza Kukopa?
Mbona Dhalimu alikopa hatukuona cha maana alichofanyia?
Twende kwenye mada.
Unaweza mbeza na kumchukia na ukamfanya vyovyote unavyojiskia ila ukweli itabakia pale pale kwamba rekodi anazoweka mh.Rais SSH hazijawahi kuwekwa na Rais yeyote aliyemtangulia.
Afya ikiwa ni moja ya kipaombele chake, Serikali inajenga jumla ya vituo vya afya vipya zaidi ya 233 Kwa mpigo.
Hii ni sekta moja tuu ya Afya,ukienda sekta ya maji hivyo hivyo, barabara hasa za Tarura kote mambo ya bam bam.
Licha ya wenye chuki nae kuwa busy kutunga uongo na uzushi lakini ukweli wa kwenye Takwimu unambeba.
Mungu mbariki Rais wetu,huyu sasa ndio anafaa aongoze hadi achoke kama Angel Markel.
Kazi iendelee 👇
View attachment 2167103
View attachment 2167106
View attachment 2167107
Mimi sio Jumbe Mzee,jina la ID yangu unayoiona ndio hiyo zamani nikiitwa opportunity cost..Jumbe Brown chawa mahiri kazini