Waziri Bashungwa aagiza ukamilishaji wa ujenzi wa vituo vya afya 233 kabla ya Aprili 2022

Zamu yenu mafisadi na wezi wa rasilimali zetu, wauza ngada na walaji wa kupitia urefu wa kamba zenu

pumbavu zako, tesa kwa huu muda mfupi, soon tutazikata hizo kamba na kuwatapisha kila mlichopora kwa wananchi
Nyie ambao sio mafisadi tunaomba mtuonyeshe rekodi zenu sisi tunawaonyesha kama hivi πŸ‘‡

 
Katika hili tumpe heshima yake kubwa
Mkuu kinachowafanya wawe viziwi na vipofu ni chuki zao kwa..Samia kwa.sababu ni Mzanzibar nothing else..

Saizi wamebadili korasi kwamba eti ni mikopo imejenga,sasa waulize wao watuonyeshe walichofanyia kwa mikopo hii hapa πŸ‘‡

 
Acha umbulula rafiki raisi hana Pesa zake mfukoni,wewe kama ni uteuzi peaneni tu sio kutudanganya ala!
 
Vituo kakuta meko kajenga yeye alivyo na akili za zumaridi anasifiwa na wapumbavu kma wewe
 
Vituo kakuta meko kajenga yeye alivyo na akili za zumaridi anasifiwa na wapumbavu kma wewe
Hivi huu ujinga huwa mnatoa wapi? Ndio maana huwa nawatukana tumbili jike nyie..

Basi alivikuta meko kajenga,ongea ulichotaka kuongea..

Mna chuki Sana na Samia kwa sababu mlijua atafeli na kawafunika.

Na bado mtanuna Sana hadi ifike 2025,Mengine haya hapa alikuta yamefanyika πŸ‘‡

 
Waoo!
Hakika hakuna kama Rais Samia,
 
Mkuu piga kazi, Usiwasikilize hawa waliofeli,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…