Waziri Bashungwa aagiza ukamilishaji wa ujenzi wa vituo vya afya 233 kabla ya Aprili 2022

Waziri Bashungwa aagiza ukamilishaji wa ujenzi wa vituo vya afya 233 kabla ya Aprili 2022

Zamu yenu mafisadi na wezi wa rasilimali zetu, wauza ngada na walaji wa kupitia urefu wa kamba zenu

pumbavu zako, tesa kwa huu muda mfupi, soon tutazikata hizo kamba na kuwatapisha kila mlichopora kwa wananchi
Nyie ambao sio mafisadi tunaomba mtuonyeshe rekodi zenu sisi tunawaonyesha kama hivi 👇

Screenshot_20220328-115637.png
 
Katika hili tumpe heshima yake kubwa
Mkuu kinachowafanya wawe viziwi na vipofu ni chuki zao kwa..Samia kwa.sababu ni Mzanzibar nothing else..

Saizi wamebadili korasi kwamba eti ni mikopo imejenga,sasa waulize wao watuonyeshe walichofanyia kwa mikopo hii hapa 👇

2306969_FB_IMG_1581695064971.jpg
 
Twende kwenye mada.

Unaweza mbeza na kumchukia na ukamfanya vyovyote unavyojiskia ila ukweli itabakia pale pale kwamba rekodi anazoweka mh.Rais SSH hazijawahi kuwekwa na Rais yeyote aliyemtangulia.

Afya ikiwa ni moja ya kipaombele chake, Serikali inajenga jumla ya vituo vya afya vipya zaidi ya 233 Kwa mpigo.

Hii ni sekta moja tuu ya Afya,ukienda sekta ya maji hivyo hivyo, barabara hasa za Tarura kote mambo ya bam bam.

Licha ya wenye chuki nae kuwa busy kutunga uongo na uzushi lakini ukweli wa kwenye Takwimu unambeba.

Mungu mbariki Rais wetu,huyu sasa ndio anafaa aongoze hadi achoke kama Angel Markel.

Kazi iendelee [emoji116]

View attachment 2167103

View attachment 2167106

View attachment 2167107
Acha umbulula rafiki raisi hana Pesa zake mfukoni,wewe kama ni uteuzi peaneni tu sio kutudanganya ala!
 
Twende kwenye mada.

Unaweza mbeza na kumchukia na ukamfanya vyovyote unavyojiskia ila ukweli itabakia pale pale kwamba rekodi anazoweka mh.Rais SSH hazijawahi kuwekwa na Rais yeyote aliyemtangulia.

Afya ikiwa ni moja ya kipaombele chake, Serikali inajenga jumla ya vituo vya afya vipya zaidi ya 233 Kwa mpigo.

Hii ni sekta moja tuu ya Afya,ukienda sekta ya maji hivyo hivyo, barabara hasa za Tarura kote mambo ya bam bam.

Licha ya wenye chuki nae kuwa busy kutunga uongo na uzushi lakini ukweli wa kwenye Takwimu unambeba.

Mungu mbariki Rais wetu,huyu sasa ndio anafaa aongoze hadi achoke kama Angel Markel.

Kazi iendelee [emoji116]

View attachment 2167103

View attachment 2167106

View attachment 2167107
Vituo kakuta meko kajenga yeye alivyo na akili za zumaridi anasifiwa na wapumbavu kma wewe
 
Vituo kakuta meko kajenga yeye alivyo na akili za zumaridi anasifiwa na wapumbavu kma wewe
Hivi huu ujinga huwa mnatoa wapi? Ndio maana huwa nawatukana tumbili jike nyie..

Basi alivikuta meko kajenga,ongea ulichotaka kuongea..

Mna chuki Sana na Samia kwa sababu mlijua atafeli na kawafunika.

Na bado mtanuna Sana hadi ifike 2025,Mengine haya hapa alikuta yamefanyika 👇

Screenshot_20220328-115637.png
 
Twende kwenye mada.

Unaweza mbeza na kumchukia na ukamfanya vyovyote unavyojiskia ila ukweli itabakia pale pale kwamba rekodi anazoweka mh.Rais SSH hazijawahi kuwekwa na Rais yeyote aliyemtangulia.

Afya ikiwa ni moja ya kipaombele chake, Serikali inajenga jumla ya vituo vya afya vipya zaidi ya 233 Kwa mpigo.

Hii ni sekta moja tuu ya Afya,ukienda sekta ya maji hivyo hivyo, barabara hasa za Tarura kote mambo ya bam bam.

Licha ya wenye chuki nae kuwa busy kutunga uongo na uzushi lakini ukweli wa kwenye Takwimu unambeba.

Mungu mbariki Rais wetu,huyu sasa ndio anafaa aongoze hadi achoke kama Angel Markel.

Kazi iendelee 👇

View attachment 2167103

View attachment 2167106

View attachment 2167107
Waoo!
Twende kwenye mada.

Unaweza mbeza na kumchukia na ukamfanya vyovyote unavyojiskia ila ukweli itabakia pale pale kwamba rekodi anazoweka mh.Rais SSH hazijawahi kuwekwa na Rais yeyote aliyemtangulia.

Afya ikiwa ni moja ya kipaombele chake, Serikali inajenga jumla ya vituo vya afya vipya zaidi ya 233 Kwa mpigo.

Hii ni sekta moja tuu ya Afya,ukienda sekta ya maji hivyo hivyo, barabara hasa za Tarura kote mambo ya bam bam.

Licha ya wenye chuki nae kuwa busy kutunga uongo na uzushi lakini ukweli wa kwenye Takwimu unambeba.

Mungu mbariki Rais wetu,huyu sasa ndio anafaa aongoze hadi achoke kama Angel Markel.

Kazi iendelee 👇

View attachment 2167103

View attachment 2167106

View attachment 2167107
Hakika hakuna kama Rais Samia,
 
Hivi huu ujinga huwa mnatoa wapi? Ndio maana huwa nawatukana tumbili jike nyie..

Basi alivikuta meko kajenga,ongea ulichotaka kuongea..

Mna chuki Sana na Samia kwa sababu mlijua atafeli na kawafunika.

Na bado mtanuna Sana hadi ifike 2025,Mengine haya hapa alikuta yamefanyika 👇

View attachment 2167457
Mkuu piga kazi, Usiwasikilize hawa waliofeli,
 
Back
Top Bottom