Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyie ambao sio mafisadi tunaomba mtuonyeshe rekodi zenu sisi tunawaonyesha kama hivi 👇Zamu yenu mafisadi na wezi wa rasilimali zetu, wauza ngada na walaji wa kupitia urefu wa kamba zenu
pumbavu zako, tesa kwa huu muda mfupi, soon tutazikata hizo kamba na kuwatapisha kila mlichopora kwa wananchi
We mwana dada, achana na Mimi tafadhari, kauze hukooNyie ambao sio mafisadi tunaomba mtuonyeshe rekodi zenu sisi tunawaonyesha kama hivi 👇
View attachment 2167406
Mimi sio Jumbe Mzee,jina la ID yangu unayoiona ndio hiyo zamani nikiitwa opportunity cost..
Njoo na ujinga wako mwingine.
Mkuu kinachowafanya wawe viziwi na vipofu ni chuki zao kwa..Samia kwa.sababu ni Mzanzibar nothing else..Katika hili tumpe heshima yake kubwa
Huna hoja tumbili weweWe mwana dada, achana na Mimi tafadhari, kauze hukoo
Acha umbulula rafiki raisi hana Pesa zake mfukoni,wewe kama ni uteuzi peaneni tu sio kutudanganya ala!Twende kwenye mada.
Unaweza mbeza na kumchukia na ukamfanya vyovyote unavyojiskia ila ukweli itabakia pale pale kwamba rekodi anazoweka mh.Rais SSH hazijawahi kuwekwa na Rais yeyote aliyemtangulia.
Afya ikiwa ni moja ya kipaombele chake, Serikali inajenga jumla ya vituo vya afya vipya zaidi ya 233 Kwa mpigo.
Hii ni sekta moja tuu ya Afya,ukienda sekta ya maji hivyo hivyo, barabara hasa za Tarura kote mambo ya bam bam.
Licha ya wenye chuki nae kuwa busy kutunga uongo na uzushi lakini ukweli wa kwenye Takwimu unambeba.
Mungu mbariki Rais wetu,huyu sasa ndio anafaa aongoze hadi achoke kama Angel Markel.
Kazi iendelee [emoji116]
View attachment 2167103
View attachment 2167106
View attachment 2167107
Unaumia ukiwa wapi? 😬😬Acha umbulula rafiki raisi hana Pesa zake mfukoni,wewe kama ni uteuzi peaneni tu sio kutudanganya ala!
Vituo kakuta meko kajenga yeye alivyo na akili za zumaridi anasifiwa na wapumbavu kma weweTwende kwenye mada.
Unaweza mbeza na kumchukia na ukamfanya vyovyote unavyojiskia ila ukweli itabakia pale pale kwamba rekodi anazoweka mh.Rais SSH hazijawahi kuwekwa na Rais yeyote aliyemtangulia.
Afya ikiwa ni moja ya kipaombele chake, Serikali inajenga jumla ya vituo vya afya vipya zaidi ya 233 Kwa mpigo.
Hii ni sekta moja tuu ya Afya,ukienda sekta ya maji hivyo hivyo, barabara hasa za Tarura kote mambo ya bam bam.
Licha ya wenye chuki nae kuwa busy kutunga uongo na uzushi lakini ukweli wa kwenye Takwimu unambeba.
Mungu mbariki Rais wetu,huyu sasa ndio anafaa aongoze hadi achoke kama Angel Markel.
Kazi iendelee [emoji116]
View attachment 2167103
View attachment 2167106
View attachment 2167107
Hivi huu ujinga huwa mnatoa wapi? Ndio maana huwa nawatukana tumbili jike nyie..Vituo kakuta meko kajenga yeye alivyo na akili za zumaridi anasifiwa na wapumbavu kma wewe
Waoo!Twende kwenye mada.
Unaweza mbeza na kumchukia na ukamfanya vyovyote unavyojiskia ila ukweli itabakia pale pale kwamba rekodi anazoweka mh.Rais SSH hazijawahi kuwekwa na Rais yeyote aliyemtangulia.
Afya ikiwa ni moja ya kipaombele chake, Serikali inajenga jumla ya vituo vya afya vipya zaidi ya 233 Kwa mpigo.
Hii ni sekta moja tuu ya Afya,ukienda sekta ya maji hivyo hivyo, barabara hasa za Tarura kote mambo ya bam bam.
Licha ya wenye chuki nae kuwa busy kutunga uongo na uzushi lakini ukweli wa kwenye Takwimu unambeba.
Mungu mbariki Rais wetu,huyu sasa ndio anafaa aongoze hadi achoke kama Angel Markel.
Kazi iendelee 👇
View attachment 2167103
View attachment 2167106
View attachment 2167107
Hakika hakuna kama Rais Samia,Twende kwenye mada.
Unaweza mbeza na kumchukia na ukamfanya vyovyote unavyojiskia ila ukweli itabakia pale pale kwamba rekodi anazoweka mh.Rais SSH hazijawahi kuwekwa na Rais yeyote aliyemtangulia.
Afya ikiwa ni moja ya kipaombele chake, Serikali inajenga jumla ya vituo vya afya vipya zaidi ya 233 Kwa mpigo.
Hii ni sekta moja tuu ya Afya,ukienda sekta ya maji hivyo hivyo, barabara hasa za Tarura kote mambo ya bam bam.
Licha ya wenye chuki nae kuwa busy kutunga uongo na uzushi lakini ukweli wa kwenye Takwimu unambeba.
Mungu mbariki Rais wetu,huyu sasa ndio anafaa aongoze hadi achoke kama Angel Markel.
Kazi iendelee 👇
View attachment 2167103
View attachment 2167106
View attachment 2167107
Mkuu piga kazi, Usiwasikilize hawa waliofeli,Hivi huu ujinga huwa mnatoa wapi? Ndio maana huwa nawatukana tumbili jike nyie..
Basi alivikuta meko kajenga,ongea ulichotaka kuongea..
Mna chuki Sana na Samia kwa sababu mlijua atafeli na kawafunika.
Na bado mtanuna Sana hadi ifike 2025,Mengine haya hapa alikuta yamefanyika 👇
View attachment 2167457
Kichwani umejaa usaha tupu!Hivi huu ujinga huwa mnatoa wapi? Ndio maana huwa nawatukana tumbili jike nyie..
Basi alivikuta meko kajenga,ongea ulichotaka kuongea..
Mna chuki Sana na Samia kwa sababu mlijua atafeli na kawafunika.
Na bado mtanuna Sana hadi ifike 2025,Mengine haya hapa alikuta yamefanyika 👇
View attachment 2167457
😍😍😍Kichwani umejaa usaha tupu!
Bila shaka hii ndio Kazi yako mkuu ya kutumbua usaha ndio maana unanuka kama matapishi ya mbwa.Kichwani umejaa usaha tupu!
Ya Mbeya haya maji mara moja 😝😝Sijui watu huwa wanakula maharage ya wapi?
Wanapiga makelele wewe unakuja na nondo za kuwanyamazisha.Nyie ambao sio mafisadi tunaomba mtuonyeshe rekodi zenu sisi tunawaonyesha kama hivi 👇
View attachment 2167406