Waziri Bashungwa aagiza ukamilishaji wa ujenzi wa vituo vya afya 233 kabla ya Aprili 2022

Waziri Bashungwa aagiza ukamilishaji wa ujenzi wa vituo vya afya 233 kabla ya Aprili 2022

Yeye ajenge tu,2025 aje mwingine aajiri wafanyakazi,yeye akope tu ajenge.
 
Yaleyaleeee.. sisi ni matajiri, mara utasikia tutampata wapi Rais kama huyu mara MUNGU amemleta!!! Unafiki, njaa na uchawa ndio unatufanya wabongo tushindwe kusimamia reality!!!
Twende kwenye mada.

Unaweza mbeza na kumchukia na ukamfanya vyovyote unavyojiskia ila ukweli itabakia pale pale kwamba rekodi anazoweka mh.Rais SSH hazijawahi kuwekwa na Rais yeyote aliyemtangulia.

Afya ikiwa ni moja ya kipaombele chake, Serikali inajenga jumla ya vituo vya afya vipya zaidi ya 233 Kwa mpigo.

Hii ni sekta moja tuu ya Afya,ukienda sekta ya maji hivyo hivyo, barabara hasa za Tarura kote mambo ya bam bam.

Licha ya wenye chuki nae kuwa busy kutunga uongo na uzushi lakini ukweli wa kwenye Takwimu unambeba.

Mungu mbariki Rais wetu,huyu sasa ndio anafaa aongoze hadi achoke kama Angel Markel.

Kazi iendelee 👇

View attachment 2167103

View attachment 2167106

View attachment 2167107
 
Nilifikili kuna suala la msingi sasa hayo magofi bila watumishi mnasaidia nini
Una akili timamu? Kwa hiyo unaajiri watumishi bila kujenga 😆😆😆😆.

Hata ifike 2025 usipokuwa hospital wewe utakuwa imepigwa na stroke kwa wivu na chuki
 
Twende kwenye mada.

Unaweza mbeza na kumchukia na ukamfanya vyovyote unavyojiskia ila ukweli itabakia pale pale kwamba rekodi anazoweka mh.Rais SSH hazijawahi kuwekwa na Rais yeyote aliyemtangulia.

Afya ikiwa ni moja ya kipaombele chake, Serikali inajenga jumla ya vituo vya afya vipya zaidi ya 233 Kwa mpigo.

Hii ni sekta moja tuu ya Afya,ukienda sekta ya maji hivyo hivyo, barabara hasa za Tarura kote mambo ya bam bam.

Licha ya wenye chuki nae kuwa busy kutunga uongo na uzushi lakini ukweli wa kwenye Takwimu unambeba.

Mungu mbariki Rais wetu,huyu sasa ndio anafaa aongoze hadi achoke kama Angel Markel.

Kazi iendelee 👇

View attachment 2167103

View attachment 2167106

View attachment 2167107
Wanakwambia mwanamke hawezi kuongoza nchi. Wanakaririshwa ujinga na wanauamini kabisa.
 
Twende kwenye mada.

Unaweza mbeza na kumchukia na ukamfanya vyovyote unavyojiskia ila ukweli itabakia pale pale kwamba rekodi anazoweka mh.Rais SSH hazijawahi kuwekwa na Rais yeyote aliyemtangulia.

Afya ikiwa ni moja ya kipaombele chake, Serikali inajenga jumla ya vituo vya afya vipya zaidi ya 233 Kwa mpigo.

Hii ni sekta moja tuu ya Afya,ukienda sekta ya maji hivyo hivyo, barabara hasa za Tarura kote mambo ya bam bam.

Licha ya wenye chuki nae kuwa busy kutunga uongo na uzushi lakini ukweli wa kwenye Takwimu unambeba.

Mungu mbariki Rais wetu,huyu sasa ndio anafaa aongoze hadi achoke kama Angel Markel.

Kazi iendelee 👇

View attachment 2167103

View attachment 2167106

View attachment 2167107
Samia ni Rais bora kuwahivkutokea Tanzania
 
Samia ni Rais bora kuwahivkutokea Tanzania
Huu ni ukweli mchungu na amedhamiria kuwapunguzia wamama/ wanawake na watoto madhila yao.

Amezipa msukumo Sana sekta ya Afya,maji,barabara Vijijini,mikopo kwa wanawake na elimu ya mtoto wa kike on top of kuwapa fursa mbalimbali Serikalini.
 
Nchi hii mijinga imejaaa!

Hivi..! kwa mikopo ile, wewe umgelishindwa?

Tunataka umeme panzi wewe!
 
Nchi hii mijinga imejaaa!

Hivi..! kwa mikopo ile, wewe umgelishindwa?

Tunataka umeme panzi wewe!
Single imebadilika 😆😆😆,kenge nyie mtapiga u turn Sana ,na wewe kakope ujenge kwani Samia ni WA kwanza Kukopa?

Mbona Dhalimu alikopa hatukuona cha maana alichofanyia?
 
Single imebadilika 😆😆😆,kenge nyie mtapiga u turn Sana ,na wewe kakope ujenge kwani Samia ni WA kwanza Kukopa?

Mbona Dhalimu alikopa hatukuona cha maana alichofanyia?
Zamu yenu mafisadi na wezi wa rasilimali zetu, wauza ngada na walaji wa kupitia urefu wa kamba zenu

pumbavu zako, tesa kwa huu muda mfupi, soon tutazikata hizo kamba na kuwatapisha kila mlichopora kwa wananchi
 
Twende kwenye mada.

Unaweza mbeza na kumchukia na ukamfanya vyovyote unavyojiskia ila ukweli itabakia pale pale kwamba rekodi anazoweka mh.Rais SSH hazijawahi kuwekwa na Rais yeyote aliyemtangulia.

Afya ikiwa ni moja ya kipaombele chake, Serikali inajenga jumla ya vituo vya afya vipya zaidi ya 233 Kwa mpigo.

Hii ni sekta moja tuu ya Afya,ukienda sekta ya maji hivyo hivyo, barabara hasa za Tarura kote mambo ya bam bam.

Licha ya wenye chuki nae kuwa busy kutunga uongo na uzushi lakini ukweli wa kwenye Takwimu unambeba.

Mungu mbariki Rais wetu,huyu sasa ndio anafaa aongoze hadi achoke kama Angel Markel.

Kazi iendelee 👇

View attachment 2167103

View attachment 2167106

View attachment 2167107

Jumbe Brown chawa mahiri kazini
 
Back
Top Bottom