uwe hodari
JF-Expert Member
- Dec 16, 2022
- 4,045
- 8,608
Punguzeni speculations, mbona huko Madini alikotoka biteko ndio incompetence ya ajabu hadi tumeangushwa kesi zote za wawekezaji wa madini!! In fact tumeingizwa hasara billion 800.Tunapata taarfa kuwa kuna mtu ameondolewa apo Ili kumuepusha kuchafuka kwa ufisadi na umepelekwa wewe kuficha aibu ya ufisadi wa zaidi ya bilion mia.....
Biteko is overrated ni suala la muda tu he'll capsize into political oblivion.![emoji419][emoji375]Punguzeni speculations, mbona huko Madini alikotoka biteko ndio incompetence ya ajabu hadi tumeangushwa kesi zote za wawekezaji wa madini!! In fact tumeingizwa hasara billion 800.
Biteko is overrated ni suala la muda tu he'll capsize into political oblivion.
Serikali haikutaka kushinda kesi..ni michongo tu watu wapige hela..enzi za JPM kesi hizo hizo tulishinda hadi SA. Kwa sababu tulitaka kushinda.Punguzeni speculations, mbona huko Madini alikotoka biteko ndio incompetence ya ajabu hadi tumeangushwa kesi zote za wawekezaji wa madini!! In fact tumeingizwa hasara billion 800.
Biteko is overrated ni suala la muda tu he'll capsize into political oblivion.
Huko CCM wote wapigaji tu hana moral authority ya kufanya hivyo.Nakushauri kijana biteko usidanganyishwe na nafasi ya unaibu wa waziri sijui nini hivyo ni vyeo visivyokuwa na mbele wa maana kwa TANGANYIKA kwasababu havitambuliki .
Tunapata taarfa kuwa kuna mtu ameondolewa apo Ili kumuepusha kuchafuka kwa ufisadi na umepelekwa wewe kuficha aibu ya ufisadi wa zaidi ya bilion mia.....
Km kweli wewe ni mzalendo tunaomba anika ufisadi mkubwa kuwahi kutokea hapo au jiuzulu
Mtaficha kwa muda tu huu ufisadi km walivyokuwa wakificha dp world
shida hii ichi hata ukimtaja mwizi ukaja na ushaidi wa video,sauti na picha unaonekana mmbea tu mwiz afanywi chochoteNakushauri kijana biteko usidanganyishwe na nafasi ya unaibu wa waziri sijui nini hivyo ni vyeo visivyokuwa na mbele wa maana kwa TANGANYIKA kwasababu havitambuliki .
Tunapata taarfa kuwa kuna mtu ameondolewa apo Ili kumuepusha kuchafuka kwa ufisadi na umepelekwa wewe kuficha aibu ya ufisadi wa zaidi ya bilion mia.....
Km kweli wewe ni mzalendo tunaomba anika ufisadi mkubwa kuwahi kutokea hapo au jiuzulu
Mtaficha kwa muda tu huu ufisadi km walivyokuwa wakificha dp world
Sasa ingekua wizara Iko chini ya January mngesema alihongwa tushindwe kesi, Ili kwakuwa ilikua chini ya Biteko basi ni Malaika.haikutaka kushinda kesi..nu michingo tu watu wapige hela..enzi za JPM kesi hizo hizo tulishinda hadi SA. Kwa sababu tulitaka kushinda
Wewe dada mbona unakuwa na kiherehere sana au ndio unatafuta bwanaHuo ni uzushi tu ulioamua kuuweka hapa.sasa wewe unaoufahamu huo ufisadi kwanini usiweke hapa huo ufisadi? Kwanini usubiri mpaka mh dkt Doto Biteko ndiye auweke? Wewe unaogopa nini? Acha uongo na upotoshaji wako hapa.
hivi kwa akili yako,unadhani makamba ni waziri mjinga kiasi cha kufanya ufisadi wa kutisha?Nakushauri kijana biteko usidanganyishwe na nafasi ya unaibu wa waziri sijui nini hivyo ni vyeo visivyokuwa na mbele wa maana kwa TANGANYIKA kwasababu havitambuliki .
Tunapata taarfa kuwa kuna mtu ameondolewa apo Ili kumuepusha kuchafuka kwa ufisadi na umepelekwa wewe kuficha aibu ya ufisadi wa zaidi ya bilion mia.....
Km kweli wewe ni mzalendo tunaomba anika ufisadi mkubwa kuwahi kutokea hapo au jiuzulu
Mtaficha kwa muda tu huu ufisadi km walivyokuwa wakificha dp world
Mkiwa mnaangalia kwa undani sana. Haya yote ya mabadiliko ya wizara, mabalozi, unaibu PM, yalianzia pale kicha cha TISS kilipoliwa! Labda Ripoti hazikutarajiwaNakushauri kijana biteko usidanganyishwe na nafasi ya unaibu wa waziri sijui nini hivyo ni vyeo visivyokuwa na mbele wa maana kwa TANGANYIKA kwasababu havitambuliki .
Tunapata taarfa kuwa kuna mtu ameondolewa apo Ili kumuepusha kuchafuka kwa ufisadi na umepelekwa wewe kuficha aibu ya ufisadi wa zaidi ya bilion mia.....
Km kweli wewe ni mzalendo tunaomba anika ufisadi mkubwa kuwahi kutokea hapo au jiuzulu
Mtaficha kwa muda tu huu ufisadi km walivyokuwa wakificha dp world
Kwanini wewe usiandike hapa....Nakushauri kijana biteko usidanganyishwe na nafasi ya unaibu wa waziri sijui nini hivyo ni vyeo visivyokuwa na mbele wa maana kwa TANGANYIKA kwasababu havitambuliki .
Tunapata taarfa kuwa kuna mtu ameondolewa apo Ili kumuepusha kuchafuka kwa ufisadi na umepelekwa wewe kuficha aibu ya ufisadi wa zaidi ya bilion mia.....
Km kweli wewe ni mzalendo tunaomba anika ufisadi mkubwa kuwahi kutokea hapo au jiuzulu
Mtaficha kwa muda tu huu ufisadi km walivyokuwa wakificha dp world
Kigogo kudanganya mengi kuhusu January, nao wanabeba tu uongo..Huo ni uzushi tu ulioamua kuuweka hapa.sasa wewe unaoufahamu huo ufisadi kwanini usiweke hapa huo ufisadi? Kwanini usubiri mpaka mh dkt Doto Biteko ndiye auweke? Wewe unaogopa nini? Acha uongo na upotoshaji wako hapa.