This is...
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 5,050
- 5,204
R.I.P
Alikuwa ana cheo gani?
umetoka sayar gani??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
R.I.P
Alikuwa ana cheo gani?
Habari toka ITV saa mbili usiku.
Mhe Celina Kombani alikuwa pia mgombea Ubunge Ulanga na amefariki Dunia akiwa India kwenye matibabu.
Politics wapi! Itv nao wametangaza kuwa amefariki
ni ulanga mkuuMkuu anaegombea Kibamba ni Mukandara,huyu kama ni yule waziri basi ni wa mahenge.