Kwa hiyo mtu akivamia kwako unampa fidia ili aondoke? Hizi akili au matapishi?Waondoke tu kirahisi rahisiiii bila hata fidia?
Acheni uonevu hata kama ni ndani ya barabara bado mnapaswa kuwapa kianzio
Kafatilie kwenye bajeti ya mwaka huu....sema nishakujua hupendi kusoma...Haya nioneshe wewe palikoandikwa 21b
Labda nikusaidie tu...maana kusoma hujui...Haya nioneshe wewe palikoandikwa 21b
Sasa wewe ndio una uharo kabisaaaa na wala si akili, nimesema hivi pale walipoanza tu kujenga wangeondoa, na si kuwaacha wakae miaka 20,30 ndio wawaondoe,Kwa hiyo mtu akivamia kwako unampa fidia ili aondoke? Hizi akili au matapishi?
Sina, ila kwanini waniache mpaka pamenizoea?Je una haki ya kisheria kuwepo katika hilo eneo?
Kwa hiyo tusijenge barabara yenye hadhi (double lanes) kwa sababu mmejenga vibanda vyenu. Kwanini mlijenga bila kuuliza?Pale wakati tunajenga kwanini hawakusema?
Kule, naona hao ' usomi' haujaleta tija kabisa!Ni vile tu mna wasomi wengi...lakini hawarudi kusaidia kwao.
Huenda mnarogana sana.
Ukifuatilia point zangu tangu mwanzo wa mjadala utagundua kuwa sipingi kuondoka, bali napinga kuondolewa kavu kavu ndio maana nikahoji kwanini hawakutuzuia pale mwanzo?Kwa hiyo tusijenge barabara yenye hadhi (double lanes) kwa sababu mmejenga vibanda vyenu. Kwanini mlijenga bila kuuliza?
Hebu itaje hapa Tija gani unataka wew...wasomi wajenge barabara ya njia nne, stendi nk?Kule, naona hao ' usomi' haujaleta tija kabisa!
Kwan tunakimbia wap?..kuna sehemu unayoweza kuita imeendelea hapa Tanzania
Hii ndo stendi kuu ya daladala inayojengwa hapo bukoba mjini kati...
Nimependa viongozi wa Bukoba hawakurupuki kama viongozi wa manispaa nyingine walivyo...
Wanajenga stendi ya daladala mjini kati na mabasi nje kidogo ya mji...
Sio kama wale malaza wa kule morogoro waliojemga stendi ya daladala mbali na mji sijui wanamjemgea nani....
Ukiondoa mwemge Dar...hii ya Bukoba itakuwa ni moja ya stendi bora kabisa ya daladala tz hiiView attachment 2797290View attachment 2797291View attachment 2797292View attachment 2797293